Duuuh, kwahiyo Chadema wanauhusiano na Watutsi????
Itakuwa hivyo nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh, kwahiyo Chadema wanauhusiano na Watutsi????
Kuhusu kuigawa DRC ni sawa. Lakini hizo hadithi nyingine umependelea pendelea kwa watusi.
Hata mie naona hivo... cdm imesahau utaifa kabisa.. inamshabikia kagame
Tawala hizo zilikuwa zama hizo kweusi si sasa hivi. Watutsi watabaki wanatawala kwao huko waliko na si kwingine.Huo ndio ukweli,rudi kwa history uangalie tawala za kihima east afrika hata humu tanzania walikuwepo,fanya research,udogo wa watu hauhalalishi kutokua mtawala,hii ndio inaonyesha jinsi watutsi walivyo kua wakipendwa na watu,najua wengi jamvini ni wasomi please fanya research on tutsi kingdom in eastafrika mutaona ukweli wake.
Yericko Nyerere
Sasa nimeamini kuwa UKOO wa NYERERE ni WATUSI.
Umepotosha sana historia Ndugu yangu sijuhi kwanini.Ila Historia haiwezi kukamilika bila kuzungumzia yafuatayo:-
1. Uhusiano wa Kanisa Katoliki katika kuchochea chuki za Watusi na wahutu.
2. Mauji ya Wahutu zaidi ya 200,000. Miaaka ya 60. Maana wewe makala yako yote unaonyesha ni watusi tu ndio waliouwawa lakini wahutu hapana, Hii ni chuki ya moja kwa moja kwa wahutu.
Bado hujaonyesha kupotosha kwake , ulichofanya ni kuongeza mambo ambayo yeye hakuyagusia. sio rahisi ku cover matukio yote.
mkuu kibanga ampiga mkoloni, sielewi ulikuwa na umli gani wakati wa vita ya kagera na pia sijui kama unafahamu madai ya awali ya Idd Amin kuwa kagera ni sehemu yake simply because kiganda na kihaya vinashabihina. A simiral case kwa madai ya Banda wa muyaya kuwa mbeya yake, kisa wanyakyusa wako pia kipande ile, tatizo mnaongopewa na mnaamini!
Mkuu msitake kujichanganya congo sio tanzania,ile congo kaskazini ilikua rwanda,labda kama mnahisi kunasehemu ya tanzania ilikua rwanda,nakingine kilicho wafanya kushika silaha ni unyanyasaji wanaofanywa na interahamwe na serikali ya congo,mbona congo ina makundi zaidi ya 40 lakini hao hawasemwi? Hii ni chuki kwa watusi tu,tanzania aiwezekani.
Mukamasimba,
Mahitimisho yako yanafanana zaidi na matamko ya Kagame kuliko ukweli wa historia.
- Una ushahidi gani kuwa kuna eneo la Congo ambalo lilikuwa ni sehemu ya Rwanda? Nimesoma sana historia ya Rwanda-Urundi na GL lakini sijaona mahali penye hilo uliloandika, je umelisikia wapi?
- M23 na watutsi wengine wa DRC hawakushika silaha kwa sababu ya kunyanyaswa maana kama ni kunyanyaswa tokea enzi za Mabutu walikuwa wananyanyaswa. Walishika silaha baada ya kuwa na uhakika wa msaada na RPF.
Mkuu Yericko nikuhulize kitu? Kuna analysis nilifanya kwa ufupi sana kuonyesha mikakati ya jamaa zetu hawa Watutsi za kutaka kujenga/tanua Himaya yao in phases, nilianzia Uganda, nikaja Rwanda yenyewe mwisho DRC ingawa ufafanuzi wangu ulikuwa in a watered down format hii haina maana kwamba wana JF hawajui in details tishio la jamaa hawa. Back to the point for some strange reason ume-truncate sehemu iliyo kuwa inazungumzia utekelezaji wa phases hizo badala yake ukabakiza yale yaliyo kuwa yanawafagilia kwa mbali kabila la Watutsi, nataka kuwa muwazi hapa - kitendo hicho kilinishangaza kidogo, looking back now kuna kitu nimekumbuka niliwahi kusoma Minaki na mmoja wa ndugu zako tulikuwa tunaishi bweni moja la Makongoro.... naishia hapo.
Mkuu Yericko nikuhulize kitu? Kuna analysis nilifanya kwa ufupi sana kuonyesha mikakati ya jamaa zetu hawa Watutsi za kutaka kujenga/tanua Himaya yao in phases, nilianzia Uganda, nikaja Rwanda yenyewe mwisho DRC ingawa ufafanuzi wangu ulikuwa in a watered down format hii haina maana kwamba wana JF hawajui in details tishio la jamaa hawa. Back to the point for some strange reason ume-truncate sehemu iliyo kuwa inazungumzia utekelezaji wa phases hizo badala yake ukabakiza yale yaliyo kuwa yanawafagilia kwa mbali kabila la Watutsi, nataka kuwa muwazi hapa - kitendo hicho kilinishangaza kidogo, looking back now kuna kitu nimekumbuka niliwahi kusoma Minaki na mmoja wa ndugu zako tulikuwa tunaishi bweni moja la Makongoro.... naishia hapo.
