scorptag
Member
- Jun 25, 2011
- 70
- 8
Duuuhh, asante.je inaweza kuwa dawa ya kutibu/kusaidia nn?habari mkuu nimeelezea qisti kama mafusho basi tumia kama mafusho tu ukiipeleka pengine inakuwa ni dawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuhh, asante.je inaweza kuwa dawa ya kutibu/kusaidia nn?habari mkuu nimeelezea qisti kama mafusho basi tumia kama mafusho tu ukiipeleka pengine inakuwa ni dawa
FAIDA ZA QISTIQisti nimeandika uzi wake mkuu tembelea utauona
Mshale nyie ni wapenda safari, wazururaji hampendi kukaa sehemu moja, miguu lazima iwawashe...vitembezi [emoji1787]Tupo wote
Details hazijitoshelezi kukwambia ipi ni nyota yako sahihiMkuu msaada naomba kujuzwa nyota yangu,nmezaliwa tarehe 27 march,nini nikifanye ili mambo yakae sawa..maana hii nyota naona ina mapicha picha sana au imechukuliwa
TAURUS AND AQUARIUSYangu ni doo tarehe ni 14/2 na mke ni ng'ombe tarehe ni 30/4...maelezo ktk hilo....majina heruf m na s
zipi hzo tuelewesheMkuu nimelieleza hili mwanzoni mwa thread ya kwamba ili uweze kujua nyota yako lazima ufahamu mambo manne na kuweza kuyalinganisha ndio unapata nyota yako sahihi sio wewe tu wengine huona hata maelezo yake ni batili na walivyo kwa sababu mtu unakuta anaangalia nyota ya mwezi wakati inakinzana na nyota iliyochomoza saa na siku anayozaliwa. narudia ili kuweza kujua nyota yako sahhi hivi details lazima uwe nazo kama hauna kuna njia za kutumia ukazipata
Rakims
Habari mkuu,mkubwa mi nyota yangu kiasili ni udongo, kwahiyo siwezi kutoboa kwenye mishe za udereva au ??
Ili kuweza kuangalia nyota yako nitahitaji jina lako na la mama tarehe mwezi na mwaka wa kuzaliwa.Nimezaliwa 20 may jina linaanzia na herufi D lakin najikuta ninasifa za nyota ya mapacha kubadilika badilika , kukosa msimamo nk. Hii inatokana na nini wkt nimezaliwa kwenye nyota ya Taurus ?
Nipe Mbinu ya kujua izo nyota nyingine . Mana herufi ya jina langu, tarehe ya kuzaliwa inaendana na nyota ya Ng'e. Je izo zingine tatu ndazijuaje.Mkuu hakuna shida isipokuwa unatakiwa uelewe ya kuwa nyota imegawanyika katika sehemu 4 ambazo ni nyota iliyochomoza wakati unazaliwa, nyota ya jina lako,nyota ya mwezi wa kuzaliwa na pia nyota iliyopo mwezi
ukizijua hizo utaweza kujielewa zaidi
Rakims