Ijue Rwanda, Kagame, Museveni na Uvamizi wao katika Ardhi ya Congo

Ijue Rwanda, Kagame, Museveni na Uvamizi wao katika Ardhi ya Congo

Thank you for your article, umetufungua wengi sana, tusubiri simulizi upande wa pili
 
Bora ulivomjibu maana

Nimetoa comment zangu baada ya kusoma pages za mwanzo kuna baadhi ya wanaukumbi walikuwa wanahoji sources ni bahati sikupenda kurelay with quote.Kuna ubaya gani nikisema habari za Yericko nilishawahi kuzisoma katika gazeti la Mwahalisi ?.

Kuna mijitu imezaliwa na ubishi, inaweza kubishana na redio

Mimi si lijitu ni mtu kama wewe usilete dharau za uswahilini hapa.
 
Hakuna ukweli mr,na wewe naona unataka kama story kamaunavyo itaka,haya mambo ya tutsi empire ni story za wahutu tu wanaotaka kuhalalisha mauaji ya watutsi,ninacho kubali nikwamba kabla ya ujio wa koloni watusi walikua watawala wa eneo kubwa la east afrika na congo mashariki,sasa hayayote niuoga wa watu wakifikiri watusi wanataka kurudisha himaya zao,kuhusu mauaji ya watusi ni ukweli mtupu,tatizo wahutu hawataki kusikia hiyo habari kwani inawafanya wenye hatia.

Hapo kwenye red: ni kweli mauaji ya watutsi yalifanyika kwani wahautu waliwaua watutsi. na ni kweli pia kuwa watutsi nao waliwaua wahutu. kwa maana hiyo, ukitaka kuwa muungwana na mtu wa kuleta mshikamano wa kudumu kati ya wahutu na watutsi na kutohadaa jumuia ya kimataifa, ni vema kusema mauaji dhidi ya wanyarwanda. Vinginevyo mtakuwa mnaendeleza ukabila na ubaguzi zaidi.
 
Halafu anataka kutuambia sisi tulipo eneo la tukio hali inavyokwenda eneo la maziwa makuu

kukaa kimya kwa serikali ya tanzania tangu vita ya kumwondosha mobutu, mauaji ya mzee kabila yaliyofanywa na rwanda na uganda, na kuendelea kuvumilia wimbi la wakimbizi linalojulikana kama fldr na interahamwe, bila kusahau mafuriko ya maiti ya wahutu na watusi mto kagera na mengineyo mengi yanayosababishwa na sera dhalimu na mfu za dikteta kagame, hawa jamaa walifikiri hatujui undani wa yanayoendelea drc na rwanda kwenyewe pamoja na mbinyo mkali wa habari unaofanywa na serikali y a mdhalimu kagame
 
Hapo kwenye red: ni kweli mauaji ya watutsi yalifanyika kwani wahautu waliwaua watutsi. na ni kweli pia kuwa watutsi nao waliwaua wahutu. kwa maana hiyo, ukitaka kuwa muungwana na mtu wa kuleta mshikamano wa kudumu kati ya wahutu na watutsi na kutohadaa jumuia ya kimataifa, ni vema kusema mauaji dhidi ya wanyarwanda. Vinginevyo mtakuwa mnaendeleza ukabila na ubaguzi zaidi.

hapo huwezi kuelewana na mtusi yeyote, watapataje huruma ya kimataifa ya kuendelea kuivamia kongo na kuua wahutu wasiyo na hatia kwa kisingizio mfu cha interahamwe na fldr?
 
kukaa kimya kwa serikali ya tanzania tangu vita ya kumwondosha mobutu, mauaji ya mzee kabila yaliyofanywa na rwanda na uganda, na kuendelea kuvumilia wimbi la wakimbizi linalojulikana kama fldr na interahamwe, bila kusahau mafuriko ya maiti ya wahutu na watusi mto kagera na mengineyo mengi yanayosababishwa na sera dhalimu na mfu za dikteta kagame, hawa jamaa walifikiri hatujui undani wa yanayoendelea drc na rwanda kwenyewe pamoja na mbinyo mkali wa habari unaofanywa na serikali y a mdhalimu kagame

Sasa tumeamua kuwadhiti kwa kila njia,
 
hapo huwezi kuelewana na mtusi yeyote, watapataje huruma ya kimataifa ya kuendelea kuivamia kongo na kuua wahutu wasiyo na hatia kwa kisingizio mfu cha interahamwe na fldr?

Waliitwa interahamwe sasa ndio wavamizi muhimu wanaotumiwa na Rwanda chini ya Dikteta Kagame huko Kongo,
 
Sasa tumeamua kuwadhiti kwa kila njia,

wamebaki kulia kama mbuzi aliyebanwa na mlango wasijue la kufanya, na jamii ya kimataifa inawajua sawa hawana tena jipya la kuhadaa ulimwengu, ni muda tu unasubiriwa. Time will beep soon!
 
Nimetoa comment zangu baada ya kusoma pages za mwanzo kuna baadhi ya wanaukumbi walikuwa wanahoji sources ni bahati sikupenda kurelay with quote.Kuna ubaya gani nikisema habari za Yericko nilishawahi kuzisoma katika gazeti la Mwahalisi ?.




Mimi si lijitu ni mtu kama wewe usilete dharau za uswahilini hapa.


acha kujihami, aliyekuambia wewe ni m....e....n...d...e kwani ni nani?
 
wamebaki kulia kama mbuzi aliyebanwa na mlango wasijue la kufanya, na jamii ya kimataifa inawajua sawa hawana tena jipya la kuhadaa ulimwengu, ni muda tu unasubiriwa. Time will beep soon!

