Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

Lkn sio dhambi kufatilia haya mambo maana mm sielewagi dhambi au sio
 
Tarehe ya kuzaliwa nipo mshale ila tabia nikisoma ni ng'e kabisa sa sijui inakuaje!
 
Acha kupotosha watu wewe na uongo wako!!uislam umepingana vikali na mambo kama hayo na unalifahamu pia hilo labda wajisahaulisha tuuu!!ALLAH atusameh na atuongozee pia!
 
Watu kama hao ndio wanao ipa dowa mbaya saana dini yetu na wasio wa islam kuanza kufkri labda waislam wana uhusiano na majini ,,,mambo ya ghaibu anajua ALLAH uyo jama ka anzisha thread hii inbd akae chini amuombe Mola wake msamaha mana uislam ume pinga mambo kama hayo ya nyota....
 
Ajabu ukimfikishia haki anaikataa kwa makusudi,na hawa wanao muamini ndio wanampoteza pia.

Ila ujumbe nimeshamfikishia,halafu ajabu hajayapinga kielimi hata moja kati ya haya niliyomfikishia hii inaonekana anajua fika ya kuwa haya anayo yafanya ni ushirikina na upotofu.
 
Bora asha ambiwa na anajua anaco kifanya si sahihi nikuombeana dua tu ALLAH atupe mwisho mwemaa!!
 
Lkn sio dhambi kufatilia haya mambo maana mm sielewagi dhambi au sio
Jinsi unavyokwenda nayo au kuyafanya yanaweza kuwa dhambi vile vile na yanaweza yasiwe dhambi

Rakims
 
Tarehe ya kuzaliwa nipo mshale ila tabia nikisoma ni ng'e kabisa sa sijui inakuaje!
Huwenda ng'e ndio nyota yako iliyochomoza wakati unazaliwa hili linajulikana ikiwa unafahamu details za kuzaliwa kwa ukaribu mkuu,

Rakims

Rakims
 
Acha kupotosha watu wewe na uongo wako!!uislam umepingana vikali na mambo kama hayo na unalifahamu pia hilo labda wajisahaulisha tuuu!!ALLAH atusameh na atuongozee pia!
Mkuu kuna sehemu hapo umesoma kwenye hiyo thread hiyo nimesema according ya dini fulani?

Rakims
 
Mkuu kuna sehemu hapo umesoma kwenye hiyo thread hiyo nimesema according ya dini fulani?

Rakims
Japo hujaongelea hilo lakini wewe kama muislam uislam unapinga mambo kama hayoo kaka ,,ndo mana tumekatazwa kuto jihusisha na mambo hayo hasa elimu ya ghaibu ALLAH atuongoze na atupe mwisho mwema pia!!
 
Mkuu kuna sehemu hapo umesoma kwenye hiyo thread hiyo nimesema according ya dini fulani?

Rakims

Sasa ndio Uislamu unakataza hizi habari. Huelewi nini ? Au wewe unajuaje kama jambo fulani ni baya na lipi zuri kwa kukutumia nini ?
 
Japo hujaongelea hilo lakini wewe kama muislam uislam unapinga mambo kama hayoo kaka ,,ndo mana tumekatazwa kuto jihusisha na mambo hayo hasa elimu ya ghaibu ALLAH atuongoze na atupe mwisho mwema pia!!
Mkuu sikatai kwamba mimi ni muislam lakini ghaibu ya nyota ipo wapi? Au mnafananisha uwezekano wa matukio yajayo na ghaibu?
Ghaibu ni lazima,
Nyota ni possibility events mbona mnalazimisha kupandisha maji mlima mkuu, au ghaibu ni possibility events siku hizi kwamba ina walakini?
Maana kwa elimu za madai yenu hapa ni batili na mnacho dai,

Rakims
 
Sasa ndio Uislamu unakataza hizi habari. Huelewi nini ? Au wewe unajuaje kama jambo fulani ni baya na lipi zuri kwa kukutumia nini ?
Wewe hujaandika hapo juu umemaliza?
sasa umetumwa au?
Hadi hapa umedhihirisha UNAFIKI wako

Rakims
 
ALLAH atuongoze tu ndo la maana mana soote wakosaji kaka ,,kinacho katazwa na uislam ni utabiri ile mtu ana kupa details zake ,,year of birth,,time ,,day ,,,wewe unampa mambo yoote ya kuhusu maisha yake ilo ndo baya kama sio hivo basi ALLAH anajua zaidi!!!na unisameh kama nimekukwaza ndugu yangu!!!
Wewe hujaandika hapo juu umemaliza?
sasa umetumwa au?
Hadi hapa umedhihirisha UNAFIKI wako

Rakims
ila yaonekana nyie wawili mna chuki zenu binafsi si sahihi kama muislam kumwita muislam mwenzio munafiq ,,mambo ya chuki haayana nafac katika uislam jameni!!!
 
Huyu ni MNAFIKI aliyejificha kwenye maandiko mafunzo na usawa wa dini anaiga sana vitu asivyo vielewa, pia mkuu kwenye ghaibu haina maana kuwa mtu kujua details za mtu kuzaliwa ndio ghaibu hapana ghaibu ni kusema jambo litatokea kwa asilimia mia moja kwenye nyota huwa tunatumia possibilities ni sawa na wewe mtu akwambie kwa hali hii ya kichwa uliyonayo wengi huwa sababu inakuwa ni marelia

Tofauti na mtu kukwambia wewe unamarelia hiyo ndio ghaibu mkuu yana anakupa uhakika wa jambo kwa asilimia zote na ndio maana mwanzo wa thread nimesema kwamba kila mtu anaguswa na nyota hizi kwa maana event zote humo ni za basic life za wanadamu, sawa na mtu kusema wewe utakuja kufa au utakuja kuoa au kuolewa au kupata ajali lakini sio huyu anakufa au huyu anaoa au huyu hivi,

Ndio hoja aliyoleta huyo MNAFIKI hapo ananikataza mimi kusema vitu
Vya possibilities halafu yeye anasema ya GHAIBU kwa upumbafu na Ufinyu wa akili yake

Huyu ni MNAFIKI wanaomjua humu watakuthibitishia hili

Rakims
 
Ndio hoja aliyoleta huyo MNAFIKI hapo ananikataza mimi kusema vitu
Vya possibilities halafu yeye anasema ya GHAIBU kwa upumbafu na Ufinyu wa akili yake
Haya mambo sijakukataza mimi,bali Allah na mtume wake ndio wamekataza.

Sasa hapo neno langu lipi ? Nimekupa aya kadhalila nimekupa hadithi.

Yaani kwa hayo unayoyafanya huchomoki na zie dalili,halafu kama suala la nyota lingekuwa bora wangefanya maswahaba na kulihimiza,kaa kuhusu tiba soma kitabu alichokiandika Imaam Ibn al Qayyim uone tiba za mtume wa Allah amani iwe juu yale.

Kadhalika acha talbisi tamko "Tabiri" limekuja kwa maana hiyo hiyo ya kubashiri na kubashiri ni kutokuwa na hakika na ndiko huko huko kulikokatazwa na huo ni ushirikina maisha ya binadamu hayajafungamana na hizo nyota na nyota kazi zake zinajulikana kama nilivyokubainishia huko juu.

Hii ni elimu itokayo kwa Allah na mtume wake ni hiyari kuichukia bali ni bora kwako na kwa hao wanao kuamini.

Acha hii biashara.
 

Wewe unahangaika na utaendelea kuhangaika kurekebisha UNAFIKI wako hamna kitu wewe zaidi ya UNAFIKI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…