Ijue Sheria ya Ardhi ya Tanzania ya mwaka 1999

Ijue Sheria ya Ardhi ya Tanzania ya mwaka 1999

Basi Mugabe angeshawafukuza wazimbabwe ,,,hakuna marefu yasiyo na ncha


Si unaona aliwafukuza Wazungu? Isitoshe Katiba ya Zimbabwe siijui inasemaje sidhani kama iko sawa na yetu, hivyo huwezi tu kulinganisha bila ya kufahamu Katiba yao ikoje kuhusu Madaraka ya Raisi!
 
Si unaona aliwafukuza Wazungu? Isitoshe Katiba ya Zimbabwe siijui inasemaje sidhani kama iko sawa na yetu, hivyo huwezi tu kulinganisha bila ya kufahamu Katiba yao ikoje kuhusu Madaraka ya Raisi!
Basi bwanaa
 
Leo jumalipi
Changamsha genge na mashudu yako
 
Ardhi yote ya JMTZ ni Mali ya Raisi wa JMTZ zamani ilikuwa Mali ya Ufalme wa Uingereza wakamkabidhi Raisi wa JMTZ, hivyo anaweza kukufukuza kwenye ardhi yake, kwa kifupi sisi wote ni Wapangaji wake, ...
Land in Tanzania is public property but HELD IN TRUST by the President ON BEHALF OF THE PEOPLE. Usitake kudanganya watu.
 
Mi nina ka kiwanja changu miguu 20 kwa 20, nalipia kidogo kidogo, Sa km ardhi yote ya jamaa, bora niache kulipia
 
maelezo hayana mipaka, kwa hiyo anaweza kutufukuza wote abaki yeye peke yake mkuu.
 
Land in Tanzania is public property but HELD IN TRUST by the President ON BEHALF OF THE PEOPLE. Usitake kudanganya watu.


Nadanganya wapi? Raisi wa JMTZ anaweza kukufuza kwenye ardhi yako/yake muda wowote ule na hakuna kitu utafanya, Nyerere alifukuza ndugu zangu Kusini kwenye vijiji vyao na kuwapeleka alikoamua yeye, huo uwezo aliupata wapi?
Ndugu zangu waliishi kwenye hivyo vijiji mababu na mababu kabla hata Nyerere hajazaliwa lkn aliwafukuza na kuwaacha wakaliwa na Simba, alipata wapi hiyo nguvu?
 
Huyo mkuu wa nchi unayemsema hana anapo tokea kwenye hiyo JMT? Hana jina?


Usichanganye mambo, naongelea Raisi wa JMTZ, Cheo, na siyo Binadamu xyz, hata wewe unaweza kuja kuwa Raisi wa JMTZ na utakuwa na nguvu hii hii ninayoiongelea!
 
Ardhi yote ya JMTZ ni Mali ya Raisi wa JMTZ zamani ilikuwa Mali ya Ufalme wa Uingereza wakamkabidhi Raisi wa JMTZ, hivyo anaweza kukufukuza kwenye ardhi yake, kwa kifupi sisi wote ni Wapangaji wake, ...
Yani naomba mod wafute huu uzi kwa sababu huyu Rais hajui. Akijua mbona tutahama wote abaki yeye na madam tanzanite
 
Ardhi yote ya JMTZ ni Mali ya Raisi wa JMTZ zamani ilikuwa Mali ya Ufalme wa Uingereza wakamkabidhi Raisi wa JMTZ, hivyo anaweza kukufukuza kwenye ardhi yake, kwa kifupi sisi wote ni Wapangaji wake, ...
Akinifukuza ananitupa wapi?
 
Ardhi yote ya JMTZ ni Mali ya Raisi wa JMTZ zamani ilikuwa Mali ya Ufalme wa Uingereza wakamkabidhi Raisi wa JMTZ, hivyo anaweza kukufukuza kwenye ardhi yake, kwa kifupi sisi wote ni Wapangaji wake, ...



Sasa atanifukuzaje akati hata hanijui
 
Back
Top Bottom