Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumfanikishia mambo anayoyanuia mkuu yanakuwa kama dawa ya miujiza ikiwa ni pamoja na kusafisha nyota yake au kui stabilizeHongera mkuu asante kujibu majibu kwa moyo mmoja nauliza iwapo mtu atakuwa anazingatia hasa mafusho yenyewe yana nafasi gani katika nyota ya mhusika?
Rakim ubarikiwe nimesoma khs punda kweli ni mm,napitia kulee kwny somo la malango 12 then nikusumbue khs kubet na life in general.vigezo na masharti ya uzi wa malango nitavifuata#shaka ondoaNyota yako sahihi kabisa ni nyota ya Nge lakini ni dhaifu kwenye chart yako nyota inayokutawala na ilichomoza wakati unazaliwa ni nyota ya Punda nyota ya kwanza na hii ikichomoza wakati unazaliwa kila mtabibu au mnajimu aliyebobea hii fani hata kwambia ufuate nyota nyingine isipokuwa hii iliyochomoza wakati unazaliwa maana ndio inayowaka zaidi kwako kuliko nyota yako ya asili soma hapo kwa punda utajiona mengi lakini machache utayakuta kwenye nge na hata majina yako yote mawili yamebebwa na Punda A na M
Rakims
Hahahaha, mkuu we wasaidie kama taratibu zako zilivyoMnanishangaza sana member mnaosema maneno ya ajabu hapa na kupinga vikali nyota kisha mnakuja pm kuomba kuangalizia nyota.
Unafiki sio jambo zuri
Rakims
Hahahaha, wasameheNdio hawa naskia hula matapishi
Rakims
Hahahaaa nimecheka kwa sauti sana ,kweli unafiki sio jambo zuriMnanishangaza sana member mnaosema maneno ya ajabu hapa na kupinga vikali nyota kisha mnakuja pm kuomba kuangalizia nyota.
Unafiki sio jambo zuri
Rakims
hahahaha, kwa hy Mkuu unawachora tuWengine baada ya kusema hivi wanakuja na pm kama new user
Rakims
Watu ni waajabu sana aiseendio mkuu wapo wanaanza na kuomba radhi kisha wanazungumza shida zao na wengine wanaingiza ni hawatambuliki lakini unafiki ni jambo baya sana.
Rakims
habari mkuu nimeelezea qisti kama mafusho basi tumia kama mafusho tu ukiipeleka pengine inakuwa ni dawaRakims nina swali khs mafusho Kwa Mimi punda/kondoo..nimepata Qist ya mizizi je inaruhusiwa 1.kuitafuna ? 2.kuioga Kwa kuchanganya na maji rose baada ya kuisaga inaruhusiwa?
Kuhusu udi Kwa nyota yangu naruhusiwa kuutumia?
Natanguliza shukran