Ijue Mikoa ambayo 90% ya Nyumba zake za Kulala Wageni zina Kunguni,Panya na Inzi wengi

Ijue Mikoa ambayo 90% ya Nyumba zake za Kulala Wageni zina Kunguni,Panya na Inzi wengi

Nikiwa kama Mtanzania ambaye nimewahi ama kupata bahati sana ya kutembelea karibu 98% ya Mikoa iliyopo nchini Tanzania nimegundua ya kwamba kuna Mikoa ambayo ukibahatika tu kuitembelea na kama huko huna Mtu unayemjua basi ikitokea tu ukaamua kwenda Kulala / Kumbonji Gesti au Loji basi jiandae kuwa mvumilivu wa Kuumwa na Kunguni kama siyo Kusumbuliwa mno na Panya na kila mara Kuzingirwa na Inzi.

Kwa kuanza kabisa nichukue fursa hii Kuipongeza hii Mikoa ifuatayo kwa kuwa na Gesti au Loji nzuri ambazo nimejaribu kwa juhudi zangu zote kutafuta Kunguni,Panya na Inzi huku na kule lakini sikubahatika kukutana nao hadi siku naondoka huko......

  1. Arusha
  2. Mbeya
  3. Kilimanjaro
  4. Mara ( Musoma )
Mikoa ambayo kwakweli imenishangaza na ambayo siku zote nilizobahatika kuwepo huko na nikawa nimelala katika Gesti na Loji zao nikawa kila siku iwe asubuhi, mchana na jioni nafanya tu Kazi ya kupambana kutokung'atwa na Kunguni, Kusumbuliwa na Panya hadi Kuzingirwa hovyo na Inzi hadi nikakereka na kuahidi kuwa sitothubutu kwenda tena hata ikitokea nimekaribishwa ni hii ifuatayo na Mimi GENTAMYCINE nawataka wajirekebishe haraka kwani wanatutia aibu Watanzania......
  1. Singida
  2. Kigoma
  3. Dodoma
  4. Kagera ( Bukoba )
Ni imani yangu kubwa sana Members wa JF mnaotoka katika hiyo Mikoa yenye kuwa na Gesti au Loji zenye Kunguni, Panya na Inzi wengi mtasaidia Kupaza Sauti huko Kwenu ili aibu hii muweze Kuikwepa. Halafu mkiwa humu mijini huwa mna shobo / nyodo kweli kumbe huko makwenu hali ni tete.

Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba kwa bahati nzuri GENTAMYCINE sina Mkoa wowote ninaotoka hapo katika hiyo yote iliyotajwa kwa upande wa ile isiyo na Kunguni, Panya na Inzi wala ile ambayo inayo ila nadhani nitakuwa nimesaidia kuwatahadharisha wenyeji wa huko wachukue hatua za haraka mno.

Nawasilisha.
Acha ubahiri wa kulala guest za vichochoroni za 5,000 au 3,000/ nenda zile zenye adhi. Au mpiga chabo maana huko wanakaa watu wa show time
 
Jaman Jaman ....... Yani sitaki kukumbuka nilivyo teseka Dodoma japokua sehem ile kwa muonekano ilionekana nzur na kwa bei ile sikufikiria kuona hata sisimizi......nilivamiwa na kunguni wasio julikana hadi nilijuta kulala Dodoma
Poyeeee
 
Mh basi hiyo kaliii hata mm lazma nishangae siku nyingne ukija useme tukutafutie sehem nzur ambayo utataman kurud kila sku
Ntashukuru sana...... Ila usije nifungulia thread[emoji6]
 
Aisee kwann umewaza hivyo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] limenijia tuu.... Kuna mtu nilionana nae humu akaja nitolea mfano japo hakunitaja nahisi next time nitatajwa na mwingine
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] limenijia tuu.... Kuna mtu nilionana nae humu akaja nitolea mfano japo hakunitaja nahisi next time nitatajwa na mwingine
Jichunguze na ujitafakar watu wa kufahamiana nao tunajifunza kupitia makosa hata mm kuna watu nilifahamiana nao lakin saiv wanakuja kunikejel kwenye comment

Kiukweli watu kama hao ni wa kuwapotezea tu maana yeye atakuwa anaumiza kichwa kukuzungumzia ila wewe huna habar nayeee
 
Jichunguze na ujitafakar watu wa kufahamiana nao tunajifunza kupitia makosa hata mm kuna watu nilifahamiana nao lakin saiv wanakuja kunikejel kwenye comment

Kiukweli watu kama hao ni wa kuwapotezea tu maana yeye atakuwa anaumiza kichwa kukuzungumzia ila wewe huna habar nayeee
True[emoji4]
 
Kuna mwana alinihadithia eti kuna guest mkoani alivyolipia mapokezi akapewa mshumaa kwajiri ya umeme kukatika pia alipewa na paka kaajiri ya kumlinda dhidi ya panya.

Ulikataa kumchukua paka lakini alipolala usiku alirudi mapokezi kumuomba yule paka...
 
Ni kweli Mkuu ila huko Singida, Kigoma, Dodoma na Kagera kumekithiri kwa hao Kunguni, Panya na Inzi. Yaani wamezidiwa kwa mfano na hata Mkoa tu wa Mara ambao ni msafi, mzuri na kila siku unakimbiliwa na Wageni kutaka Kuutembelea kutokana na kwamba huko Kunguni, Panya na Inzi hutothubutu kuwakuta ng'o.
Mkuu umesahau na lile jiji letu pendwa ile new York ya Tanzania kuna guest nyingi lkn hao viumbe uliowataja wanapishana kwenye makorido!
Ila kwa ndugu zangu hao
Dodoma
Kigoma
Singida na kagera wanaongoza kwakweeeli!
Pia umewasahau bukoba kwa kuweka manyloni kwenye magodoro.
Mkuu kwani we ni entomologist!?
 
Punguza ushamba we bwege
Mkuu umesahau na lile jiji letu pendwa ile new York ya Tanzania kuna guest nyingi lkn hao viumbe uliowataja wanapishana kwenye makorido!
Ila kwa ndugu zangu hao
Dodoma
Kigoma
Singida na kagera wanaongoza kwakweeeli!
Pia umewasahau bukoba kwa kuweka manyloni kwenye magodoro.
 
Sikujua km uko mbweha hivyo musoma ukailinganishe na bukoba wakati kwa asili nyie watu wa mara ni wachafu balaa mnanuka km dagaa waliooza
 
Jichunguze na ujitafakar watu wa kufahamiana nao tunajifunza kupitia makosa hata mm kuna watu nilifahamiana nao lakin saiv wanakuja kunikejel kwenye comment

Kiukweli watu kama hao ni wa kuwapotezea tu maana yeye atakuwa anaumiza kichwa kukuzungumzia ila wewe huna habar nayeee
Miss you baby girl
 
Back
Top Bottom