Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
KabisaTulipokuwa wavulana katika kazi tuliona ufahari kubishana pasina hoja inayoeleweka.Watakua na watajua wanachofanya ni utoto wenye kuelekea kwenye uwendawazimu.Kila mmoja anahitajika sana kulingana na majukumu,wakati na maamuzi sahihi.
Nitajibu swali lako siku aide de camp wa Rais akitoka jeshi la polisi.Sasa nchi gani ambayo haina sheria likaichukue?
"Alo,nakucheki sana." Kwa ajili hana silaha ndio amezungumza hivi.Kuna video inatembea mitandaoni!
View attachment 2482273
Video ile inamuonesha mwanajeshi wa jeshi la wananchi akiwa na sare akiwa ni moja ya abiria kwenye bus (daladala) akizozana na askari wa usalama barabarani (trafiki)
Kipande hiko cha video kinaonesha kulikuwa na majibizano na lugha isiyofaa kabla!
Maneno machache yaliyosikika ni Mwanajeshi alijibu kwa kumwambia yule TRAFIKI kwamba! "Wewee huwezi kunionya Mimi wee paka tu"
Traffic alijibu kwa kuhoji "Mimi ni paka?
Mwanajeshi alijibu nae kwa kusema:
" Huwezi kunionya wewe Arooh nakucheki sana!
NANI ANA MAKOSA?
Hapo tukianza na mwanajeshi tunagundua either kwa kusahau au kwa kueleweka vibaya huenda baada ya gari alopanda (daladala) kukamatwa na kushikiliwa hakuona dalili njema za uadilifu kwa traffic ambazo zilionekana kuwachelewesha!
Hivyo kwa nia njema au mbaya huenda alimsihi yule TRAFIKI amalize kazi yake fasta wawahi!
Bahati mbaya huenda TRAFIKI aliitafsiri vibaya ile kauli ya manajeshi na kumuonya yule mwanajeshi! (Bad approach)
Kitendo cha TRAFIKI kumuonya yule mwanajeshi waziwazi kilikuwa na mlengo mbaya na mapokeo mabaya yanayoshusha hadhi ya JWTZ mbele ya RAIA (Na hapo ndipo unamuona mwanajeshi anapaniki kwamba unaweza kunionya wewe paka?)
Na baada ya TRAFIKI Polisi kugundua kwamba Kachemka, alitumia mwanya wa kuitwa PAKA kutafta kinga ya kisheria endapo mambo yataharibika!
Kimamlaka na sheria nani alikuwa sahihi?
Kwa mujibu wa sheria za usalama barabarani (Road traffic act) zinampa mamlaka ya kisheria askari wa usalama barabarani kukamata na kuadhibu chombo chochote cha moto kinachohisiwa kukiuka sheria za usalama barabarani pasipo kujali kimebeba nani!
Mamlaka hayo yakisheria yanamlazimisha TRAFIKI Kuongea na dreva wa chombo husika peke yake (SIYO ABIRIA)
ABIRIA anaweza kutoa maoni au taarifa ya kutokutendewa haki na dreva au chombo lakini HARUHUSIWI KUMUAMRISHA TRAFIKI kutekeleza kazi yake!
ABIRIA akifanya hivyo anakuwa katenda KOSA LA KUMZUIA ASKARI Kufanya kazi yake!
Kwa matinki hiyo TRAFIKI Anaweza kukamata CHOMBO CHOCHOTE CHA KIRAIA (siyo majeshi) hata kama chombo hicho kitakuwa kimebeba kikundi cha wanajeshi kiasi cha kuhatarisha usalama barabarani!
Hivyo kimamlaka ya usalama barabarani TRAFIKI alikuwa sahihi LAKINI ALIKOSA BUSARA!
Mwanajeshi alikuwa sahihi lakini hakutumia BUSARA kufikisha ujumbe wake!
Hapa nachoweza kusema Shamba la bwana kheri, Mbuzi wa bwana kheri!
