Uchaguzi 2020 Ijue mikoa ya ushindi kwa CCM

Uchaguzi 2020 Ijue mikoa ya ushindi kwa CCM

CCM siyo hivyo ,ni kishoka kama China,Cuba,Angola,Vietnan ,angalia Symbol yao.Mambo ya Democrat na Republicans wapi na wapi hata katiba ya nchi yao ipo tofauti na yetu.
Kizazi cha sasa kuongozwa na ccm kwa kweli ni matumizi mabaya ya akili zetu aisee.Yaani kuongozwa na katiba zilipendwa
 
Ifuatayo ni mikoa inayombeba mgombea wa CCM kwa kura nyingi ambazo zinaenda kupatia ushindi mkubwa usiotarajiwa na washindani wake kwenye sanduku la kura.

Mikoa hii ni mikoa yenye idadi kubwa ya watu na ina maelfu wa wanachama wa CCM, hivyo kama vyama shindani hawakujikita huko mapema baada ya 2015 tu kuandaa members basi wajue hawana chao Oct 2020.

Mikoa hii ni ngome kubwa ya CCM, ni vigumu sana wakaazi wa mikoa hiyo kuwahamisha, lakini zaidi ni Magufuli.
1. DODOMA
2. TABORA
3. MWANZA
4. RUVUMA
5. SHINYANGA
6. GEITA
7. RUVUMA
8. MOROGORO
9. UNGUJA JUMLA
10. SIMIYU
11. TANGA
12. IRINGA
13. KATAVI
14. RUKWA

MIKOA ambayo haipo kwenye orodha hapo juu ni ile ya kugawana kura ambapo kura ndogo zitaongeza ujazo kwenye kura nyingi zitakazotoka kundi la mikoa iliyoorodheshwa juu.

Mikoa ya kugawana ni:

1. ARUSHA
2. KILIMANJARO
3. MARA
4. LINDI
5. MTWARA
6. PEMBA JUMLA
7. MBEYA
8. SINGIDA
3. KIGOMA

Kura za mikoa hii haziwezi kumpa ushindi mpinzani yeyote kwa sababu kura nyingi watagawana na CCM.
MIKOA isiyojulikana na yenye vigeugeu ni:

1. DAR
2. MTWARA
3. KAGERA

KURA NI MAHESABU TU. KAMA VYAMA VYA UPINZANI HAWAKUFANYA MAGAZIJUTO MAPEMA, BASI WASITUMIE GHARAMA ZA MATUMIZI HAKIKA WATAPATA HASARA BURE.
Research uliifanyia wapi
 
Ifuatayo ni mikoa inayombeba mgombea wa CCM kwa kura nyingi ambazo zinaenda kupatia ushindi mkubwa usiotarajiwa na washindani wake kwenye sanduku la kura.

Mikoa hii ni mikoa yenye idadi kubwa ya watu na ina maelfu wa wanachama wa CCM, hivyo kama vyama shindani hawakujikita huko mapema baada ya 2015 tu kuandaa members basi wajue hawana chao Oct 2020.

Mikoa hii ni ngome kubwa ya CCM, ni vigumu sana wakaazi wa mikoa hiyo kuwahamisha, lakini zaidi ni Magufuli.
1. DODOMA
2. TABORA
3. MWANZA
4. RUVUMA
5. SHINYANGA
6. GEITA
7. RUVUMA
8. MOROGORO
9. UNGUJA JUMLA
10. SIMIYU
11. TANGA
12. IRINGA
13. KATAVI
14. RUKWA

MIKOA ambayo haipo kwenye orodha hapo juu ni ile ya kugawana kura ambapo kura ndogo zitaongeza ujazo kwenye kura nyingi zitakazotoka kundi la mikoa iliyoorodheshwa juu.

Mikoa ya kugawana ni:

1. ARUSHA
2. KILIMANJARO
3. MARA
4. LINDI
5. MTWARA
6. PEMBA JUMLA
7. MBEYA
8. SINGIDA
3. KIGOMA

Kura za mikoa hii haziwezi kumpa ushindi mpinzani yeyote kwa sababu kura nyingi watagawana na CCM.
MIKOA isiyojulikana na yenye vigeugeu ni:

1. DAR
2. MTWARA
3. KAGERA

KURA NI MAHESABU TU. KAMA VYAMA VYA UPINZANI HAWAKUFANYA MAGAZIJUTO MAPEMA, BASI WASITUMIE GHARAMA ZA MATUMIZI HAKIKA WATAPATA HASARA BURE.
Wangefanya magazijuto hayo saa ngapi , wakati utawala wa ki dictator ulipiga marufuku shughuli za vyama vya siasa kwa miaka mitano mfululizo ili Ccm wafanye wao tu ???!!!.
 
