[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kweli mimi siwezi
Anzisha chako wewe unayoweza
Hhahahaha una futi ngap ?naujua mnara mmoja tu wa my Mr[emoji58]
Futi 1,325 = 1.3km?Duh! Mnara wenye kilometres 1.3?
Hatari sana kwa sisi wenye visungusungu
Kana ubaona ni rahisi unachosema jaribu kufanya mkuumleta mada ungejipanga kwanza ulete thread yako kwa wakati mmoja unavyileta kivipande hivi inakuwa kama mavi ya mbuzi.. usiwe kama Inna
sikuwa na nia mbaya mkuu.Kana ubaona ni rahisi unachosema jaribu kufanya mku
Uandike na kuweka picha zen ipost zote kumi kwa pamoja
Heri mimi napost tu mavi ya mbuzi lakini yanejufanya upoteze muda kuyafuatilia
Zitto alitoa ushauri wa kuchimba chuma hapahapa kwetu , ngoja tumpe jiwe muda. Hahahaaa usiseme ugali mkuuLabda mnara ujengwe kwa jutumia ugali
Samahani mkuu nilisoma harakaharaka nikidhania ni metersFuti 1,325 = 1.3km?