auferet dominus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,804
- 1,292
We can read your little mind dudeHata wewe kama wenzako, unachanganya mambo, mimi sijamuongelea Binadamu yoyote yule bali nimeongelea Raisi wa JMTZ kama Cheo, ambapo hata wewe unaweza kuwa Raisi wa JMTZ kesho na pia ukawa na uwezo wa kufukuza yoyote yule kwenye ardhi ya JMTZ aliyopanga!