Mara mademu wa China ni expensive (ulikubaliana na huyo jamaa aliyesema hivyo) mara narudi tena huko mademu wa Bongo matapeli, anyway ndio mara ya kwanza naona wanaume wa kibongo wanasifia wanawake wa kichina kiasi hicho, yani of all the races in this world daah wakuu hebu tembeeni aseeKabisa wale mungu kawajaalia soon naibukia tena huko maana mademu wa kibongo naona wananitapeli tu ngoja nirudi zangu china kupata raha ya milele alafu kuna mademu wa kirusi nao kwa kudeka wako fresh sana
Kila mtu ana test yake ndugu. Hatuwezi fanana.Mara mademu wa China ni expensive (ulikubaliana na huyo jamaa aliyesema hivyo) mara narudi tena huko mademu wa Bongo matapeli, anyway ndio mara ya kwanza naona wanaume wa kibongo wanasifia wanawake wa kichina kiasi hicho, yani of all the races in this world daah wakuu hebu tembeeni asee
Dada mie nime tembea nchi tatu duniani tu russia ,sweden, china kote huku nimepita ila sehemu niliyo ona mademu wakali wenye heshima ni china na russia mademu wa sweden wabaguzi sanaMara mademu wa China ni expensive (ulikubaliana na huyo jamaa aliyesema hivyo) mara narudi tena huko mademu wa Bongo matapeli, anyway ndio mara ya kwanza naona wanaume wa kibongo wanasifia wanawake wa kichina kiasi hicho, yani of all the races in this world daah wakuu hebu tembeeni asee
Amini kabisaKila mtu ana test yake ndugu. Hatuwezi fanana.
Mkuu nakubaliana na wanaosema uzuri upo machoni kwa mtu, lakini kwa nchi ulizotembea sikulaumu, to each their own bruhDada mie nime tembea nchi tatu duniani tu russia ,sweden, china kote huku nimepita ila sehemu niliyo ona mademu wakali wenye heshima ni china na russia mademu wa sweden wabaguzi sana
Thanks sisterMkuu nakubaliana na wanaosema uzuri upo machoni kwa mtu, lakini kwa nchi ulizotembea sikulaumu, to each their own bruh
Wapo sayar ya mars, Jupiter uko wanaanzisha makazi..uyo china bado sanaaa Kwa level za marekaniSasa hivi wapo wapi na wanafanya nini?
Sayari ya Mars!!! Sayari ya Jupiter!!!!! 🤣 🤣 🤣 🤣 Utoto raha sana. Hebu tupatie reference ya hiki unachokiongeaWapo sayar ya mars, Jupiter uko wanaanzisha makazi..uyo china bado sanaaa Kwa level za marekani
Huu mji si nasikia unataka kujitenga??Hongkong kwa kina Jackie Chan[emoji16]View attachment 2754462View attachment 2754463View attachment 2754464
HapanaHuu mji si nasikia unataka kujitenga??
Ukiiongelea HongKong hapo Credits ni kwa Muingereza.
Lile bunge lao Uingereza daah huwa nafikiri nasema hawa jamaa huwa wanatulia katika kuachia vitu haswaUkiiongelea HongKong hapo Credits ni kwa Muingereza.
Ukitaka kuuona uwezo wa Uingereza kwenye ujenzi wa miundombinu, basi kaiangalie HongKong
China wananchi wake wengi ni njaa sababu ya hzo Sheria za ujamaa , ambapo serikali ndo inakuwa na hela Ila wananchi mnakuwa mapoyoyo , tofaut na ulaya ambapo jamaa wamejitanua Sana kumwezesha raia ajitawale na kumtengenezea mazingira mazuri ya kuishi kifalme, wachina tunafanya nao biashara wote wanakwambia wanahenyeshwa Sana taratibu zao ni tootough , japo serikali Yao ina pesa nyingi Sana na ndo inatengeneza miundo mbinu hiyo... Western still ni betterKwenye kusaka maisha, Wachina wanapenda sana watu wa Ulaya...wasichina wa China wanapenda sana kuolewa na wanaume wa Ulaya make wanaimani kuwa watakuwa wamefanikiwa ki maisha hasa wale gold digger.
China maisha imewapiga kwelikweli pamoja na hayo magorofa.
Unaongelea china ipi mzee? Hebu acha uongoChina wananchi wake wengi ni njaa sababu ya hzo Sheria za ujamaa , ambapo serikali ndo inakuwa na hela Ila wananchi mnakuwa mapoyoyo , tofaut na ulaya ambapo jamaa wamejitanua Sana kumwezesha raia ajitawale na kumtengenezea mazingira mazuri ya kuishi kifalme, wachina tunafanya nao biashara wote wanakwambia wanahenyeshwa Sana taratibu zao ni tootough , japo serikali Yao ina pesa nyingi Sana na ndo inatengeneza miundo mbinu hiyo... Western still ni better