Ijue Mikoa ambayo 90% ya Nyumba zake za Kulala Wageni zina Kunguni,Panya na Inzi wengi

Punguza ushamba we bwege
Pole kapeace[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] tatizo tu hujamuelewa gentamycine alichomaanisha na ndo maana ametaja mikoa minne tu hapo!
Ukiingia ndani zaidi utaielewa akili ya gentamycine ilikofikiria sasa badala yake wewe kapeace umeatack kwa matusi na jaziba zaidi.
 
Yaani na vyuma vilivyokaza nihangaishe kichwa changu kumuelewa punguani genta????

Mtukome na muache ushamba mabwege nyie
 
Jaman Jaman ....... Yani sitaki kukumbuka nilivyo teseka Dodoma japokua sehem ile kwa muonekano ilionekana nzur na kwa bei ile sikufikiria kuona hata sisimizi......nilivamiwa na kunguni wasio julikana hadi nilijuta kulala Dodoma
Mchepuko sio dili
 
Mimi kuna guest nililala manyara huko sitosahau...saa 7 ucku nkaamua kwenda kulala kwny gari lkn wakat mm nateseka na kunguni wenzangu vyumba vya jirani wanakazana tu
 
nadhani gesti zinazozungumziwa hapa ni zile za bei rahisi, ambazo pembeni au kwenye hizo gest utapata pia na pombe za kienyeji na umeme ukikatika kunawashwa taa za chemli ,popote utakapo lala gesti za aina hiyo utakua mtu wa ajabu sana ukiwashangaa kunguni
 
Mara nyingi kunguni huwa hawaishi kwenye baridi, Nimekaa Arusha sana sijawahi kuona Kunguni.
uongo uliotukuka... basi london kusingekuwa na kunguni... wewe utakuwa unaishi kwa kubahatisha
 
Ukisikia mtu anamsifia kunguru basi ujue kamnyea... possibly uliwabeba place moja so unaounatembea nao hiyo mikoa yote uliyopitia maana vigofu movement ikianza vinajibanza na pakitulia huchomoza... nakumbuka sana Shule boarding hii mikitu niliijulia huko.. hata ile Hostel ya Lake Manyara tuliwashwa sana na hivyo vi bugs
 
Acha kwenda guest za 2000
 

Bro kila mkoa hao viumbe wapo asee, namna ya kuwakwepa ni kutafuta loji au gesti house standard, unaenda kulala loji za vichochoroni na za bei chee afu ushangae hyo kitu? Pole asee...alafu angalia unaweza kuwaleta hata nyumbani kwako wakiingia ktk baadh ya nguo zako, wanasafiri kwa namna hyo hasa hao kunguni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…