Maelekezo ya kinidhamu yanayotolewa kila siku HAYAKUZINGATIWA na wawili hawa!
KUKOSA Kwao BUSARA Kunaweza pelekea migogoro ya mihimili miwili ya kijeshi!
Hivyo wote wawili wanastahili ADHABU kutoka wakuu wao na endapo watakuwa na makosa mengine nyuma kama hayo inashauriwa hata KUFUKUZWA KAZI!
Tena hatuwaiti polisi au askari.Kazi za jeshi ni ngumu zinahitaji morali sio kama polisi pushups kwenye Godoro sisi makamanda pushups kwenye kokoto... haiwezekani kamanda maji kupanda mlima
sasa kama me nikiwa depo naimba nyimbo za hivi... kwel polisi nitakuwa namwonaje.... hili bifu lipo tangu zamani hawapatani hawa
Siku jichanganye tu upate kosa la kikawaida police akukunjie roho ndo utapoita maji mma kikosi chako kitakukataaTena hatuwaiti polisi au askari.
Tunawaita 'raia wakakamavu'
Jidanganye wote wana train pamoja JKT wanakuja achana tu hawa wanaenda Msata course hawa CCP moshi so ni wanajuana sana tuMjeda wa wapi huyo apigwe na polisi kizembe hivyo? Tena kama ukijichanganya kwa MP's kipigo utakachopewa hautosahau.
Hilo swala la hawa kwenda Msata na wale kwenda CCP Moshi ndio linaleta utofauti kati ya wajeshi na hao paka.Jidanganye wote wana train pamoja JKT wanakuja achana tu hawa wanaenda Msata course hawa CCP moshi so ni wanajuana sana tu
Hilo swala la hawa kwenda Msata na wale kwenda CCP Moshi ndio linaleta utofauti kati ya wajeshi na hao paka.
Utakuwa wa ajabu sana kuamini kwamba Polisi na Wajeda wanaweza kulingana kwa mbinu na uwezo kimapigano kwa ujumla.
We paka umetumwaKuna video inatembea mitandaoni!
View attachment 2482273
Video ile inamuonesha mwanajeshi wa jeshi la wananchi akiwa na sare akiwa ni moja ya abiria kwenye bus (daladala) akizozana na askari wa usalama barabarani (trafiki)
Kipande hiko cha video kinaonesha kulikuwa na majibizano na lugha isiyofaa kabla!
Maneno machache yaliyosikika ni Mwanajeshi alijibu kwa kumwambia yule TRAFIKI kwamba! "Wewee huwezi kunionya Mimi wee paka tu"
Traffic alijibu kwa kuhoji "Mimi ni paka?
Mwanajeshi alijibu nae kwa kusema:
" Huwezi kunionya wewe Arooh nakucheki sana!
NANI ANA MAKOSA?
Hapo tukianza na mwanajeshi tunagundua either kwa kusahau au kwa kueleweka vibaya huenda baada ya gari alopanda (daladala) kukamatwa na kushikiliwa hakuona dalili njema za uadilifu kwa traffic ambazo zilionekana kuwachelewesha!
Hivyo kwa nia njema au mbaya huenda alimsihi yule TRAFIKI amalize kazi yake fasta wawahi!
Bahati mbaya huenda TRAFIKI aliitafsiri vibaya ile kauli ya manajeshi na kumuonya yule mwanajeshi! (Bad approach)
Kitendo cha TRAFIKI kumuonya yule mwanajeshi waziwazi kilikuwa na mlengo mbaya na mapokeo mabaya yanayoshusha hadhi ya JWTZ mbele ya RAIA (Na hapo ndipo unamuona mwanajeshi anapaniki kwamba unaweza kunionya wewe paka?)
Na baada ya TRAFIKI Polisi kugundua kwamba Kachemka, alitumia mwanya wa kuitwa PAKA kutafta kinga ya kisheria endapo mambo yataharibika!
Kimamlaka na sheria nani alikuwa sahihi?
