Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,654
- 8,564
maeneo Ya kimara,bonde La Mkwajuni Na Jangwani, Wakazi Wote Waliokuwa Wanakaa Maeneo Hayo Wamefukuzwa MaghufuriWeka ushahidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maeneo Ya kimara,bonde La Mkwajuni Na Jangwani, Wakazi Wote Waliokuwa Wanakaa Maeneo Hayo Wamefukuzwa MaghufuriWeka ushahidi
Basi Mugabe angeshawafukuza wazimbabwe ,,,hakuna marefu yasiyo na ncha
Yeye cii anafukuzwa baada ya miaka ya 10Labda ukimzidi nguvu, unaweza yaani kumpindua vinginevyo wewe ndiyo utaondoka nchi hii!
Basi bwanaaSi unaona aliwafukuza Wazungu? Isitoshe Katiba ya Zimbabwe siijui inasemaje sidhani kama iko sawa na yetu, hivyo huwezi tu kulinganisha bila ya kufahamu Katiba yao ikoje kuhusu Madaraka ya Raisi!
Rais wa JMT ni nani?Unachanganya mambo naona tuko frequency mbili tofauti, mimi naongelea Raisi wa JMTZ na sijamtaja Raisi xyz bali naongelea cheo cha Risi wa JMTZ, naona wewe uko kwingne!
Yeye cii anafukuzwa baada ya miaka ya 10
He is so proud to term himself 'wife'Haya ni mambo ya kisheria,usiyazungumze kikasuku. Usitafsiri sheria kikasuku,ndio maana watu wanaingia darasani miaka minne kusoma.
Rais wa JMT ni nani?
Land in Tanzania is public property but HELD IN TRUST by the President ON BEHALF OF THE PEOPLE. Usitake kudanganya watu.Ardhi yote ya JMTZ ni Mali ya Raisi wa JMTZ zamani ilikuwa Mali ya Ufalme wa Uingereza wakamkabidhi Raisi wa JMTZ, hivyo anaweza kukufukuza kwenye ardhi yake, kwa kifupi sisi wote ni Wapangaji wake, ...
Huyo mkuu wa nchi unayemsema hana anapo tokea kwenye hiyo JMT? Hana jina?Ni Mkuu wa Nchi iitwayo JMTZ pmj na vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama ambavyo viko chini yake kwa ajili ya kumlinda yeye!
Land in Tanzania is public property but HELD IN TRUST by the President ON BEHALF OF THE PEOPLE. Usitake kudanganya watu.
Huyo mkuu wa nchi unayemsema hana anapo tokea kwenye hiyo JMT? Hana jina?
Yani naomba mod wafute huu uzi kwa sababu huyu Rais hajui. Akijua mbona tutahama wote abaki yeye na madam tanzaniteArdhi yote ya JMTZ ni Mali ya Raisi wa JMTZ zamani ilikuwa Mali ya Ufalme wa Uingereza wakamkabidhi Raisi wa JMTZ, hivyo anaweza kukufukuza kwenye ardhi yake, kwa kifupi sisi wote ni Wapangaji wake, ...
Akinifukuza ananitupa wapi?Ardhi yote ya JMTZ ni Mali ya Raisi wa JMTZ zamani ilikuwa Mali ya Ufalme wa Uingereza wakamkabidhi Raisi wa JMTZ, hivyo anaweza kukufukuza kwenye ardhi yake, kwa kifupi sisi wote ni Wapangaji wake, ...
Akinifukuza ananitupa wapi?
Ardhi yote ya JMTZ ni Mali ya Raisi wa JMTZ zamani ilikuwa Mali ya Ufalme wa Uingereza wakamkabidhi Raisi wa JMTZ, hivyo anaweza kukufukuza kwenye ardhi yake, kwa kifupi sisi wote ni Wapangaji wake, ...