Ijue mipaka ya kimamlaka kwenye video ya mzozo wa mwanajeshi na trafiki wa usalama barabarani inayosambaa mitandaoni

unawezampa hata mpa hadhi ya kamishna wa polisi,sawa tu ukitaka.

ila akijichanganya ndio haya ya kufokewa na contable wa polisi kama mtoto,maana hajui mipaka yake.
Khaaa aaaaa khaaaa. Ukitaka kujua ulingabmnisho angalia Rais anapowatoa hao Watu kwenye Majeshi kuwapeleka Idara za Kiraia kanal anapewa Wilaya na ACP anapewa Wilaya,Major General anapewa Mkoa Kamishina wa Polisi anapewa Mkoa . Hivyo hayo macheo yanapambika tu kimajina nje ya humo majeshini kwenu hayana lolote .
 
Wengi mnaongea Kwa hisia, mnafahamu kiapo Cha utii wa Sheria wanachoapa wanajeshi?
Nyie ndio mnawapa kichwa wanajeshi bila sababu akifikishwa kwenye mahakama Yao anaweza kupoteza kazi Kwa sababu alitakiwa kutii sheria
 
Kosa ni la aliye rekodi clip. Rejea shauri la watoa huduma za afya huko Uyui.
 
Trafiki kazi yake sio KUKAMATA ni kusimamia sheria hili neno kukamata ndio linafanya hata kosa liwe la maelekezo wanaanza usumbufu wa hela
Sasa asimamie bila kukamata? Ukikaidi maelekezo lazima ukamatwe ndugu
 
Nafikiri bila ya kuangalia nani ana cheo gani, unapomkuta askari mwenzako japo ni jeshi tofauti, yuko kwenye majukumu yake, huna sababu ya kumuingilia. Ubabe wa kijinga wa jwtz daima ni tatizo kwa Tz. Wao ndio wakuendesha magari yao upande tofauti, na wanajiona ndio wako juu ya wote.
 
WENGI Hawaijui sheria ya usalama! TRAFIKI wakiamua wanaweza kamata na kusweka lupango Mwanajeshi akivunja sheria ya usalama barabarani
Masuala mengi yanahitaji busara na hekima kuliko hata hizo sheria unazosema....mara ngapu hawa watu wanashikana masharti na kutwangana barabarani.....??Issue ni kuheshimiana na kusitiriana tu....maisha yaende..ukikazana na sheria kuna siku mtu atavunjwa kiuno na hakuna kitakachofanyika

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Jeshi la Police lina watu Wengi ambao hawajui Sheria wala Mipaka yao wapo wapo tu, Wanataka kuburuza kila mtu wakidhani wao wana mammlaka sana tena wengine ni Seniors kabisa na hawataki Walau Kusoma au Kujua Miongozo yao
 
Huu umbea umbea wa kurekodi vitu itakuja siku kumkosti mtu (Kiherehere) endeleeni
 
Jeshi la Police lina watu Wengi ambao hawajui Sheria wala Mipaka yao wapo wapo tu, Wanataka kuburuza kila mtu wakidhani wao wana mammlaka sana tena wengine ni Seniors kabisa na hawataki Walau Kusoma au Kujua Miongozo yao

mahakama iko kwa ajiri hiyo,unatakiwa ukawafundishe kizimbani,otherways utauponza.
 
Sio hawapatani, hata raia hawawapendi paka.
 
Kuna siku niliwarekodi hao baka baka wakifanya upuuzi mmoja wao akastuka akachukua simu yangu kibabe

Akatafuta ile video hakuweza kuiona (ilkua ni kipind smart phone zinaingia )basi wakaichukua na kuniamuru niifate kambini kwao nikaona niachane nao mpaka leo ipo huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…