Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
- #241
ukweli gani umenipa wewe? stop talking pumba bro hunijui.
Kupewa ukweli sio lazima nikujue kijana, kumbe bado mantiki ya ukweli imekupita kando?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukweli gani umenipa wewe? stop talking pumba bro hunijui.
Read men,Books are funny to Mental!
Kwanza mkuu lazima utambue ili kuijenga Rwanda unatakiwa kuwa na raslimali za kutosha na Rwanda ni masikini kwa kila kitu,Nice article na imejaa facts,my question is why Rwandans and their Kagame are very strategic??in EAC?kweli jamaa wamejipanga hawa na hata ile article ya mtikila naanza kuiamini
Bro tatizo lako unaokota hizo garbage zako kwenye net then unakuja humu kujifanya expert wa mambo ya Rwanda,news zako hazina tofauti na vikatuni na vinatakiwa kupelekwa jukwaa la umbeyaKwanza mkuu lazima utambue ili kuijenga Rwanda unatakiwa kuwa na raslimali za kutosha na Rwanda ni masikini kwa kila kitu,
Sasa interahamwe ambayo leo ni M23 inatumiwa na Kagame kuiba raslimali za Kongo na kwenda kuijenga Rwanda,
Hilo linakuja baada yakufeli kile kilichoitwa Mkataba wa Lemera wakuiuza Kogango ambao nimeuelezea hapo juu kwa kirefu sana,
Bro tatizo lako unaokota hizo garbage zako kwenye net then unakuja humu kujifanya expert wa mambo ya Rwanda,news zako hazina tofauti na vikatuni na vinatakiwa kupelekwa jukwaa la umbeya
Kusomesha????hayo magazeti yako unayo copy & paste ndio kusomesha?una wanga wewe.Tangu nilipoanza kusomesha hapa mbona huleti zako za ukweli?
Hoja hujibiwa kwa hoja sio porojo mkuu, utapasuka kwa kihoro bure,
Tuliza moyo soma na utafari!
Pamoja na kuukashifu kwangu Ukoloni, lakini nachukia sana watu weusi wenye akili zao kila siku kusema 'isingekuwa Ukoloni'. Ukweli ni kuwa, hata utumwa ni kwa sababu Mwafrika anataka kuwa mtumwa. Wabeleji, kama watu wengine wote wenye akili, watafanya mambo kwa maslahi yao. Ni juu yako, kama na wewe una akili, kufanya mambo kwa maslahi yako.ngunhila ng'ombe,Mauji ya watusi yaliasisiwa na wabeligiji katika ujio wao, waliegemea sana kuwasomesha watusi kwani waliwapenda kwa sura zao pamoja na pua zao na kuwaona kama wenzao yaani wazungu, na hapo ndipo waliwasomesha na watusi kuanza kuwasimamia wenzao wahutu waliowatangulia kuingia rwanda, hii wahutu iliwapa hasira sana kutumikishwa na watu waliokuja tu na kufikia kuwaita wavurugaji wa amani na maisha yao, ndipo hapo jina la cockroach lilitokea kuitwa kwao watusi! Historia ni ndefu sana sema tu niko mvivu kuchapa au kama mnahitaji zaidi nitatengeneza audio ya mama yangu mtusi anavyosimulia vizuri bila kupotosha chembe maana anaijua sana historia kuacha upotoshaji huu wa yeriko nyerere! Naomba mod uufunge huu uzi maana unapotosha sana!
mkuu umenenaaaa watu wanapandikiza chuki kumbe mambo yote yaliratibiwa BRUSSELS.
"Nyinyi" kipaji chenu ni kipi?
Mbona hamna update ya vita dhidi ya M23? Nini kinaendelea?
Kusomesha????hayo magazeti yako unayo copy & paste ndio kusomesha?una wanga wewe.
Ukiishaibuka kutoka huko shimoni na internet zako za kupima basi chochote utakaandika tuu ili uonekane upo,hasara tupu mshamba wewe.m 23 wamedhibitiwa vizuri, sasa jeshi la walinda mani la UN linasubiri muda mchache tu kutangaza kutekwa kwa ngome ya mwisho ya mamluki hawa wa kagame.
ukweli gani umenipa wewe? stop talking pumba bro hunijui.
Ukiishaibuka kutoka huko shimoni na internet zako za kupima basi chochote utakaandika tuu ili uonekane upo,hasara tupu mshamba wewe.
unamfahamu vizuri Yericko Nyerere wewe? huyu hajaolewa USA kama wewe, ni mzalendo wa Afrika Mashariki na Afrika kwa vitendo. Wewe endelea kukalia umbea wa kishoga hapo USA!
ALEYN Umenena vyema cha msingi ni unafiki alionao huyu mkimbizi haramu. Kagame angemkaribia KIKWETE hata kwa chembe ya utawala wa sheria wanyarwanda wasingeendelea kuishi maisha ya ukimbizi na ya kuranda randa kama kuku wa kienyeji mfano mzuri wa koba na wakimbizi haramu wenzake.Kwanza sidhani kama yupo USA huyu, anajipaisha bure tu. Yupo Uganda au Malawi.
we mbona umejichimbia huko USA, acheni tamaa nyie watutsi.
huyo mimi simjibu tena na wewe nakushauri acha maramoja atakutia nuksi. Kwanza kama walivyowatusi wengi humu jamvini, hajui hata anachobishania.