Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

Habaria mkuu,
Kuna wengi youtube wamecopy hii thread nzima na kufanya wao ndio wahusika ni mimi lakini vile vile wengi wameopy blog yangu na thread zangu nyingine humu nyingi tu sasa kama unashida nayo mimi siwezi kukupa bado nadeal na copyright content zangu zote kwanza
Mkuu Mimi na mke wangu wote ni nyota ya punda je tunaweza kuziunganisha zikaleta manufaa kwenye kipato?
 
Mkuu Mimi na mke wangu wote ni nyota ya punda je tunaweza kuziunganisha zikaleta manufaa kwenye kipato?
Ndio inawezekana kwa maana punda ni mlango wa kwanza ukioanisha na mlango wa kwanza inaingia mlango wa pili
Maana yake itaingia mlango wa pesa unaweza kusoma milango na maana zake kwenge link hapo

Rakims
 
Nimezaliwa 12 sept 1991 jina Athmani mama Rehema nyota yangu ipi? Na mashuke na mshale pamoja huleta athari gani?
 
kuna mafusho hapo ili kuweza kusafisha nyota yako lazima ujue asili yake ni ipi na siku yake na mambo mengine ambayo nimeelezea hapo japo kuwa hapo kuna mafusho lakini jihadhari kununua fake

Rakims
hongera mkuu kw bandiko lako mm ni miongoni mwa watu wanaokufatilia sana kwenye nondo zko ukianzia kule google mpaka tovuti mbalimbali wacha tuje kwenye point ebwna mim tarehe yangu ya kuzaliwa ni 23 sept ,nlizaliwa jumatano kiukweli mengi uliyoyadadavua kuhusu huo mwez na tarehe ni kama ulietabir ukianzia maradhi ,tabia n.k ila nlibata bahati ya kuoana na bint ambae yeye alizaliwa ndani ya mwezi wa july 31 bila shaka atakua anahusiana na nyota ya simba sasa vipi mafahari hawa kati ya mizani na simba kuna mafanikio gani labda au mikosi ambayo yatakayoweza kujitokeza kwenye maisha?uwanja wako mkuu rakims kwa faida ya wote elezea
 
hongera mkuu kw bandiko lako mm ni miongoni mwa watu wanaokufatilia sana kwenye nondo zko ukianzia kule google mpaka tovuti mbalimbali wacha tuje kwenye point ebwna mim tarehe yangu ya kuzaliwa ni 23 sept ,nlizaliwa jumatano kiukweli mengi uliyoyadadavua kuhusu huo mwez na tarehe ni kama ulietabir ukianzia maradhi ,tabia n.k ila nlibata bahati ya kuoana na bint ambae yeye alizaliwa ndani ya mwezi wa july 31 bila shaka atakua anahusiana na nyota ya simba sasa vipi mafahari hawa kati ya mizani na simba kuna mafanikio gani labda au mikosi ambayo yatakayoweza kujitokeza kwenye maisha?uwanja wako mkuu rakims kwa faida ya wote elezea
Tuanza kwa mtizamo wake kinyota kwako na jinsi mnavyoendana kwa upande wake ni kwamba yeye kwako anakuwa ni mwenye kwenda vizuri na wewe jinsi unavyoonekana mwenye sanaa ya ubunifu na kutumia vema kipaji ulichonacho.
Yeye ni mwenye kuonekana zaidi kuvutika katika upande madhubuti wa mapenzi au mwenye mapenzi zaidi na wewe
kuliko wewe mwenyewe, lakini mtindo wake mara nyingi unaweza kukushinda.
Kwake wewe ni mtu usie na uamuzi na yeye ndio mwenye kupenda kuchukua majukumu ya utawala wa mahusiano
mnaonekana ni watu ambao mnaweza msiendane kwa sababu nyote ni wenye fujo na hupenda mazingira mazuri ambayo
yenye kung'ara yaani usafi. Kila mmoja pia atajaribu kumshinda mwenzake kwa utaratibu wake ni kama mahusiano ya ushindani.
Lakini chumbani yeye anakuzidi, na yeye ni simba hivyo huwa ni malikia wa mambo hayo na mwenye kupenda sifa katika tendo la ndoa.

MTIZAMO WAKO KWAKE:
ajabu,kasi na nguvu yake pamoja na jinsi alivyo mkarimu, katika mapenzi basi huwasha moto wa mapenzi kwako, na kama ungekuwa unapimwa kwa kipima joto huenda hadi mwisho.
Wewe unaonekana ni mwenye kuonekana kupumbazika nae kijinga, lakini hilo halitakuwa shida kwako kutokana na busara.
Kiukweli mahusiano haya kama ni mzozo basi ni kidogo, Wewe unaonekana ni mwenye kujua jinsi ya kujitolea kwake kwa uzuri.

Pamoja mnaonekana ni wenye kushiriki upendo wa anasa,
kwenda kwenye tafrija, na kuunda nyumba nzuri ambayo hutumika kama hatua ya kuweka hizi nyota mbili katika upendo kwa hivyo mnaendana.

Rakims
 
Nimezaliwa 12 sept 1991 jina Athmani mama Rehema nyota yangu ipi? Na mashuke na mshale pamoja huleta athari gani?
Haziendani na hazifai kuwa pamoja mkuu haijarishi ni kiasi gani wanapendana mashuke huishia maumivu nimeshaona huu muunganiko zaidi ya mara 20 unaishia pabaya kwa inachukua miezi mitatu tu kuachana

Rakims
 
Ninapoangalia maswala ya ndoa mkuu, bora kufuata Nyota ya jina na la mama au?
 
Habari mkuu naitaji kufahamu nyota yangu mimi naitwa; Kulwa na jina na mama ni amina, nimezaliwa 23/08/1996 ikiwa ni siku ya ijumaa saa sita mchana katika mkoa wa Dodoma.
 
Habari mkuu naitaji kufahamu nyota yangu mimi naitwa; Kulwa na jina na mama ni amina, nimezaliwa 23/08/1996 ikiwa ni siku ya ijumaa saa sita mchana katika mkoa wa Dodoma.
Habari mkuu,
Kwa mujibu wa jina lako na la mama thamani yake inakuja ni 162 ambayo tukigawa kwa nyota zote 12 tutapata nyota ya 6 ambayo ni nyota ya Mashuke tukirejea katika tarehe mwezi na mwaka uliozaliwa tunapata kipindi hicho jua lilipitia katika nyota ya Mashuke vile vile hivyo nyota yako thabiti ni Mashuke

Rakims
 
Habari mkuu,
Kwa mujibu wa jina lako na la mama thamani yake inakuja ni 162 ambayo tukigawa kwa nyota zote 12 tutapata nyota ya 6 ambayo ni nyota ya Mashuke tukirejea katika tarehe mwezi na mwaka uliozaliwa tunapata kipindi hicho jua lilipitia katika nyota ya Mashuke vile vile hivyo nyota yako thabiti ni Mashuke

Rakims
Shukrani sana mkuu kwa elimu Hii mola akujalie baraka tele
 
Vipi kuhusu ndoa ya mtu mwenye nyota ya mapacha na nyota ya Ng'e, Mana naona mmoja anaasili ya maji na mwingine upepo, Rakims
 
Back
Top Bottom