Mwigulu Lameck Madelu... sijaona mkiristo humo!
Nenda kanisani utawaona.... sijaona mkiristo humo!
Naona leo wameutwaa mji wa Kurdis
Umehukumu kutokana na majina yao lkn kulingana na mazingira yao ni vigumu sana mkristo kuhudumu kwenye taasis km hiyo.... sijaona mkiristo humo!
Tuwekee na ya mbowe mliemteuwa juzi.
They are f u c k * n g Talibans what do u expect?... sijaona mkiristo humo!
Tangu lini ukristo ukaruhusu kuua watu wasio na hatia? hakuna kitu kama hicho... sijaona mkiristo humo!
Kwani waliomuua yesu walikuwa waislamu?Tangu lini ukristo ukaruhusu kuua watu wasio na hatia? hakuna kitu kama hicho
Kumbe mfumo wao hauna tofauti kabisa na wa CCM