Ijue 'Koteka' kabla haijapotea

Ijue 'Koteka' kabla haijapotea

wazungu wko sahihi waliikuta Africa ikiwa ni barbaric, uncircumcised, uncivilisd, govilised,pimitive. hiko ni kitu sasa
 
wazungu wko sahihi waliikuta Africa ikiwa ni barbaric, uncircumcised, uncivilisd, govilised,pimitive. hiko ni kitu sasa
Hiyo siyo Afrika. Sasa wewe unaongelea uliyokaririshwa.
 
Tofauti ya uncircumcised na govilised ni ipi mkuu? [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
MBWEMBWE hizo ili wasioelewa kikoloni basi waelewe kupitia cha kunyumba,
2ND maana ni
kuwa uncircumcised inaonesha haujastaarabika yaani unaweza kojoa popote hata barabarani n ukikojoa zile cheche za mkojo zinaingia katika nguo sambamba na mabaki yake kuyarudisha andani ili ukachafue boxer THEN U GO
 
Ni lazima tuzijue mila za wanadunia wenzetu ili tuweze kuishi kwenye Dunia ambayo kila mmoja aheshimu dini mila za mwenzake mimi nikipata fursa ya kwenda IRIAN JAYA nina hamu saaana ya kuvaa Koteka!
angalia usije kupewa ya mtoto mchanga na ikakutosha,kesho yake tu ukageuza na lidreamliner la mapema😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom