Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

Mimi nimezaliwa siku ya Jumatano tarehe 20 June, nyota ni mapacha na jina linaanza na C, tabia zangu sizielewi, sidumu kwenye kazi, hata kama sitafukuzwa nitaacha, yaani natamani mambo makubwa tu, sina wazo la wastani yaani nawaza makubwa ambayo hayajatimia mpaka leo, shida nini hapo? @Raskims
@Rakims
 
Hili unalolizungumzia linahusiana na dini na mimi nakuonea huruma juu ya hili,ubatakiwa umuogope Mola wako kwa kuipoteza nafsi yako na kupoteza wenzi wako,najua huwa unatumia hili la haramu kupata ugali,ila nakuhusia wewe na kuihusia nafsi yangu tumche Allah.

Nyinyi mko wengi na mkikumbushwa huwa mnahisi watu wanataka kuwaharibia biashara zenu,ila ukweli uko dhidi yenu na hili ni ovu linatakiwa kukemewa,mwenye kujua ghaibu ni Allah pekee.

Hakuna anae jua kila kitu ila haki lazima isemwe.
Yani hapa umeshaanzisha hoja isiyo na mashiko hivi huwa unajielewa mkuu?
Vitu vyote nimeweka wazi hapa bado unaniambia natafuta ugali wa kwako au?
Huna hoja mkuu ndio maana nimekwambia pita tu maana nilijua huna hoja zaidi ya kujikinga kwenye dini wakati ni mnafiki tu, hapo ujio wako tu umeonyesha unafiki wako, usijifanye unajua sana dini hali ya kuwa ni maamuma kama wengine hivi huwa mnategemea dunia yote hii watu wote watakuwa watangaza dini na wote wanaishi kwenye muongozo wa dini tu, hakuna jingine, ingekuwa hivyo hii dunia teyari ingeshavaa bukta, halafu kama unaniona mimi nimepotea Jua ya kwamba imani yako hiyo hiyo unayoifuata Mola wako anakueleza wewe unaojiona unaijua dini "si kazi yenu kuwaongoa bali fikisheni ujumbe" sasa ujumbe umeufikisha lakini huna elimu nao mkuu wala hoja huna na nyie ndio mnaofanya watu waone dini ni Ngumu na haziwezekani kisha kujikita kwa maovu na wewe utaulizwa, hii ni public kuna watu wa kila aina. sasa wewe mnafiki tu wa kawaida unaleta kujua wakati huna unalojua. watu wakiamua kukufuatilia hili na unayoyafanya humu kwenye Forum na Username ulizonazo ndio watajua wewe ni tatizo kiasi gani,

Rakims
 
Mimi nimezaliwa siku ya Jumatano tarehe 20 June, nyota ni mapacha na jina linaanza na C, tabia zangu sizielewi, sidumu kwenye kazi, hata kama sitafukuzwa nitaacha, yaani natamani mambo makubwa tu, sina wazo la wastani yaani nawaza makubwa ambayo hayajatimia mpaka leo, shida nini hapo? @Raskims

Mkuu hakuna shida isipokuwa unatakiwa uelewe ya kuwa nyota imegawanyika katika sehemu 4 ambazo ni nyota iliyochomoza wakati unazaliwa, nyota ya jina lako,nyota ya mwezi wa kuzaliwa na pia nyota iliyopo mwezi
ukizijua hizo utaweza kujielewa zaidi

Rakims
 
Yani hapa umeshaanzisha hoja isiyo na mashiko hivi huwa unajielewa mkuu?
Vitu vyote nimeweka wazi hapa bado unaniambia natafuta ugali wa kwako au?
Huna hoja mkuu ndio maana nimekwambia pita tu maana nilijua huna hoja zaidi ya kujikinga kwenye dini wakati ni mnafiki tu, hapo ujio wako tu umeonyesha unafiki wako, usijifanye unajua sana dini hali ya kuwa ni maamuma kama wengine hivi huwa mnategemea dunia yote hii watu wote watakuwa watangaza dini na wote wanaishi kwenye muongozo wa dini tu, hakuna jingine, ingekuwa hivyo hii dunia teyari ingeshavaa bukta, halafu kama unaniona mimi nimepotea Jua ya kwamba imani yako hiyo hiyo unayoifuata Mola wako anakueleza wewe unaojiona unaijua dini "si kazi yenu kuwaongoa bali fikisheni ujumbe" sasa ujumbe umeufikisha lakini huna elimu nao mkuu wala hoja huna na nyie ndio mnaofanya watu waone dini ni Ngumu na haziwezekani kisha kujikita kwa maovu na wewe utaulizwa, hii ni public kuna watu wa kila aina. sasa wewe mnafiki tu wa kawaida unaleta kujua wakati huna unalojua. watu wakiamua kukufuatilia hili na unayoyafanya humu kwenye Forum na Username ulizonazo ndio watajua wewe ni tatizo kiasi gani,

Rakims

Ujumbe nimefikisha. Acha hii biashara utachomwa na Mola wako.
 
