Wakati nikiwa kidato cha pili nliwahi kusoma kitabu flani kuhusu Khmer regime.
Nilitia nia kwamba ni lazima nifike Cambodia maishani mwangu. Katika harakati zangu za kula bata, nilifanikiwa kufika Cambodia mwishoni mwa mwaka 2018.
Nlijifunza mengi na kuona mengi, ntarudi ku-share nanyi.
Angkor wat is real.
View attachment 1349120