Ijue kwa undani nchi ya Brunei ambako Raia hawalipi kodi ni kula bata tu

Sasa had kijiko cha dhahabu na nyumba ya dhahabu...hata siwez enjoy....kwanza kwangu dhahabu siipi uthaman mkubwa kwamba kila kitu kikiwa cha dhahab nitakua plzd No big no
 
Dah kwel huko uraia tutapata kwel maan kunamamb mazur japo wanavi2 viwili tu lkn cc tunavitu vyote bado tunakosa vi2 vyote
 
hii habar mkuu ni kama tamthilia nlkua nasoma maudenda yananitoka hamu ya kwenda huko imejaa pomoni ee mola nipeleke huko
 
Hakunaga maendeleo kwenye nchi zinazoshobokea usanii yaani demokrasia
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] bongo mtu akimiliki milioni 100 anajiita milionea
hata hivyo ukisoma tafsiri ya millionea au billionea utaona hata local currency ya mahala husika inatambulika kukupa hadhi hiyo ingawaje inapaswa kubainisha ni bilionea au millionea wa pesa ipi inapokuwa other than usd!!
 
iko bara gani mkuu tukaombe uraia?
Brunei is a tiny nation on the island of Borneo, in 2 distinct sections surrounded by Malaysia and the South China Sea. It's known for its beaches and biodiverse rainforest, much of it protected within reserves. The capital, Bandar Seri Begawan, is home to the opulent Jame’Asr Hassanil Bolkiah mosque and its 29 golden domes. The capital's massive Istana Nurul Iman palace is the residence of Brunei’s ruling sultan.
 
Mkuu haujaelezea jambo muhimu sana. Namna ya kupata uraia wa huko na upatikanaji wa viza.. MUHIMU SANA UTUFAHAMISHE NA HILO MKUU.
Ni kweli muhimu hilo nchi ina watu 417,784, kuomba uraia hapa ni sawa kabisa ili twende tukajaze nchi hiyo!!
 
hata hivyo ukisoma tafsiri ya millionea au billionea utaona hata local currency ya mahala husika inatambulika kukupa hadhi hiyo ingawaje inapaswa kubainisha ni bilionea au millionea wa pesa ipi inapokuwa other than usd!!
Nnachojua jua ili uwe millionaire lazima umiliki pesa yenye thamani ya dollar M1 na kuendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…