Na ni kweli wengi tunavyojua hivyo

Sasa watu kama hawa hawatakiwi kufumbiwa macho. Lazima wakemewe na kupigwa vita kweli kweli.

Huyu anajinasibisha na Uislamu wakati kwa kufanya kwake hivi ameshatoka kwenye Uislamu,achilia na Uislamu uko mbali na yeye na achilia mbali anavyosambaza upotevu huu.

Haya hata Rasul aliyatabiri itafikia zama wajinga kama huyu wataonekana ndio wajuzi na watu wata waamini kama wanavyomuuliza maswali na kuwategemea na wajuzi watakadhibishwa,na mwisho wa yote anapotea yeye na kuwapoteza wanaomfata.

Nacho mkumbusha tu ni kwamba wajinga hawaishi ndio maana hata yeye leo hii kuna wajinga wenzake wanamfata na kumuuliza ila ajue kabisa ana dhima kubwa sana kwa Moa wake na atakuja kuulizwa.

Nipo ....
 
Yani hapa umeshaanzisha hoja isiyo na mashiko hivi huwa unajielewa mkuu?
Vitu vyote nimeweka wazi hapa bado unaniambia natafuta ugali wa kwako au?
Huna hoja mkuu ndio maana nimekwambia pita tu maana nilijua huna hoja zaidi ya kujikinga kwenye dini wakati ni mnafiki tu, hapo ujio wako tu umeonyesha unafiki wako, usijifanye unajua sana dini hali ya kuwa ni maamuma kama wengine hivi huwa mnategemea dunia yote hii watu wote watakuwa watangaza dini na wote wanaishi kwenye muongozo wa dini tu, hakuna jingine, ingekuwa hivyo hii dunia teyari ingeshavaa bukta, halafu kama unaniona mimi nimepotea Jua ya kwamba imani yako hiyo hiyo unayoifuata Mola wako anakueleza wewe unaojiona unaijua dini "si kazi yenu kuwaongoa bali fikisheni ujumbe" sasa ujumbe umeufikisha lakini huna elimu nao mkuu wala hoja huna na nyie ndio mnaofanya watu waone dini ni Ngumu na haziwezekani kisha kujikita kwa maovu na wewe utaulizwa, hii ni public kuna watu wa kila aina. sasa wewe mnafiki tu wa kawaida unaleta kujua wakati huna unalojua. watu wakiamua kukufuatilia hili na unayoyafanya humu kwenye Forum na Username ulizonazo ndio watajua wewe ni tatizo kiasi gani,

Rakims

Yaani wewe mpaka unaingia kaburini hutakuja kupata hoja ya kuhalalisha huu Ushirikina unao ufanya,na Wallahi thuma Wallahi usipotubia na ukaachana na haya mambo mwisho wako utakuwa mbaya sana.

Halafu mimi sio mnafiki kama unavyolitumia tamko hili kijinga,unafiki una vidhibiti vyake,hii nakupa faida tu. Huruhusiwi kumuita mtu mnafiki mpaka awe na sifa tano zilizo tajwa katika hadithi za Rasul amani ya Allah iwe juu yake.

Ukiendekeza tumbo madhara yake ni haya. Ajabu nyingine ni kuwa unaongea mambo kwa ujinga na upotoshaji. Nimekuwekea hadithi tatu hapo juu na huwezi kuzipinga mpaka kiyama kinasimama.

Naona umetangaza vita na Mola wako.

Kazi ya nyota au nyota ni tatu tu.

1. Kuwapiga mashetani.
2. Kutumia katika safari baharini na kujua nyakati na hili limefanyika sana kama muongozo wa kujua pepo zinavuma vipi.
3. Ni mapambo ya mbingu.

Nipo ...
 
Usihukumu ukaja kuhukumiwa
..je wewe ni nani katika dunia hii hadi uhukumu au utoe muongozo wa kwamba fulani atahukumiwa..sio kazi yako...angali ya kwako kwanza ambayo utahukumiwa wewe peke yako..
Sasa watu kama hawa hawatakiwi kufumbiwa macho. Lazima wakemewe na kupigwa vita kweli kweli.

