Ndo tatizo lenu wabongo,hapo ulipoishia ndipo ulipofeli kukomesha uovu,Yericko Nyerere nimwovu kwenye hili na amenishangaza sana hata mimi,ni wiki iliyopita sijui nilikuwa nasoma gazeti gani la kibongo linaelezea jinsi makamanda wa Paul Kagame walivyokimbia nchi na huyo mmoja ni mtusi anakiri wazi kwamba serikali ya Kagame ni ya kiuaji anaendelea kusema kuwa ameua wahutu wengi sana na kuwamaga mizoga yao kwa maelfu mtoni iliwe namba na akatoa pendekezo kuwa hata mifupa mingi iliyohifadhiwa kwenye jumba la makumbusho ya mauaji ya kimbari ni mabaki ya jamii zote mbili za kihutu na kitutsi na akapendekeza ufanywe hata uchunguzi wa vinasaba(DNA) kuthibitisha hayo madai yake.Sasa mtu kama Yericko anapofunguka kimbwigambwiga hapa na akiachiwa tu nyie mnaofahamu kwa kutomalizia mnachoahamu kinachoweza kuwa msaada wa kutufanya tusiendelee kupoteza muda hapa,kukaa kwenu kimya ni uangamivu wa muda wetu wa maana,wewe funguka tu kisha utuachie wadau tumuweke mahali pake panapomfaa.Mkuu Yericko nikuhulize kitu? Kuna analysis nilifanya kwa ufupi sana kuonyesha mikakati ya jamaa zetu hawa Watutsi za kutaka kujenga/tanua Himaya yao in phases, nilianzia Uganda, nikaja Rwanda yenyewe mwisho DRC ingawa ufafanuzi wangu ulikuwa in a watered down format hii haina maana kwamba wana JF hawajui in details tishio la jamaa hawa. Back to the point for some strange reason ume-truncate sehemu iliyo kuwa inazungumzia utekelezaji wa phases hizo badala yake ukabakiza yale yaliyo kuwa yanawafagilia kwa mbali kabila la Watutsi, nataka kuwa muwazi hapa - kitendo hicho kilinishangaza kidogo, looking back now kuna kitu nimekumbuka niliwahi kusoma Minaki na mmoja wa ndugu zako tulikuwa tunaishi bweni moja la Makongoro.... naishia hapo.