Ilishawahi nitokea Kwa bint mmoja hivi, nataka kumwaga naye kumbe alikuwa anafika mshindo alinikumbatia Kwa nguvu sana nikamwaga ndaniUnataka kumwaga mwenzio anakukumbatia. Tunalea mimba au iuna dada ako anafanya kazi pharmacy?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilishawahi nitokea Kwa bint mmoja hivi, nataka kumwaga naye kumbe alikuwa anafika mshindo alinikumbatia Kwa nguvu sana nikamwaga ndaniUnataka kumwaga mwenzio anakukumbatia. Tunalea mimba au iuna dada ako anafanya kazi pharmacy?
Afadhali ww umesema ukweli. Hiyo shughuli akili na ufahamu vyote huhama kwa muda. Eti unachomoa - tusidanganyane hapa. Hiyo sio porn bro.Ilishawahi nitokea Kwa bint mmoja hivi, nataka kumwaga naye kumbe alikuwa anafika mshindo alinikumbatia Kwa nguvu sana nikamwaga ndani
Hakika njia hii ni ngumu sana kuepusha mimba kutungwa,isitoshe pia kuna wengine mbegu utoka bila wao kuhisi mshindo kabisa,Sioni njia hii kuwa salama kwani inahusisha kufanya tendo la ndoa halafu eti umwage mbegu nje. Ni vigumu kufanya vitu viwili kwa wakati mmoja.Pili wakati wa mshindo akili zinazidiwa watu wote wawili wanapokuwa kileleni hivyo hata akili ya kumwaga nje inakosekana.Njia bora ni ile ya kuweka kalenda ya mzunguko wa mama kabla ya hedhi na baada ya hedhi wasijamiane mama anapokaribia kuingia ute wa uzazi.watalamu wanajua zaidi kwamba ni salama
Pole sana ni ajali kazini mkuu,hii uwatokea wengi,na mungu ni fundi mkubwa,ndivyo alivyotuumba,lengo tuzaane tuijaze dunia,.Ilishawahi nitokea Kwa bint mmoja hivi, nataka kumwaga naye kumbe alikuwa anafika mshindo alinikumbatia Kwa nguvu sana nikamwaga ndani
Kila kitu sio kwa kila mtuTotoo unataka kusemaje?