Wala sijui unataka kuzungumza kitu gani hapa, unamsemea yeye hana mdomo?? Wewe unatoka mkoa gani kwanza - umewahi kuishi NAO kujua undani wao, sijasema kila Mtutsi ana hila ukiangalia sana sana nazungumzia Viongozi wao, unataka tukae kimya alafu matatizo ya KIVU/GOMA yahamie mkoni kwetu - no WAY. Wewe uwezi kuwa Mtanzania, yaani unajifanya kipofu you don't know janga linalo linyemelea Taifa letu under our WATCH!!!!! Au na wewe you are among the sleeper cells waiting an opportune time to spring - mnafikili Watanzania tu wajinga, wangapi hapa wametoa comments karibu zinazo fanana na za kwangu kuhusu uzi huu, mbona uwasemi i.e why pick on me. Au kuna kitu kime hit HOME. Kama wangekuwa walao na busara za kuishi na wanadamu wenzao kwa amani na kuwaheshimu nani angepoteza muda wa kuwasema. Watanzania wahache kuzungumza hatari inayo tukabili tuishie kwenye stori za Mwami Mwambuza na nyimbo za "Ati mwana wa tata Kigeri wa katanda ati owe nyana zose zikabilila zose" afalu waje kutumaliza hapo baadae - watu wanakuwa na ujasiri wa kutishia maisha ya kiongozi wa nchi huru alafu unakuwa na guts za kuja kuwatetea hapa! Kama unaona wanaonewa fuatana nao kwao. Tanzania imepokea wakimbizi wangapi wa kabila la Kitutsi ambao wametulia umewahi kusikia wanahamuriwa kurudi kwao, wengine wamewahi kushika madaraka kwenye vitengo nyeti wamekaa wametulia hawana labsha na mtu, sisi tunazungumzia hawa wapenda vita kupindukia.Sasa wewe unataka apotoshe ukweli kwa sababu wanaongea vizuri watusi usio wapenda,je hili sakata lawezakua mwanzo wa vita kati ya watusi na wabantu?
Okay Yericko nimekuelewa yamekwisha, labda tujaribu ku-tone down rhetoric kuhusu Mh.Kagame tuzungumzie zaidi ABAHIMA waliwahi kutawala kuanzia wapi mpaka wapi na wako related kivipi na Abahinda, Abankango, Ababito nk vile vile ABAHILU wanatokana na uzao gani na kwa nini walijulikana hivyo - vitu kama hivyo for a change.Mkuu wangu karibu sana,Kwanza nikushukuru sana kwakuwa wewe ndiye uliyenihamasisha wiki jana katika uzi ule wa Mzee Mwanakijiji juu ya Rwanda, nami nikaamua kuandika makala haya japo kwa ufupi,Nimeandika kwa ufupi ufupi tu kulingana na mazingira yangu,Nikushukuru tena kwakuleta mawazo mapya tena,
Kumbe wewe ni muha wa Kigoma?so mbona waha wengi tuu ni watutsi wa asili sasa unachukiaje ndugu zako? au nao huwataki unafikiri sio watanzania? mna kazi sana nyie watu na hizo hate zenu ya watutsiWala sijui unataka kuzungumza kitu gani hapa, unamsemea yeye hana mdomo?? Wewe unatoka mkoa gani kwanza - umewahi kuishi NAO kujua undani wao, sijasema kila Mtutsi ana hila ukiangalia sana sana nazungumzia Viongozi wao, unataka tukae kimya alafu matatizo ya KIVU/GOMA yahamie mkoni kwetu - no WAY. Wewe uwezi kuwa Mtanzania, yaani unajifanya kipofu you don't know janga linalo linyemelea Taifa letu under our WATCH!!!!! Au na wewe you are among the sleeper cells waiting an opportune time to spring - mnafikili Watanzania tu wajinga, wangapi hapa wametoa comments karibu zinazo fanana na za kwangu kuhusu uzi huu, mbona uwasemi i.e why pick on me. Au kuna kitu kime hit HOME. Kama wangekuwa walao na busara za kuishi na wanadamu wenzao kwa amani na kuwaheshimu nani angepoteza muda wa kuwasema. Watanzania wahache kuzungumza hatari inayo tukabili tuishie kwenye stori za Mwami Mwambuza na nyimbo za "Ati mwana wa tata Kigeri wa katanda ati owe nyana zose zikabilila zose" afalu waje kutumaliza hapo baadae - watu wanakuwa na ujasiri wa kutishia maisha ya kiongozi wa nchi huru alafu unakuwa na guts za kuja kuwatetea hapa! Kama unaona wanaonewa fuatana nao kwao. Tanzania imepokea wakimbizi wangapi wa kabila la Kitutsi ambao wametulia umewahi kusikia wanahamuriwa kurudi kwao, wengine wamewahi kushika madaraka kwenye vitengo nyeti wamekaa wametulia hawana labsha na mtu, sisi tunazungumzia hawa wapenda vita kupindukia.
Kumbe wewe ni muha wa Kigoma?so mbona waha wengi tuu ni watutsi wa asili sasa unachukiaje ndugu zako? au nao huwataki unafikiri sio watanzania? mna kazi sana nyie watu na hizo hate zenu ya watutsi
Okay Yericko nimekuelewa yamekwisha, labda tujaribu ku-tone down rhetoric kuhusu Mh.Kagame tuzungumzie zaidi ABAHIMA waliwahi kutawala kuanzia wapi mpaka wapi na wako related kivipi na Abahinda, Abankango, Ababito nk vile vile ABAHILU wanatokana na uzao gani na kwa nini walijulikana hivyo - vitu kama hivyo for a change.
Read between the lines! "inasemekana.....halafu kuhusika sio lazima uwepo physically"Hata ww ni muongo, kipindi Rwigyema anauawa Kagame alikua masomoni America, kifo hicho hicho kilipelekea PK kukatisha masomo ili kuja kuendeleza mapambano, huyo Mtikila unaedai kumwamini na yeye ni muongo na mnafki kama wewe tu!