Ijue Sanaa ya Singeli kuna namba zinatajwa kwenye muziki wa Singeli zina maana gani?

Ijue Sanaa ya Singeli kuna namba zinatajwa kwenye muziki wa Singeli zina maana gani?

Maendeleo ya technology.

Wazamiaji huwa wanarudi na stori za huko walipotoka(SA)

Na mtu alieanza na michezo hiyo hapa bongo alikua ni dogo Hamidu (miaka 11/12iliyopita)ni mtu anaesafiri sana kwenda South, huyu alianza na namba 26 kitambo sana hawa nao wakaanza kukopi.

Miaka 11 au 12 iliyopita huyu NYANDU TOZZY aliitambulisha 26, sasa jiulize hiyo miaka 12 iliyopita kwenye ramani ya muziki singeli ilikua wapi?

Singeli imekua introduced rasmi na DJ MAJIZZO Miaka 9 au 10 tu iliyopita, so kwa kumalizia 26number ilikua introduced bongo kabla hata ya huo mziki wa singeli.

View: https://youtu.be/Cqkj0vvc4sE?si=N0-_COWxTlOHh12l

we jamaa muongo sana...dogo hamidu ni mdogo sana kulinganisha na muziki huu...hujaufuatilia kiunda
Unazungumzia singeli au mnanda mkuu?

Kama mnanda sitii neno, ila kama ni singeli, basi haikuwepo/kutambulika kabla ya ujio wa EFM.

Nipo tayari kurekebishwa nimekaa paleee!
Singeli imetoka mbali brother
 
Nawakaribisha wapenzi wa Singeli,Wanazuoni wa sanaa ,watoto wa kitaa ,Ma itteligentsia wote na wataalamu wa codes.



Hebu tuambieni hizi namba zinazotajwa kwenye muziki wa singeli zina maana gani??

#32
#26
#45
n.k

TAHADHARI:UKITAKA KUIELEWA NA KUIPENDA SINGELI SIKILIZA KATIKATI YA MISTARI (BETWEEXT THE LINE)
Naweza elezea 26 Kwa uchache kidogo.

Hii namba ya 26 ni mzaliwa wa namba 27 kutoka gerezani south Africa.

Wenye asili ya 26 walikuwa ni wacheza Kamali gerezani wakati huo hakuna habari Za namba kwenye magereza ya south Africa na wakati huo kulikuwa na utawala wa kimabavu tu yaani mwili mkubwa ndio mtawala.

Sasa ndio wakaingia jela ndugu wawili Kwa kosa la kumuua baba yao mzazi.
Hapa panazaliwa 28 na 27.

Kipindi Wapo jela walikuwa wote ni wababe na pia walianza kujibebea wafuasi.

Huyu 28 ndio mkubwa anaitwa Nongoloza.
27 ni mdogo mtu.

Majukumu ya kikazi yakaanza.

28 anafanya Kazi usiku yani jua linapozama USHONALANGA.
27 anafanya kazi jua linapochomoza MPUMALANGA.

Huyu 28 alikuwa na itikadi za kishoga.Yaani kuwaingilia wanaume wenzie gerezani na 27 Hana mambo hayo.

Sasa katika harakati za hapa na pale 28 akaona kundi la watu wanacheza Kamali na MTU anapigwa biti anatoa hela hii.Sasa 28 akaanza kuwaletea namba yaani kujitambulisha na kutaka kuwalawiti madogo,27 akaingilia kutetea msala na Jambo likaisha.

Baada ya uchunguzi wa 27 aliufanya Kwa wale magogo akagundua Hawa kupata kwao kitu gerezani humpandishia mtu biti Hadi anakuwa mnyonge Sasa rasmi namba 26 ikazaliwa na pia wakajiita MPUMALANGA mana wengi wao katika kundi like walikuwa wanatokea jimbo la Mpumalanga.

28 kuna Aina mbili kuna ya kuchanua na yakufunga.