Huyu anajinasibisha na Uislamu wakati kwa kufanya kwake hivi ameshatoka kwenye Uislamu,achilia na Uislamu uko mbali na yeye na achilia mbali anavyosambaza upotevu huu.

Haya hata Rasul aliyatabiri itafikia zama wajinga kama huyu wataonekana ndio wajuzi na watu wata waamini kama wanavyomuuliza maswali na kuwategemea na wajuzi watakadhibishwa,na mwisho wa yote anapotea yeye na kuwapoteza wanaomfata.

Nacho mkumbusha tu ni kwamba wajinga hawaishi ndio maana hata yeye leo hii kuna wajinga wenzake wanamfata na kumuuliza ila ajue kabisa ana dhima kubwa sana kwa Moa wake na atakuja kuulizwa.

Nipo ....
 
Usihukumu ukaja kuhukumiwa
..je wewe ni nani katika dunia hii hadi uhukumu au utoe muongozo wa kwamba fulani atahukumiwa..sio kazi yako...angali ya kwako kwanza ambayo utahukumiwa wewe peke yako..
Kila kitu kipo wazi na sisi sio kwamba tunaoteshwa haya mambo tunasema haki ile aliyokuja nayo mtume wetu na haya mambo madhara yake makubwa.

Allah anasema :

“Enyi Mlioamini! Bila shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli ni uchafu katika kazi za shetani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa” (5: 90).
Na Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amekataza jambo hilo, hivyo inatakiwa tujiweke kando kabisa.
Mambo yote haya ni haramu na yeyote mwenye kuamini kuwa jambo fulani limetokea kwa sababu ya nyota kadhaa na kadhaa amemkanusha Allaahkama Alivyosema katika Hadiyth ifuatayo:
(Yeyote atakayejimai (kufanya kitendo cha ndoa) na mwanamke mwenye hedhi, au kwa kutumia njia ya nyuma, au kumkaribia mtabiri na kuamini aliyoambiwa, basi amekufuru yale aliyoteremshiwa Muhammad))
[Hadiyth Sahiyh imesimuliwa na AsWhabus-Sunnan na wengineo]
Na kufanya hivyo ni kuingia katika elimu ya ghayb (mambo yaliyofichika ya Allaah) ambayo hakuna aijuwae ila Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) na humpeleka mtu kuingia katika shirk. Na Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) humghufuria mtu dhambi zote ila shirk kama Alivyosema:
"Hakika Mwenyezi Mungu Hasamehe kushirikishwa, na husamehe yaliyo duni ya hilokwa Amtakaye. Na anayemshirikisha Mwenyezi Mungu basi hakika amezua dhambi kubwa"
(An-Nisaa: 48)

Sasa kwa maneno haya ya Allah na mtume wake hivi vitendo vinafaa kufumbiwa macho ? Jibu ni kinyume chake.
 
Acha udini haukusaidii kitu...pia usihukumu ukaja kuhukumiwa...je wewe umejiona ni msafi sana kias kwamba unaona wengine wachafu sana hadi umejipa mamlaka ya Mungu ya kuhukumu.?
Kila kitu kipo wazi na sisi sio kwamba tunaoteshwa haya mambo tunasema haki ile aliyokuja nayo mtume wetu na haya mambo madhara yake makubwa.

Allah anasema :

“Enyi Mlioamini! Bila shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli ni uchafu katika kazi za shetani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa” (5: 90).
Na Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amekataza jambo hilo, hivyo inatakiwa tujiweke kando kabisa.
Mambo yote haya ni haramu na yeyote mwenye kuamini kuwa jambo fulani limetokea kwa sababu ya nyota kadhaa na kadhaa amemkanusha Allaahkama Alivyosema katika Hadiyth ifuatayo:
(Yeyote atakayejimai (kufanya kitendo cha ndoa) na mwanamke mwenye hedhi, au kwa kutumia njia ya nyuma, au kumkaribia mtabiri na kuamini aliyoambiwa, basi amekufuru yale aliyoteremshiwa Muhammad))
[Hadiyth Sahiyh imesimuliwa na AsWhabus-Sunnan na wengineo]
Na kufanya hivyo ni kuingia katika elimu ya ghayb (mambo yaliyofichika ya Allaah) ambayo hakuna aijuwae ila Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) na humpeleka mtu kuingia katika shirk. Na Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) humghufuria mtu dhambi zote ila shirk kama Alivyosema:
"Hakika Mwenyezi Mungu Hasamehe kushirikishwa, na husamehe yaliyo duni ya hilokwa Amtakaye. Na anayemshirikisha Mwenyezi Mungu basi hakika amezua dhambi kubwa"
(An-Nisaa: 48)

Sasa kwa maneno haya ya Allah na mtume wake hivi vitendo vinafaa kufumbiwa macho ? Jibu ni kinyume chake.
 
