Ijue Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, sheria no. 11 ya mwaka 2022

Ijue Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, sheria no. 11 ya mwaka 2022

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Hii ni sheria ya 2022 , lakini ni vyema kujifunza yafuatayo tunavyoelekea kwenye kesi ya Tundu Lissu vs Tigo kama mkusanyaji na mchakataji wa taarifa za Tundu lissu.

1. Kuna Tume ya ulinzi wa Taarifa binafsi

2. Mtu yeyote atakayebaini kuwa mkusanyaji au mchakataji amekiuka misingi ya ulinzi wa taarifa binafsi anaweza kuwasilisha malalamiko kwa Tume .

3. Inakupa nafasi ya kwenda mahakamani

4. Kuna adhabu ya kosa mpaka bilioni 5

5. Kuna fidia ya madhara yalitokana athari ukiukwaji wa sheria , madhara ya kifedha na yasiyo ya kifedha.

Soma Pia:
Screenshot_20240926-032350.png
Screenshot_20240926-025153~2.png
 

Attachments

Haya mambo yanawaaribu

Kudhani mambo yanafanyika mnavyotaka.

Na ndio maana inakuwa rahisi kuongopewa.

Kisa Lissu kasema basi hiyo ndio ‘Canon law’. kwa watanzania.

Hakuna muda wa kutaka kujua sheria zingine zinazo override hiyo argument yake mfu.

Na hili tatizo linapanda mpaka serikalini kudhani elimu ni swala la mzaha.

Wanapandashina nafasi huko serikalini kirahisi sana kwenye technical posts, kudhani huo upuuzi wao utazaa Matunda nje ya Tanzania.

Mfano, kesi ya Indiana Resources, ilikuwa rahisi sana. Tumeshindwa na kulipa billions simply kwa sababu wanasheria walioenda hawana uwezo kabisa.

Hiyo ndio sababu ya kushindwa kesi.

Humu JF when it comes to technical discussion what prevails is popularity or popular opinion but not technical argument. Ujinga mtupu.

Binafsi ukiona nasalia kwa mtu ujue anajua, lakini ukiona na challenge ujue huyo mtu hana analolijua.

Ndio kama hivi Lissu keshawajaza ujinga tayari, wanao okota.

Sasa sio Lissu tu Kabudi hajui contract wala Shivji; hui ndio uhalisia.
 
Haya mambo yanawaaribu

Kudhani mambo yanafanyika mnavyotaka.

Na ndio maana inakuwa rahisi kuongopewa.

Kisa Lissu kasema basi hiyo ndio ‘Canon law’. kwa watanzania.

Hakuna muda wa kutaka kujua sheria zingine zinazo override hiyo argument yake mfu.

Na hili tatizo linapanda mpaka serikalini kudhani elimu ni swala la mzaha.

Wanapandashina nafasi huko serikalini kirahisi sana kwenye technical posts, kudhani huo upuuzi wao utazaa Matunda nje ya Tanzania.

Mfano, kesi ya Indiana Resources, ilikuwa rahisi sana. Tumeshindwa na kulipa billions simply kwa sababu wanasheria walioenda hawana uwezo kabisa.

Hiyo ndio sababu ya kushindwa kesi.

Humu JF when it comes to technical discussion what prevails is popularity or popular opinion but not technical argument. Ujinga mtupu.

Binafsi ukiona nasalia kwa mtu ujue anajua, lakini ukiona na challenge ujue huyo mtu hana analolijua.

Ndio kama hivi Lissu keshawajaza ujinga tayari, wanao okota.

Sasa sio Lissu tu Kabudi hajui contract wala Shivji; hui ndio uhalisia.

Hujui kitu. Hiyo ndio sheria mama.
 
Haya mambo yanawaaribu

Kudhani mambo yanafanyika mnavyotaka.

Na ndio maana inakuwa rahisi kuongopewa.

Kisa Lissu kasema basi hiyo ndio ‘Canon law’. kwa watanzania.

Hakuna muda wa kutaka kujua sheria zingine zinazo override hiyo argument yake mfu.

Na hili tatizo linapanda mpaka serikalini kudhani elimu ni swala la mzaha.

Wanapandashina nafasi huko serikalini kirahisi sana kwenye technical posts, kudhani huo upuuzi wao utazaa Matunda nje ya Tanzania.

Mfano, kesi ya Indiana Resources, ilikuwa rahisi sana. Tumeshindwa na kulipa billions simply kwa sababu wanasheria walioenda hawana uwezo kabisa.

Hiyo ndio sababu ya kushindwa kesi.

Humu JF when it comes to technical discussion what prevails is popularity or popular opinion but not technical argument. Ujinga mtupu.

Binafsi ukiona nasalia kwa mtu ujue anajua, lakini ukiona na challenge ujue huyo mtu hana analolijua.

Ndio kama hivi Lissu keshawajaza ujinga tayari, wanao okota.

