Ijue kwa undani nchi ya Brunei ambako Raia hawalipi kodi ni kula bata tu

Na yule mfalme nasikia anawachapa mamiss balaa na akiamka asbhi $100000 unasepa zako
Huyo mfalme anapiga bia kama hana akili nzuri!...ila yeye anakataza raia wake kutumia...

Kazi yake kuwala akina Beyonce, Mariah Carey, Pamela Anderson etc kwa pesa chafuu, sema mle kwenye Kasri wanaingia kwa siri mno..
 
wabongo tutaishia kusoma story Kama iz tu

ii nchi umejaa kila aina ya uchafu na dhambi alafu tunataka tuishi kama peponi

labda na sisi tumrudie Mungu maana wao ndio silaha yao kubwa DINI
 
Huyo mfalme anapiga bia kama hana akili nzuri!...ila yeye anakataza raia wake kutumia...

Kazi yake kuwala akina Beyonce, Mariah Carey, Pamela Anderson etc kwa pesa chafuu, sema mle kwenye Kasri wanaingia kwa siri mno..
Beyonce wa jay z 😳 😳 😳
 
Lau kama watu wangekuwa wana akili za kuzingatia mambo;
Utawala wa kiislamu ndio suluhisho la matatizo yote ya dunia hii
Mkuu mbona huko kwa wenyewe hatusikii amani kila kukicha ni vita na kulipuana,eti wanajitoa muanga.
Halafu wakishatibuana wanakimbilia kwenye nchi za watu wanaowaita makafiri.
 
Viongozi wao Mkuu wameweka mbele maslahi ya nchi yao na Wananchi wao siyo kwetu hapa hawa wanaojiita viongozi wameweka mbele matumbo yao miaka nenda miaka rudi sasa tunarudi nyuma miaka 60 iliyopita!

Watu wako na Mafuta na Gasi tu wanaishi km Paradise ,sisi tuna kila kitu ovyooo
 
Ninawaonea huruma hao wananchi bila shaka hata smartphones huko hamna coz wanafungwa kuona au kuskia ya nje
 
Hao wanajua maana ya kutumia vyema raslimali zao sio huku kwetu wizi tu
 
Nchi gani ya africa iliyoondoa umaskini kabisa?
 
Natamani nilale nikiamka niwe huko maana huku hewa ni nzito sana maana ni mchanganyiko na akina Bashite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…