Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo shetani ni nani kati ya huyo mchungaji na hao madada
Brunei
Nao wana scandal mwaka juzi kulikuwa na scandal ya ndugu wa mfalme kutumia pesa za serikali bilions of dollars vibaya alizifuja.Sahihi kabisa huwo ndio uhondo wa utawala wa shariah maanayake watawala nao kumuogopa mungu, sio hapa tunadanganyana, natumbua mjipu nafukua makaburi. Halafu ooh eti makaburi mengine hayafukuliki. Usawa uko wapi?
Asia mkuu uraia lazima uwe na $1000000Iko bara gani hiyo, vipi kuhusu uraia
lakini pia unafikiliwa na Mfalme mwenyeweAsia mkuu uraia lazima uwe na $1000000
Yani kwa lugha nyingine uwe millionaire.Asia mkuu uraia lazima uwe na $1000000
millionaire wa usdYani kwa lugha nyingine uwe millionaire.
YeahYani kwa lugha nyingine uwe millionaire.
Kwani kuna millionaire wa Tsh?millionaire wa usd
Kàbisa maana yeye akishazi chenji kwa pesa yake watu wake (wananchi) wanazidi kula maziwa na asalimillionaire wa usd