Rwanda ni masikini, haina ardhi bora ya kilimo zaidi ya kahawa na chai, hawana vivutio vya utalii zaidi ya mafuvu yaliyo makumbusho ya kimbari,

Ili kuijenga Rwanda unahitaji kuwa na resources, sasa Kagame aliamua kupeleka vikosi vyake huko Kongo ili kuendesha wizi wa madini kwaajili ya kuja kuijenga Rwanda hii unayoiona leo, hivyo leo Tz inapowaadabisha wale M23 nikuwa inakata mirija ya uchumi wa Rwanda ndiomana Kagame amedata ghafla
 
1.Je umeisha wahi fika kivu kaskazini? basi nenda wanachi wa pale watakuonyesha mpaka wa ufalme wa rwanda,hata miji yote ya kivu kaskazini inamajina ya kinyarwanda historia inajieleza yanyewe,wazungu wamejaribu kuharibu hiyo historia lakini on ground yanajionyesha yenyewe,ruchuru na masisi hizo zilikua katika himaya ya ufalme wa wanyarwanda.
2.Watusi wa congo wakati wa mobutu haikua sana ila ilikuja kuchachamaa wakati interahamwe zilipo shindwa na majeshi ya RPF basi walifika huko na kuendeleza mauaji kwa kuwaua watutsi walio wakuta huko,na ukumbuke wakati wa mapambano ya RPF serikali ya habyarimana watusi wengi wa congo walienda kusaidia RPF,sasa waliporudi walikuta n'gombe zao zimeliwa,ndugu zao wameuwawa na hao interahamwe,sasa ndio vita ya kabila ilianza na kushirikiana naye lakini lengo lao ilikua kurudi nyumbani,but kabila aliwageuka kutokana na influence of some countries,ndio kabila akarudia kushirikiana na interahamwe mpaka leo ndiyo hiyo vita wanaendelea nayo kwa ufupi ni hivyo.

Muka,
Huna sababu ya kufika Kivu kujua historia ya huko.

  1. Si kweli kusema kuwa kulikuwa na mpaka wa Wanyarwanda ndani ya DRC maana hakuna ushahidi wowote. Wanyarwanda waliopo DRC wachache walienda kufanya kazi na waliowengi (Wanyamulenge) walihamia kukimbia mauaji miaka ya 1959-64. Utawala wa 'Mwami' ulitegemea vitisho vya kishirikina kwenye kutawala na ndio maana haukuwa na nguvu kivita kama vile Wazulu n.k. na ndio maana haukuwa na uwezo wa kupanuka licha ya uhaba wa ardhi.
  2. Kujiunga kwa waTutsi wliokuwa DRC kwenye kikundi cha RPF ilisababisha 'loyalty' yao kuwekwa mashakani. Kwa hiyo Wakongo ndio maana wakawakataa kabisa ingawa hapo awali wangeweza kuwakubali kuwapa uraia. Lakini RPF wanataka wahalalishwe huko Kongo ili waweze kumega eneo la Kongo na kuliunganisha na Rwanda. Ndio maana kwenye sera ya Kagame, amewaita Wanyarwanda wote warudi nyumbani lakini hao wa Kongo anadai ni Wakongolese.
  3. Tatizo la Rwanda ni la baadhi ya koo kujiona kuwa wao ndio wenye haki ya kutawala wengine kwa vile walisifiwa na wakoloni kuwa wao ni bora zaidi kuliko watu wengine. Hii sio kati ya Watutsi vs Wahutu, bali pia ipo kati ya Watutsi vs Watutsi. Ndio maana Watutsi kwa Watutsi nao wanachinjana hata ndani ya RPF.
 
Muka,
Huna sababu ya kufika Kivu kujua historia ya huko.

  1. Si kweli kusema kuwa kulikuwa na mpaka wa Wanyarwanda ndani ya DRC maana hakuna ushahidi wowote. Wanyarwanda waliopo DRC wachache walienda kufanya kazi na waliowengi (Wanyamulenge) walihamia kukimbia mauaji miaka ya 1959-64. Utawala wa 'Mwami' ulitegemea vitisho vya kishirikina kwenye kutawala na ndio maana haukuwa na nguvu kivita kama vile Wazulu n.k. na ndio maana haukuwa na uwezo wa kupanuka licha ya uhaba wa ardhi.
  2. Kujiunga kwa waTutsi wliokuwa DRC kwenye kikundi cha RPF ilisababisha 'loyalty' yao kuwekwa mashakani. Kwa hiyo Wakongo ndio maana wakawakataa kabisa ingawa hapo awali wangeweza kuwakubali kuwapa uraia. Lakini RPF wanataka wahalalishwe huko Kongo ili waweze kumega eneo la Kongo na kuliunganisha na Rwanda. Ndio maana kwenye sera ya Kagame, amewaita Wanyarwanda wote warudi nyumbani lakini hao wa Kongo anadai ni Wakongolese.
  3. Tatizo la Rwanda ni la baadhi ya koo kujiona kuwa wao ndio wenye haki ya kutawala wengine kwa vile walisifiwa na wakoloni kuwa wao ni bora zaidi kuliko watu wengine. Hii sio kati ya Watutsi vs Wahutu, bali pia ipo kati ya Watutsi vs Watutsi. Ndio maana Watutsi kwa Watutsi nao wanachinjana hata ndani ya RPF.
Mkuu umetoa maelezo mazuri sana na ya kweli,

Wale wenye ardhi ya Rwanda Watwa wamepotezwa kabisa na kuonekana hawana maana, badala yake hawa wakuja ndio wamekuwa the superior,

Kagambe na kundi lake la Watusi anandoto za kuimega Kongo, sasa ameona Tz tunamharibia
 
Back
Top Bottom