32 div 0Nawakaribisha wapenzi wa Singeli,Wanazuoni wa sanaa ,watoto wa kitaa ,Ma itteligentsia wote na wataalamu wa codes.
Hebu tuambieni hizi namba zinazotajwa kwenye muziki wa singeli zina maana gani??
View attachment 3259161
#32
#26
#45
n.k
TAHADHARI:UKITAKA
KUIELEWA NA KUIPENDA SINGELI SIKILIZA KATIKATI YA MISTARI (BETWEEXT THE LINE)
Kwa hiyo balaa mc na yeye yumoNdio Ila wakiwa jela au baadhi ya hoods zile ambazo polisi hatembelei mara Kwa Mara.
Labda Kwa hapa nyumbani sababu hawajui Ila akienda kwenye original number ya 26 ndio atajua hajui.Kwa hiyo balaa mc na yeye yumo
Kwa hiyo akienda huko atachakazwaLabda Kwa hapa nyumbani sababu hawajui Ila akienda kwenye original number ya 26 ndio atajua hajui.
Elewa mkuu wale jamaa hawana utani kabisa kwenye mambo ya namba.
Wala hata chakazwa kama atabaki na utanzania wake.Kwa hiyo akienda huko atachakazwa
He he heha ha ha
Mbali wapi si useme bro!!we jamaa muongo sana...dogo hamidu ni mdogo sana kulinganisha na muziki huu...hujaufuatilia kiunda
Singeli imetoka mbali brother
Kacheze udugu wangu ndio level zakoNa singeli pia inasema wewe ni kichaa na taahira na haikuelewi kabisa
PoaKacheze udugu wangu ndio level zako