Sasa sio Lissu tu Kabudi hajui contract wala Shivji; hui ndio uhalisia.
Punguza hasira dada
 
Hii ni sheria ya 2022 , lakini ni vyema kujifunza yafuatayo tunavyoelekea kwenye kesi ya Tundu Lissu vs Tigo kama mkusanyaji na mchakataji wa taarifa za Tundu lissu .

1.Kuna Tume ya ulinzi wa Taarifa binafsi

2.Mtu yeyote atakayebaini kuwa mkusanyaji au mchakataji amekiuka misingi ya ulinzi wa taarifa binafsi anaweza kuwasilisha malalamiko kwa Tume .

3.Inakupa nafasi ya kwenda mahakamani

4.kuna adhabu ya kosa mpaka bilioni 5

5.kuna fidia ya madhara yalitokana athari ukiukwaji wa sheria , madhara ya kifedha na yasiyo ya kifedha.

Soma Pia:
Ni kujidanganya kuwa utaenda kulalamikia serikali kukudukua kwa kushirikiana na mitandao ya simu.

Dawa ni kutafuta loopholes za kushtaki nje ya nchi hususan kwenye makampuni mama ya hizi zinazooperate kwetu.

Kama malalamiko yanapokelewa, je ile mitambo ya kusikilizia mawasiliano pale TCRA imewekwa ya kazi gani. Mliinunua Israel
 
Haya mambo yanawaaribu

Kudhani mambo yanafanyika mnavyotaka.

Na ndio maana inakuwa rahisi kuongopewa.

Kisa Lissu kasema basi hiyo ndio ‘Canon law’. kwa watanzania.

Hakuna muda wa kutaka kujua sheria zingine zinazo override hiyo argument yake mfu.

Na hili tatizo linapanda mpaka serikalini kudhani elimu ni swala la mzaha.

Wanapandashina nafasi huko serikalini kirahisi sana kwenye technical posts, kudhani huo upuuzi wao utazaa Matunda nje ya Tanzania.

Mfano, kesi ya Indiana Resources, ilikuwa rahisi sana. Tumeshindwa na kulipa billions simply kwa sababu wanasheria walioenda hawana uwezo kabisa.

Hiyo ndio sababu ya kushindwa kesi.

Humu JF when it comes to technical discussion what prevails is popularity or popular opinion but not technical argument. Ujinga mtupu.

Binafsi ukiona nasalia kwa mtu ujue anajua, lakini ukiona na challenge ujue huyo mtu hana analolijua.

Ndio kama hivi Lissu keshawajaza ujinga tayari, wanao okota.

Sasa sio Lissu tu Kabudi hajui contract wala Shivji; hui ndio uhalisia.
Huoni ndio fursa ya kuonesha umwamba wako hapa, kujinadi hivyo bila andiko ni kujisifia bila facts, tiririka hizo technical side of the argument, otherwise that would be similar to A vapour Majesty
 
Huoni ndio fursa ya kuonesha umwamba wako hapa, kujinadi hivyo bila andiko ni kujisifia bila facts, tiririka hizo technical side of the argument, otherwise that would be similar to A vapour Majesty
Najibu hoja kwa hoja; siamini kwenye ujuaji wa mtu mmoja.

You always panapo majibizano hata ukizidiwa points.

Achananeni na haya mambo ya kudhani uelewa ni exclusive kwa mtu fulani tu, kama mnavotaka kumtukuza Lissu wakati ni mwepesi tu.
 
Najibu hoja kwa hoja; siamini kwenye ujuaji wa mtu mmoja.

You always panapo majibizano hata ukizidiwa points.

Achananeni na haya mambo ya kudhani uelewa ni exclusive kwa mtu fulani tu, kama mnavotaka kumtukuza Lissu wakati ni mwepesi tu.
Una express Ego tu katika hilo weka andika kinzani katika hoja zake hivyo tu hakuna zaidi
 
Najibu hoja kwa hoja; siamini kwenye ujuaji wa mtu mmoja.

You always panapo majibizano hata ukizidiwa points.

Achananeni na haya mambo ya kudhani uelewa ni exclusive kwa mtu fulani tu, kama mnavotaka kumtukuza Lissu wakati ni mwepesi tu.
Mwepesi ana kilo ngapi?
 
Hakuna muda wa kutaka kujua sheria zingine zinazo override hiyo argument yake mfu.
Si ndio maana kuna mahakama ili ikatafsiri Sheria kwa kesi husika, hiyo sio kazi ya lissu au ya mtoa mada ila yeye amechambua sheria inayolinda haki za faragha kwa mteja. Mfano Tigo inatoa taarifa kwa watu then wanampiga risasi mtu kivipi ni halali?

Najua utasema matters of national security inaruhusu information kuwa leaked!! Je inaruhusu pia information kuwa leaked kwa majambazi kuua watu?

Mfano, kesi ya Indiana Resources, ilikuwa rahisi sana. Tumeshindwa na kulipa billions simply kwa sababu wanasheria walioenda hawana uwezo kabisa.
Urahisi ulikua wapi? Ufute retention licence ya mtu ni sawa na expropriation ya mali yake, unajiteteaje. Kesi ilikua ngumu unless Tanzania initially ingepeleka shauri yenyewe arbitration kuwa Indiana resources imefanya breach of contract hivyo licence inakua revoked. Sio other way round, ukishakua reactive kwenye kesi lazima upigwe tu.
 