Ili upate namba ya kufunga 28 lazima ufanye Jambo yaani uue mfungwa au Askari au upewe kitu ufiche na usitaje hata Askari gereza wakupige nusu ya kufa usitaje.Hapo Sasa unapewa cheo kidogo na kuanza kukontrol baadhi ya maeneo.Kwahiyo unakuwa upewe namba Kwa maumivu makali na pia unaweza kutunza Siri za jeshi la namba hata iweze.

Ukishindwa kuvumilia kipigo na bado unataka namba basi ni lazima uinunue namba Kwa Hela au Kwa kulawitiwa.

27 wao ni namba moja tu na siraha zao kubwa ni bunduki visu vioo ya vitu vyenye ncha Kali.

Hapo nimeelieza Kwa ufupi wakuu.

Kwahiyo namba kubwa ni mbili Tu.
28
27

Ukijiita wee ni namba basi wakubwa wako watakuuliza umeifanyia nini namba yako na ukishindwa basi adhabu Kali utapata pengine hata kifo.

Kwahiyo nawaangaliwa wadogo zetu wanaojiita hizi namba na hawajui nini maana.
 
Naweza elezea 26 Kwa uchache kidogo.

Hii namba ya 26 ni mzaliwa wa namba 27 kutoka gerezani south Africa.

Wenye asili ya 26 walikuwa ni wacheza Kamali gerezani wakati huo hakuna habari Za namba kwenye magereza ya south Africa na wakati huo kulikuwa na utawala wa kimabavu tu yaani mwili mkubwa ndio mtawala.

Sasa ndio wakaingia jela ndugu wawili Kwa kosa la kumuua baba yao mzazi.
Hapa panazaliwa 28 na 27.

Kipindi Wapo jela walikuwa wote ni wababe na pia walianza kujibebea wafuasi.

Huyu 28 ndio mkubwa anaitwa Nongoloza.
27 ni mdogo mtu.

Majukumu ya kikazi yakaanza.

28 anafanya Kazi usiku yani jua linapozama USHONALANGA.
27 anafanya kazi jua linapochomoza MPUMALANGA.

Huyu 28 alikuwa na itikadi za kishoga.Yaani kuwaingilia wanaume wenzie gerezani na 27 Hana mambo hayo.

Sasa katika harakati za hapa na pale 28 akaona kundi la watu wanacheza Kamali na MTU anapigwa biti anatoa hela hii.Sasa 28 akaanza kuwaletea namba yaani kujitambulisha na kutaka kuwalawiti madogo,27 akaingilia kutetea msala na Jambo likaisha.

Baada ya uchunguzi wa 27 aliufanya Kwa wale magogo akagundua Hawa kupata kwao kitu gerezani humpandishia mtu biti Hadi anakuwa mnyonge Sasa rasmi namba 26 ikazaliwa na pia wakajiita MPUMALANGA mana wengi wao katika kundi like walikuwa wanatokea jimbo la Mpumalanga.

28 kuna Aina mbili kuna ya kuchanua na yakufunga.

Ili upate namba ya kufunga 28 lazima ufanye Jambo yaani uue mfungwa au Askari au upewe kitu ufiche na usitaje hata Askari gereza wakupige nusu ya kufa usitaje.Hapo Sasa unapewa cheo kidogo na kuanza kukontrol baadhi ya maeneo.Kwahiyo unakuwa upewe namba Kwa maumivu makali na pia unaweza kutunza Siri za jeshi la namba hata iweze.

Ukishindwa kuvumilia kipigo na bado unataka namba basi ni lazima uinunue namba Kwa Hela au Kwa kulawitiwa.

27 wao ni namba moja tu na siraha zao kubwa ni bunduki visu vioo ya vitu vyenye ncha Kali.

Hapo nimeelieza Kwa ufupi wakuu.

Kwahiyo namba kubwa ni mbili Tu.
28
27

Ukijiita wee ni namba basi wakubwa wako watakuuliza umeifanyia nini namba yako na ukishindwa basi adhabu Kali utapata pengine hata kifo.

Kwahiyo nawaangaliwa wadogo zetu wanaojiita hizi namba na hawajui nini maana.
Maybe
 
Naweza elezea 26 Kwa uchache kidogo.

