Ijue kwa undani nchi ya Brunei ambako Raia hawalipi kodi ni kula bata tu

Ijue kwa undani nchi ya Brunei ambako Raia hawalipi kodi ni kula bata tu

Rasilimali zote za nchi ni mali ya mfalme, hakuna anaeruhusiwa kuuliza mapato yatokonayo na mafuta, kutolipa kodi na huduma za bure ni kama asante tu mfalme anatoa kwa raia wake.
Duh Heri nijiuzie visamaki vyangu angalau sihitaji hiyo sababu ikitokea mfalme akafariki na mrithi akakatisha hiyo offer si watajuta? Nimebonyezwa na watu wa Asia kuwa kuna utumwa kibao huko wa watu toka India, Bangladesh na nchi kama hizo.
 
Nina kiwanja changu kule nilinunua miaka hiyo ya 2000 ngoja niende kukiuza hebu
 
d91c461694b13e366175aec2a7c80f9f.jpg
hapa mwanawe alikuwa anaoa 12 apr 2015
892771c3c2208d90c361a3f7cbf27533.jpg
hapa usafiri wake mheshimiwa
927096645b7ad953911c7270a5dd96e3.jpg

ab40e0d60803bb0288b3491768fc5be7.jpg
838bf9b983fa668c0eb195d21d6330f9.jpg
 
Basi laana inawapasa viongozi waliotufikisha hapa wenye jina ambalo linafanana na jina lao.

Kumbe maana ya Darusalama ni nyumba ya AMANI!?

Sisi amani na raha ipo/zipo wapi kama si umasikini wa kasi?
Hiyo dar es salaam ya wakati huo hasa maisha yalikuwa karibubna huko, watu waliishi kwa umoja sana, kupendana sana, hakuna dhulma, wizi, wala huu umalaya wa sasa, maisha yalikuwa rahisi watu wakajenga majumba yaliyokuja kupewa msajili majengo kwa kigezo cha uongo,

Kabla ya kuja yule mvaa bukta maisha yalikuwa kama huko tu, baba kwenda kumposea mwanawe, akamudu hifadhi ya mwanawe na mkwewe kwa kadro ya muda watakao kaa kabla yakuhamia kwako.
 
Kuna vinchi vina akili sana ila njoo afrika ukutane na nchi kubwa jinga (nchi kubwa akili sawa na ardhi ya lesotho)
Huku kwetu ni mwendo wakuumizana, mtu anasubiri ujenge kijumba chako kisha kije kitiwe greda kwa sekunde tuuuu, hukumu yakivunja nyumba 5 zimevunjwa 500, hapo maendeleo yanatokea tundubgani, labda matakoni
 
bado hakuna uhuru wa maamuzi yako.et pombe marufuku,mara kupigwa mawe mbaka kufa,haaaa
Kaaa kwenu ununue mkaa gunia 300,000 huko ni mwendo wa gas sio ile ya mtwara dangote ameisikia bombani, kaa kwenu ule nguruwe uote minyoo tumboni alafu dawa hakuna, kaa kwenu ujenge Kijumba kisicho na umeme makandokando wa ilalaboma analeta greda anakisomba.

Huko hakuna kuuliza, pesa ipo, ukitaka kuoa nikuchaguwa na kupeleka invoice baada ya ndoa usisahau delivery note, unaambiwa hakuna mikopo ya elimu ya juu alafu uje ukatwe 15% na kazi huna, ni mwendo walukupiga chuo na mastarehe yakushiba, wakikukuta mkono mrefu wanaupunguza, kama hutosheki na uliyekuwa nae ndo baibai usije leta ukimwi bureeee, mawe yanakuhusu kama bafe
 
Sorry ..umesema wazinzi wanapigwa mawe..???..duuh kama ni kweli tayari nimeishakosa kigezo cha kuishi huko maana....
 
Hv hakuna kisiwa hata kimoja hapa Africa kisicho ndani ya mipaka ya nchi nyingine nikaanzishe maisha yangu huko na nchi mpya ya mfano
 
Ukiingia google search inaonekana vizuri nimeshindwa kuchukua map, inasomeka Brunei Darussalam
Darrusallam ni mji mkuu, mkuu mimi nimeowa mtoto kutoka brunnei tunakula bata mpaka miguu yake, endeleeni na mfalme wenu na nchi ya mashetani
 
si nchi yetu tuna rasilimali nyingi ila bado ni watumwa tu ktk nchi yetu hatufaidiki na chochote
 
Hakuna POMBE
Hakuna KITMOTO(nguruwe)
Ukichepuka UNAPIGWA MAWE MPK KUFA


Bora nibaki TANZANIA tuu,kuna rahaa sasa huko


Utashangaa kulala mwisho wa saa tatu??
 
Unachanganya mambo.

Jinni ni kiumbe ambae wapo wengine wao ni mashetani. Kama ilivyo kwa binaadam, wapo wengine ni mashetani.

Shetani si lazima awe ni katika majinni, wapo binaadam mashetani, mfano huyu mchungaji:

nigeria-abus-pasteur.jpg
Ah ah ah ah
 
Back
Top Bottom