Si ndio maana kuna mahakama ili ikatafsiri Sheria kwa kesi husika, hiyo sio kazi ya lissu au ya mtoa mada ila yeye amechambua sheria inayolinda haki za faragha kwa mteja. Mfano Tigo inatoa taarifa kwa watu then wanampiga risasi mtu kivipi ni halali?

Najua utasema matters of national security inaruhusu information kuwa leaked!! Je inaruhusu pia information kuwa leaked kwa majambazi kuua watu?


Urahisi ulikua wapi? Ufute retention licence ya mtu ni sawa na expropriation ya mali yake, unajiteteaje. Kesi ilikua ngumu unless Tanzania initially ingepeleka shauri yenyewe arbitration kuwa Indiana resources imefanya breach of contract hivyo licence inakua revoked. Sio other way round, ukishakua reactive kwenye kesi lazima upigwe tu.
Kiongozi nawe kuna wasaa unajadili mambo kwa kufuata mtiririko wa hoja za wana JF.

Kabisa unaamini kuna taasisi itakayoambiwa na serikali itoe info na kujua hatua za mbele za serikali baada ya kupata hizo info.

Moreover hatuna exact information in details zote, lakini muhusika alishaonywa mara kadhaa aache kuupa nadharia zake za nchi kushitakiwa MIGA na kuwakatisha tamaa.

Kilichompata Lissu at humane level akipendezi, but as far as national security alijitakia.

Moreover unaelewa changamoto za natural resources disputes 1950’s hadi kufikia za kutambua host nations contracts.

Meaning host nation contract renegotiations sio jepesi, kuna fujo za kuwaita wahusika mezani. Wenzako wakikwambia acha kuingilia kama wewe mwenzao acha. Sasa Lissu yeye alikuwa asikii tena anaendelea potosha umma huko si ni kununua ugomvi.

Kuhusu Indiana kulikuwa na promise of investment ambayo aikufanywa for many years zaidi ya kupasiana tu asset. Sasa asset yenyewe ni mali ya Tanzania na clearly mwekezaji hakuwa na mtaji mpaka serikali ikaamua kuchukua resources zake. Waneshindwa vipi ni uwezo mdogo wa wanasheria wa serikali kwenye maswala ya contract.

Na huo uwezo mdogo ndio unaompa nguvu Amsterdam kwa kushirikiana na wahuni wengine ndani ya serikali za mabeberu kuendelea kujaribu kila avenue.

As for you tosheka, ifike hatua uwe mzalendo kweli.
 
Haya mambo yanawaaribu

Kudhani mambo yanafanyika mnavyotaka.

Na ndio maana inakuwa rahisi kuongopewa.

Kisa Lissu kasema basi hiyo ndio ‘Canon law’. kwa watanzania.

Hakuna muda wa kutaka kujua sheria zingine zinazo override hiyo argument yake mfu.

Na hili tatizo linapanda mpaka serikalini kudhani elimu ni swala la mzaha.

Wanapandashina nafasi huko serikalini kirahisi sana kwenye technical posts, kudhani huo upuuzi wao utazaa Matunda nje ya Tanzania.

Mfano, kesi ya Indiana Resources, ilikuwa rahisi sana. Tumeshindwa na kulipa billions simply kwa sababu wanasheria walioenda hawana uwezo kabisa.

Hiyo ndio sababu ya kushindwa kesi.

Humu JF when it comes to technical discussion what prevails is popularity or popular opinion but not technical argument. Ujinga mtupu.

Binafsi ukiona nasalia kwa mtu ujue anajua, lakini ukiona na challenge ujue huyo mtu hana analolijua.

Ndio kama hivi Lissu keshawajaza ujinga tayari, wanao okota.

Sasa sio Lissu tu Kabudi hajui contract wala Shivji; hui ndio uhalisia.
Uko sahihi, hao uliowataja hawajui kitu, lakini ww hatukufahamu zaidi ya hii fake id.
 
Hii ni sheria ya 2022 , lakini ni vyema kujifunza yafuatayo tunavyoelekea kwenye kesi ya Tundu Lissu vs Tigo kama mkusanyaji na mchakataji wa taarifa za Tundu lissu.

1. Kuna Tume ya ulinzi wa Taarifa binafsi

2. Mtu yeyote atakayebaini kuwa mkusanyaji au mchakataji amekiuka misingi ya ulinzi wa taarifa binafsi anaweza kuwasilisha malalamiko kwa Tume .

3. Inakupa nafasi ya kwenda mahakamani

4. Kuna adhabu ya kosa mpaka bilioni 5

5. Kuna fidia ya madhara yalitokana athari ukiukwaji wa sheria , madhara ya kifedha na yasiyo ya kifedha.

Soma Pia:
Hii sheria ya mwaka 2022 haifanyi kazi kwa matendo ya 2017 tambua mchezo huo.
 
Back
Top Bottom