Hii namba ya 26 ni mzaliwa wa namba 27 kutoka gerezani south Africa.

Wenye asili ya 26 walikuwa ni wacheza Kamali gerezani wakati huo hakuna habari Za namba kwenye magereza ya south Africa na wakati huo kulikuwa na utawala wa kimabavu tu yaani mwili mkubwa ndio mtawala.

Sasa ndio wakaingia jela ndugu wawili Kwa kosa la kumuua baba yao mzazi.
Hapa panazaliwa 28 na 27.

Kipindi Wapo jela walikuwa wote ni wababe na pia walianza kujibebea wafuasi.

Huyu 28 ndio mkubwa anaitwa Nongoloza.
27 ni mdogo mtu.

Majukumu ya kikazi yakaanza.

28 anafanya Kazi usiku yani jua linapozama USHONALANGA.
27 anafanya kazi jua linapochomoza MPUMALANGA.

Huyu 28 alikuwa na itikadi za kishoga.Yaani kuwaingilia wanaume wenzie gerezani na 27 Hana mambo hayo.

Sasa katika harakati za hapa na pale 28 akaona kundi la watu wanacheza Kamali na MTU anapigwa biti anatoa hela hii.Sasa 28 akaanza kuwaletea namba yaani kujitambulisha na kutaka kuwalawiti madogo,27 akaingilia kutetea msala na Jambo likaisha.

Baada ya uchunguzi wa 27 aliufanya Kwa wale magogo akagundua Hawa kupata kwao kitu gerezani humpandishia mtu biti Hadi anakuwa mnyonge Sasa rasmi namba 26 ikazaliwa na pia wakajiita MPUMALANGA mana wengi wao katika kundi like walikuwa wanatokea jimbo la Mpumalanga.

28 kuna Aina mbili kuna ya kuchanua na yakufunga.

Ili upate namba ya kufunga 28 lazima ufanye Jambo yaani uue mfungwa au Askari au upewe kitu ufiche na usitaje hata Askari gereza wakupige nusu ya kufa usitaje.Hapo Sasa unapewa cheo kidogo na kuanza kukontrol baadhi ya maeneo.Kwahiyo unakuwa upewe namba Kwa maumivu makali na pia unaweza kutunza Siri za jeshi la namba hata iweze.

Ukishindwa kuvumilia kipigo na bado unataka namba basi ni lazima uinunue namba Kwa Hela au Kwa kulawitiwa.

27 wao ni namba moja tu na siraha zao kubwa ni bunduki visu vioo ya vitu vyenye ncha Kali.

Hapo nimeelieza Kwa ufupi wakuu.

Kwahiyo namba kubwa ni mbili Tu.
28
27

Ukijiita wee ni namba basi wakubwa wako watakuuliza umeifanyia nini namba yako na ukishindwa basi adhabu Kali utapata pengine hata kifo.

Kwahiyo nawaangaliwa wadogo zetu wanaojiita hizi namba na hawajui nini maana.
 
Naweza elezea 26 Kwa uchache kidogo.

Hii namba ya 26 ni mzaliwa wa namba 27 kutoka gerezani south Africa.

Wenye asili ya 26 walikuwa ni wacheza Kamali gerezani wakati huo hakuna habari Za namba kwenye magereza ya south Africa na wakati huo kulikuwa na utawala wa kimabavu tu yaani mwili mkubwa ndio mtawala.

Sasa ndio wakaingia jela ndugu wawili Kwa kosa la kumuua baba yao mzazi.
Hapa panazaliwa 28 na 27.

Kipindi Wapo jela walikuwa wote ni wababe na pia walianza kujibebea wafuasi.

Huyu 28 ndio mkubwa anaitwa Nongoloza.
27 ni mdogo mtu.

Majukumu ya kikazi yakaanza.

28 anafanya Kazi usiku yani jua linapozama USHONALANGA.
27 anafanya kazi jua linapochomoza MPUMALANGA.

Huyu 28 alikuwa na itikadi za kishoga.Yaani kuwaingilia wanaume wenzie gerezani na 27 Hana mambo hayo.

