Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

Nyota mbona wakristu hatujuagi hizi mambo za akina mukhd
 
Acha nitafute March 11
 
Mtaalamu, nisaidie Tarehe ya kuzaliwa 02/11 siku ya Jumamosi. Kujua Nyota yangu na nguvu yake?
 
Nimekuwa mvivu sana siku hizi kuandika Al habiby ila napita nikisoma tu yaloandikwa kama hivi Akhuy wangu...!
Karibu sana mimi nikipita najazia nyama tu kwenye thread zangu naangalia na quotes tu za member, mengine nawaachia wengine

Rakims
 
Karibu sana mimi nikipita najazia nyama tu kwenye thread zangu naangalia na quotes tu za member, mengine nawaachia wengine

Rakims

Vyema kabisa aisee bado upo Tandika au...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…