Usihukumu ukaja ukahukumiwa ...wewe sio Mungu..

Hapa haukumiwi mtu,pia nakupa faismda Allah alileta na kuweka waja wake ardhini kusimamia sheria zake na hukumu zake,ndio maana unakuta mzinifu anapigwa mawe,mwizi ana katwa mkono.

Hili mnatakiwa kuelewa si mnasema tu tusihukumu pindi yanapoguswa maslahi ya watu.

Haya yanatakiwa yasemwe huku yalikosemwa.
 
Acha udini haukusaidii kitu...pia usihukumu ukaja kuhukumiwa...je wewe umejiona ni msafi sana kias kwamba unaona wengine wachafu sana hadi umejipa mamlaka ya Mungu ya kuhukumu.?

Mimi sio msafi ndio maana huwa tunaomba hifadhi kwa Allah,na kosea kama wanavyokosea wengine ila haki inatakiwa kusemwa.

Kaka sikufichi hil jambo la utabiri wa nyota linatuharibia sana taswira Waislamu na watu kwa ujinga wao wanapotezwa sana na watu hawa na kuleta chuki katika jamii.

Hili jambo limeharamishwa na dini na hapa suleti udini,kila kitu kipo wazi.
 
Usihukumu ukaja ukahukumiwa ...wewe sio Mungu..

Nanukuu :

" Ama kuhusu nyota, ni kiumbe kilichoumbwa na Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala) kuwa na manufaa aina fulani kwa watu. Wala nyota hazikuumbwa kwa ajili ya kuabudiwa wala kutumiwa kuangalilia.

Zayd bin Khaalid al-Juhaniy (Radhiya Allaahu ‘anhu) kuwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alituswalisha Swalah ya Alfajiri Hudaybiyah baada ya mvua ya usiku. Baada ya kumaliza Swalah, alitugeukia na kusema:

“Je, mwajua Mola wenu Mlezi aliyoteremsha?” Watu wakajibu: “Allaah na Mtume Wake wanajua zaidi”. Akasema: “Allaah Amesema: ‘Asubuhi hii baadhi ya waja Wangu wamebaki Waumini wa kweli na baadhi wengine kuwa makafiri; Yeyote anayesema kuwa mvua imenyesha kwa ajili ya baraka kutoka kwa Rehema ya Allaah Ameniamini na amekanusha nyota, na yeyote aliyesema kuwa mvua imenyesha kwa sababu ya nyota fulani hana Imani na Mimi lakini ameiamini nyota hiyo” (al-Bukhaariy).

Hakika ni kuwa mtu yeyote anayefanya shughuli hiyo anafaa anasihiwe ili arudi katika njia ya haki na hafai kuitwa shekhe kabisa. Wala hatakiwi kupatiwa fursa ya kuweza kuwaidhi watu katika idhaa au runinga (televisheni). Na ikiwezekana mtu kama huyo asusiwe kabisa. Na hao wanaompa nafasi mtu kama huyo, Uislam wao una mashaka sana; ima maslahi ya kidunia wameyaweka mbele kwa kupata vitega uchumi fulani kama anavyofanya huyo anayejiita shekhe kwa kutapeli watu na kula mali zao kwa mwavuli wa Dini, au kuna ile hali ya kuoneleana muhali kwa kuwa kuna maslaha fulani ya kidunia yasiharibike. Kwa kifupi, mtu huyo anayepiga ramli na kutabiria watu mambo yao, ni mtu muovu sana na anamshirikisha Allaah, na hao wanaomwendea pia hawakubaliwi Swalah zao siku arubaini kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ’alayhi wa aalihi wa sallam): ”Atakayekwenda kwa mtabiri akamuuliza kitu haitokubaliwa Swalah yake siku arubaini”[Muslim] "

Ukamilifu ni wa Allah aliye juu.
 
Nanukuu :

" Ama kuhusu nyota, ni kiumbe kilichoumbwa na Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala) kuwa na manufaa aina fulani kwa watu. Wala nyota hazikuumbwa kwa ajili ya kuabudiwa wala kutumiwa kuangalilia.