Sasa katika harakati za hapa na pale 28 akaona kundi la watu wanacheza Kamali na MTU anapigwa biti anatoa hela hii.Sasa 28 akaanza kuwaletea namba yaani kujitambulisha na kutaka kuwalawiti madogo,27 akaingilia kutetea msala na Jambo likaisha.

Baada ya uchunguzi wa 27 aliufanya Kwa wale magogo akagundua Hawa kupata kwao kitu gerezani humpandishia mtu biti Hadi anakuwa mnyonge Sasa rasmi namba 26 ikazaliwa na pia wakajiita MPUMALANGA mana wengi wao katika kundi like walikuwa wanatokea jimbo la Mpumalanga.

28 kuna Aina mbili kuna ya kuchanua na yakufunga.

Ili upate namba ya kufunga 28 lazima ufanye Jambo yaani uue mfungwa au Askari au upewe kitu ufiche na usitaje hata Askari gereza wakupige nusu ya kufa usitaje.Hapo Sasa unapewa cheo kidogo na kuanza kukontrol baadhi ya maeneo.Kwahiyo unakuwa upewe namba Kwa maumivu makali na pia unaweza kutunza Siri za jeshi la namba hata iweze.

Ukishindwa kuvumilia kipigo na bado unataka namba basi ni lazima uinunue namba Kwa Hela au Kwa kulawitiwa.

27 wao ni namba moja tu na siraha zao kubwa ni bunduki visu vioo ya vitu vyenye ncha Kali.

Hapo nimeelieza Kwa ufupi wakuu.

Kwahiyo namba kubwa ni mbili Tu.
28
27

Ukijiita wee ni namba basi wakubwa wako watakuuliza umeifanyia nini namba yako na ukishindwa basi adhabu Kali utapata pengine hata kifo.

Kwahiyo nawaangaliwa wadogo zetu wanaojiita hizi namba na hawajui nini maana.
Inasemekana hizi ni hadithi za Sukununu
 
tuambieni
Nawakaribisha wapenzi wa Singeli,Wanazuoni wa sanaa ,watoto wa kitaa ,Ma itteligentsia wote na wataalamu wa codes.



Hebu tuambieni hizi namba zinazotajwa kwenye muziki wa singeli zina maana gani??
View attachment 3259161
#32
#26
#45
n.k

TAHADHARI:UKITAKA

KUIELEWA NA KUIPENDA SINGELI SIKILIZA KATIKATI YA MISTARI (BETWEEXT THE LINE)

25 Ni Peace & Love na Ishara Ni Kama alivyokuwa anashangilia Gaucho Ile Ndo 25

26 Ni Hustler (After Money)

27 Ni Indota (mkubwa/Kiongozi Wa Magangstar)



Hizo zingine sifahamu zina Maana ipi
 
Inawezekana ikawa kweli ngoja nimcheki mwanangu dogo hamidu muite Nyandu tozi
Mchek lakini kamwe hawezi kukwambia huu ukweli mana atashusha brand.

Lakini ukweli anaujua kama Kweli kafatilia namba.

Nakwambia ukweli ya kwamba Kuna mwenetu alikuwa nafanya Kazi sehemu Fulani hivi Sasa Bana akapishana kauli na bosi wake asee Kwa masikio yangu akamtamkia boss wake ya kwamba wewe sikuogopi mana sio Mungu na Mungu wangu Mimi ni Nongoloza 28.

Sasa unaweza Ona haya mambo ni kama ushetani vile
 
Mchek lakini kamwe hawezi kukwambia huu ukweli mana atashusha brand.

Lakini ukweli anaujua kama Kweli kafatilia namba.

Nakwambia ukweli ya kwamba Kuna mwenetu alikuwa nafanya Kazi sehemu Fulani hivi Sasa Bana akapishana kauli na bosi wake asee Kwa masikio yangu akamtamkia boss wake ya kwamba wewe sikuogopi mana sio Mungu na Mungu wangu Mimi ni Nongoloza 28.

Sasa unaweza Ona haya mambo ni kama ushetani vile
Huwa wanapata hela kwenye hivyo vyama vya kishenzi?
 
Back
Top Bottom