Achafuke asichafuke, Ikulu haingii ng'oo, hilo kaa nalo kichwani. Huindio ukweli mchungu
Nani

Nani anaeshirikiana na mashoga Malaya wewe huyo mnaelenga kumchafua hachafuki ng'ooo ! Mlitaka akatibiwe muhimbili ili mummalize kenge nyie na tunauona uwepo wa Mungu kupitia uponyaji wake ingekuwa baba yako kapigwa hata risasi tatu muda huu angekuwa mifupa kenge wewe.
 
Ni kweli kabisa,na Kampeni ni lazima ufuate Sayansi...Mikoa ya Ziwa ina utitiri wa watu vijijini ambao hata matumizi y Choo kwao Ni kitendawili...wao kofia na T-shirt inatosha kabisa kumuweka Duniani!
Hii Ni ngome kuu ya wa watu fulani...na ukizingatia Ubagoshaaa! Kuna kazi kule!
Bahati nzuri kwa upinzani unakibalika miongoni mws wasomi, vijana na wajanja fulani...Hawa wengi wapo mijini...kutokana na vijiji fulani kugeuka kuwa vimiji,kwetu Karagwe tunauita Sentani' hapo Kuna kura za upinzani!
Na kwa mwelekeo huu ,ambapo pia Chama Tawala kimewekeza kwenye ,ukale,ujinga na mabavu.Bahati mbaya sana kwao kizazi kinachomaintain' status quo ya ukale ...TAA,TANU ,CCM ,NYEREREISMs kina potea kinapitea Kama Dinassours ...huu Ni msiba kwa CCM!Kwa hiyo
bila hata kuangalia uchaguzi wa Mwaka huu, CCM inapoteza waachama wake wa damu by default😂..
Na Kama itatokea Awamu ya Tano ikaendelea 😩😩 na wakawepo pale ,Polepole, Bashiru, na vile vikuu vya Mikoa fulani CCM utakuwa inajimomomnyoa' yenyewe!
Dalili hizi Ni wazi...na hivi Ni Viashiria...Mwaka huu kwa Mara ya kwanza mgombea wa upinzani Ni mpinzani🤗🤗! ;Nguvu kubwa iliyotumika kuua upinzani kwa miaka 5 haijazaa matunda;Dhana ya upinzani imeanza kujibainisha zaidi kifikra,hii Ni hatarikubwa kwa Chama chenye asili ya Ukomunisti!
Vindakiki,wafurukutwa na wakereketwa hamuwezi elewa Sayansi hii!
Msomi mjinga anaegeuka kama Kinyonga wa nini?Tafuta wasomi mamluki wachaguane.
Unachagua mpinzani kesho yake anaunga juhudi za CCM kwa kuhama chama. Utitili wa malaya wa kisiasa kwa wapinzani kwenda CCM umetuvunja moyo.
Yaani wabunge wa Chadema waliendelea kuwapanulia goli CCM hadi mwisho wa bunge hili !!!! Na labda kama bunge lingeongeza mwezi mmoja tungerudi na wabunge watano tu.
 
Wapi kuna njaa nchi hii ?
Ishu sio mikoa ishu Ni umeyaumiza Makundi ya ushindi katika Jamii,si wafanyakazi, wakulima,wavuvi,wafugaji, wafanyabiashara,wanafunzi,wahitimu nk woote wanakulilia wwe umeyabomoa maisha yao Hadi wengine wamekufa,ndoa zimesamaratika, familia zimesamaratika,wako vitandani wanaumwa,Wana maumivu ya kila aina.so ishu sio mikoa Kama ilivozoeleka ishu Ni njaa.njaa ndio uangusha serikali nyingi duniani.Nchi zote stable duniani ni kwa sababu zimeweza maliza au punguza njaa kwa wapiga kura.Thus wanatumia gharama kubwa Sana kujinadi waliyofanya sababu hayaondoi njaa kwa wananchi yanagusa wachache na sio wengi.
 