Zayd bin Khaalid al-Juhaniy (Radhiya Allaahu ‘anhu) kuwa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alituswalisha Swalah ya Alfajiri Hudaybiyah baada ya mvua ya usiku. Baada ya kumaliza Swalah, alitugeukia na kusema:

“Je, mwajua Mola wenu Mlezi aliyoteremsha?” Watu wakajibu: “Allaah na Mtume Wake wanajua zaidi”. Akasema: “Allaah Amesema: ‘Asubuhi hii baadhi ya waja Wangu wamebaki Waumini wa kweli na baadhi wengine kuwa makafiri; Yeyote anayesema kuwa mvua imenyesha kwa ajili ya baraka kutoka kwa Rehema ya Allaah Ameniamini na amekanusha nyota, na yeyote aliyesema kuwa mvua imenyesha kwa sababu ya nyota fulani hana Imani na Mimi lakini ameiamini nyota hiyo” (al-Bukhaariy).

Hakika ni kuwa mtu yeyote anayefanya shughuli hiyo anafaa anasihiwe ili arudi katika njia ya haki na hafai kuitwa shekhe kabisa. Wala hatakiwi kupatiwa fursa ya kuweza kuwaidhi watu katika idhaa au runinga (televisheni). Na ikiwezekana mtu kama huyo asusiwe kabisa. Na hao wanaompa nafasi mtu kama huyo, Uislam wao una mashaka sana; ima maslahi ya kidunia wameyaweka mbele kwa kupata vitega uchumi fulani kama anavyofanya huyo anayejiita shekhe kwa kutapeli watu na kula mali zao kwa mwavuli wa Dini, au kuna ile hali ya kuoneleana muhali kwa kuwa kuna maslaha fulani ya kidunia yasiharibike. Kwa kifupi, mtu huyo anayepiga ramli na kutabiria watu mambo yao, ni mtu muovu sana na anamshirikisha Allaah, na hao wanaomwendea pia hawakubaliwi Swalah zao siku arubaini kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ’alayhi wa aalihi wa sallam): ”Atakayekwenda kwa mtabiri akamuuliza kitu haitokubaliwa Swalah yake siku arubaini”[Muslim] "

Ukamilifu ni wa Allah aliye juu.
Yaani wewe mpaka unaingia kaburini hutakuja kupata hoja ya kuhalalisha huu Ushirikina unao ufanya,na Wallahi thuma Wallahi usipotubia na ukaachana na haya mambo mwisho wako utakuwa mbaya sana.

Halafu mimi sio mnafiki kama unavyolitumia tamko hili kijinga,unafiki una vidhibiti vyake,hii nakupa faida tu. Huruhusiwi kumuita mtu mnafiki mpaka awe na sifa tano zilizo tajwa katika hadithi za Rasul amani ya Allah iwe juu yake.

Ukiendekeza tumbo madhara yake ni haya. Ajabu nyingine ni kuwa unaongea mambo kwa ujinga na upotoshaji. Nimekuwekea hadithi tatu hapo juu na huwezi kuzipinga mpaka kiyama kinasimama.

Naona umetangaza vita na Mola wako.

Kazi ya nyota au nyota ni tatu tu.

1. Kuwapiga mashetani.
2. Kutumia katika safari baharini na kujua nyakati na hili limefanyika sana kama muongozo wa kujua pepo zinavuma vipi.
3. Ni mapambo ya mbingu.

Nipo ...
Wewe unajua vipi kesho yangu kwa mwenye akili akisoma post zako hadi hapa atajua kweli wewe huna akili kwa maana unaapa kwenye hamna na pia niliwahi kukufundisha kitu kwa kuwa ni mbumbumbu mnafiki huelewi hutakuja kuelewa nilikwambia hivi in case umeona thread na imekukwaza kaanzishe thread ya kupinga vikali kwenye Majukwaa ya dini kule lakini hukuelewa sasa wewe ni mnafiki na ulikuwa mnafiki upo mnafiki na utaendelea kuwa mnafiki, maskini unatumia nguvu nyingi kuonyesha hisia zako za dini hali ya kuwa ni mbumbumbu umedai hapo juu kuwa anayejua ya ghaibu ni Mungu peke yake sasa mbona wewe unanibashilia upotovu? umepata wapi maarifa ya kujua hata kesho au dakika chache zijazo nitakuwa vipi, Punguza unafiki usio na mashiko

Rakims
 
Back
Top Bottom