Kwa mujibu wa sheria za usalama barabarani (Road traffic act) zinampa mamlaka ya kisheria askari wa usalama barabarani kukamata na kuadhibu chombo chochote cha moto kinachohisiwa kukiuka sheria za usalama barabarani pasipo kujali kimebeba nani!
Mamlaka hayo yakisheria yanamlazimisha TRAFIKI Kuongea na dreva wa chombo husika peke yake (SIYO ABIRIA)
ABIRIA anaweza kutoa maoni au taarifa ya kutokutendewa haki na dreva au chombo lakini HARUHUSIWI KUMUAMRISHA TRAFIKI kutekeleza kazi yake!
ABIRIA akifanya hivyo anakuwa katenda KOSA LA KUMZUIA ASKARI Kufanya kazi yake!
Kwa matinki hiyo TRAFIKI Anaweza kukamata CHOMBO CHOCHOTE CHA KIRAIA (siyo majeshi) hata kama chombo hicho kitakuwa kimebeba kikundi cha wanajeshi kiasi cha kuhatarisha usalama barabarani!
Hivyo kimamlaka ya usalama barabarani TRAFIKI alikuwa sahihi LAKINI ALIKOSA BUSARA!
Mwanajeshi alikuwa sahihi lakini hakutumia BUSARA kufikisha ujumbe wake!
Hapa nachoweza kusema Shamba la bwana kheri, Mbuzi wa bwana kheri!
Maelekezo ya kinidhamu yanayotolewa kila siku HAYAKUZINGATIWA na wawili hawa!
KUKOSA Kwao BUSARA Kunaweza pelekea migogoro ya mihimili miwili ya kijeshi!
Hivyo wote wawili wanastahili ADHABU kutoka wakuu wao na endapo watakuwa na makosa mengine nyuma kama hayo inashauriwa hata KUFUKUZWA KAZI!
PTKWA HIYO NI RASMI JAMAA WABATIZWE AU JF MMEWABATIZA JINA LA PAKA.
Ipo hivi kwenye hilo gari yeye ndio kiongozi hapo kwa hiyo km polisi traffic alikosa nidham kwa namna yyte hile alipaswa kumuonya kama kiongozi na ndio alichofanya tena huyo traffic alipaswa apewe adhabu hapohapo ili iwe fundisho.sasa huyo mzee kama aliona anachelewa si angeshuka apande gari lingine!!na magari ya jwtz yapo,ukipanda daladala au bus basi wewe ni abiria kama wengine,uwe mtulivu.
aibu nyingine mtu anazitafuta kwa nguvu,maana sasa hapo abiria wanashangaa kwanini constable anamuwakia ssgt wa jeshi tena!!!na sijui aliishije humo garini hata baada ya kuachiwa.
Kwa kweli na Mimi siwapendi paka.... Huwa siyo waelewa kabisa
Kwa kauli zetu za depo aliongeleshwa kistaarabu sana hapo. Kule hakuna lugha soft hivoKazi za jeshi ni ngumu zinahitaji morali sio kama polisi pushups kwenye Godoro sisi makamanda pushups kwenye kokoto... haiwezekani kamanda maji kupanda mlima
sasa kama me nikiwa depo naimba nyimbo za hivi... kwel polisi nitakuwa namwonaje.... hili bifu lipo tangu zamani hawapatani hawa
kuna kale kamsemo paka wakienda mafunzo wanafundishwa kupiga kiwi na kutandika vitandaTena hatuwaiti polisi au askari.
Tunawaita 'raia wakakamavu'
ππππKwa kauli zetu za depo aliongeleshwa kistaarabu sana hapo. Kule hakuna lugha soft hivo
Mbona analia au ndo uchungu wa kutukanwa na mjeda.
Kwa kauli zetu za depo aliongeleshwa kistaarabu sana hapo. Kule hakuna lugha soft hivo
Nani alikudanganya?Staff sergeant wa JWTZ ana hadhi zaidi ya mrakimu wa jeshi la polisi, yaani yule afisa mwenye nembo ya bibi na bwana