Ijue historia ya soko kuu la Kariakoo

Wewe ndio mpuuzi mpenda sifa za kijinga,ukiona vimeseji vinazunguka WhatsApp unakimbilia kuvileta huku JF ili usifiwe.


😀😀😀😀😀😀
Hiyo yako ni inferiority complex, wanaume hatuwi na roho za hivyo. Mshana jr anafanya vizuri sana kushare na wengine kile anacholipata, sasa ukisema anataka sifa basi una yako mengine. Mimi wa mkoani leo nimejua mengi kuhusu soko hilo na nimeisoma habari yote na mwisho ame acknowledge source. Asante Mshana jr
 
[emoji1545][emoji1545][emoji817][emoji736] Msamehe bure .. ! Ukimuona mtu mwenyewe utamhurumia sana..!!!!
 
[emoji1545][emoji1545][emoji817][emoji736] Msamehe bure .. ! Ukimuona mtu mwenyewe utamhurumia sana..!!!!
Huyo ndio wale uliowashikia akili ambao hua wanakuona bonge la great thinker kumbe ni bingwa wa copy & paste,

Eti "ukimuona utamhurumia" kwa vile umemshikia akili anaweza kukuamini hata kwa hiyo kauli,

Wewe huna lolote,endelea kuwaburuza hao hao tu,u much know mwingi kumbe pumba tu.
 
Endelea kushikiwa akili na huyo bingwa wa copy & paste.
 
Kuna wapuuzi humu walikua wakiwabeza wazanzibari kuwa Nyanya wanaita Tungule na wao kuhisi kama ni kituko. Wanachoshindwa kufahamu ni kuwa Tungule ndio neno fasaha kabisa katika lugha yetu.
 
Hata wananazuoni ucopy kazi za wenzao na si kosa kabisa, ukisema ametushika akili unakosea sana. Kwa yeyote aliyesoma saikolojia atakuambia wewe una lako jambo, na jambo lenyewe ni wivu wa kiume. Sharing is caring
 
Hata wananazuoni ucopy kazi za wenzao na si kosa kabisa, ukisema ametushika akili unakosea sana. Kwa yeyote aliyesoma saikolojia atakuambia wewe una lako jambo, na jambo lenyewe ni wivu wa kiume. Sharing is caring
Kajifundishe kwanza kuandika kisha ndio uje tujadili.
 
Hata wananazuoni ucopy kazi za wenzao na si kosa kabisa, ukisema ametushika akili unakosea sana. Kwa yeyote aliyesoma saikolojia atakuambia wewe una lako jambo, na jambo lenyewe ni wivu wa kiume. Sharing is caring
na jambo lenyewe ni wivu wa kiume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…