Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

Kwa sababu watu wengi wamekuwa wakielezea kitu wasichokijua ndio maana unaweza kukuta nyota unayoambiwa ni yako inasema leo utagombana na mke wako na hali ya kuwa hata mke mwenyewe huna ndio inazidi kumpoteza mtu na kuona ni usanii tu usio na malengo mazuri,

Ukijua exactly which one is your sign utaona kama ni mtu karecord mambo uako yote kisha kapost

Rakims
Acha nitafute March 11
 
Mtaalamu, nisaidie Tarehe ya kuzaliwa 02/11 siku ya Jumamosi. Kujua Nyota yangu na nguvu yake?
 
Nimekuwa mvivu sana siku hizi kuandika Al habiby ila napita nikisoma tu yaloandikwa kama hivi Akhuy wangu...!
Karibu sana mimi nikipita najazia nyama tu kwenye thread zangu naangalia na quotes tu za member, mengine nawaachia wengine

Rakims
 
Karibu sana mimi nikipita najazia nyama tu kwenye thread zangu naangalia na quotes tu za member, mengine nawaachia wengine

Rakims

Vyema kabisa aisee bado upo Tandika au...?
 
Back
Top Bottom