Ifuatayo ni mikoa inayombeba mgombea wa CCM kwa kura nyingi ambazo zinaenda kupatia ushindi mkubwa usiotarajiwa na washindani wake kwenye sanduku la kura.

Mikoa hii ni mikoa yenye idadi kubwa ya watu na ina maelfu wa wanachama wa CCM, hivyo kama vyama shindani hawakujikita huko mapema baada ya 2015 tu kuandaa members basi wajue hawana chao Oct 2020.

Mikoa hii ni ngome kubwa ya CCM, ni vigumu sana wakaazi wa mikoa hiyo kuwahamisha, lakini zaidi ni Magufuli.
1. DODOMA
2. TABORA
3. MWANZA
4. RUVUMA
5. SHINYANGA
6. GEITA
7. RUVUMA
8. MOROGORO
9. UNGUJA JUMLA
10. SIMIYU
11. TANGA
12. IRINGA
13. KATAVI
14. RUKWA

MIKOA ambayo haipo kwenye orodha hapo juu ni ile ya kugawana kura ambapo kura ndogo zitaongeza ujazo kwenye kura nyingi zitakazotoka kundi la mikoa iliyoorodheshwa juu.

Mikoa ya kugawana ni:

1. ARUSHA
2. KILIMANJARO
3. MARA
4. LINDI
5. MTWARA
6. PEMBA JUMLA
7. MBEYA
8. SINGIDA
3. KIGOMA

Kura za mikoa hii haziwezi kumpa ushindi mpinzani yeyote kwa sababu kura nyingi watagawana na CCM.
MIKOA isiyojulikana na yenye vigeugeu ni:

1. DAR
2. MTWARA
3. KAGERA

KURA NI MAHESABU TU. KAMA VYAMA VYA UPINZANI HAWAKUFANYA MAGAZIJUTO MAPEMA, BASI WASITUMIE GHARAMA ZA MATUMIZI HAKIKA WATAPATA HASARA BURE.
I believe Chadema this time around watakuwa na tallying center mbili moja Tanzania na nyingine nje ya nchi,
 
Hawezi kuingia tunza post hii baada ya uchaguzi utaamini nisemayo. Unafikiri watanzania wanaakili kama yako uliyepigwa chini kwa cheti fake ?
Kama Ikulu ni Mali ya baba yako haingii
 
Hawezi kuingia tunza post hii baada ya uchaguzi utaamini nisemayo. Unafikiri watanzania wanaakili kama yako uliyepigwa chini kwa cheti fake ?
Akili zako za kale kaam jina lako lilivyo unafikiri dunia ya xaiv ya wajinga kama ww
 
Kwa hyo manyara haipo tz au amna wapiga kura huko.

Takwimu za kishenzi kweli hizi.
 
Mleta Mada. Amini nakwambia, CCM hawashindi

1. RUVUMA
2.TANGA
3. MOROGORO
4. KATAVI
5. RUKWA
6. IRINGA
7. UNGUJA

Kuna mikoa ambayo kura za Magu na Lissu zinaweza kukaribiana usiniulize Kwa nini ila utakuwa unajua

1. SIMIYU
2. SHINYANGA

Kuna Mikoa Lissu/ Upinzani watashinda kwa kishindo
1. SONGWE
2. DAR ES SALAAM
3. MBEYA
4. KIGOMA
5. SINGIDA
6. LINDI
7. MTWARA
8. KILIMANJARO
9.ARUSHA
10. MANYARA
11. MARA
12. KAGERA

Tukutane October
Ushindi wa wabunge wengi ni kioo cha ushindi wa jumla,
Chama kitakachopata wabunge wengi ni wazi kitachukuwa ushindi wa Raisi.
Naona watu wamejikita kwa Raisi zaidi,wanasahau kuwa mara zote ushindi wa Raisi unaendana na wingi wa wabunge tokea tuanze tena siasa ya vyama vingi.
Lakini pammoja na hilo,unategemea kuamini vipi mchakato mzima wa uchaguzi wakati mambo ya msingi ya Katiba mpya na Tume Huru yamewekwa dampo?
Sana sana ni kuvuna pressure.
 
Back
Top Bottom