Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Akili hawana wanaoabudu fundi seremala na kupiga magoti kuomba sanamu lake
Mimi sijataka kwenda huko maana huwa napata shida kukashifu Imani ya mwingine na nafanya hivyo pale inapobidi.

Kuhusu watu kupiga magoti kuomba sanamu usiishie hapo tu, vipi na wale wanaokizunguka kile kijumba cheusi kule maka? Nao hawana akili?
 
Kuna Taasisi inaratibu hizo chuki .
Ndo maana unaona Dr Slaa sasa taratibu anatoka CCM kurudi Chadema kuongeza nguvu...
Dr Slaa alikuwa katibu zamani wa Taasisi husika...
Nawe ulimpinga magu kwa dini yake,naona mnajitekenya tu.
Wadini ninyi nyote hamfai
 
Mmepewa ninyi sasa,shule zenu za madrasa ziongoze mpaka mia bora,isiwepo hata ya wagalatia hata moja
 
Wewe utakuwa umejengewa nyumba maana sio kwa hao ndugu zako wa imaan wanavyopenda kuongeza idadi
 
Mimi sijataka kwenda huko maana huwa napata shida kukashifu Imani ya mwingine na nafanya hivyo pale inapobidi.

Kuhusu watu kupiga magoti kuomba sanamu usiishie hapo tu, vipi na wale wanaokizunguka kile kijumba cheusi kule maka? Nao hawana akili?
Kuzunguka 'kijumba' na kupiga goti kuliomba sanamu ulilotengeneza mwenyewe unaona kitendo kipi kinaashiria ndani ya kichwa Kuna mushkeli/tatizo!?
 
Mimi sijataka kwenda huko maana huwa napata shida kukashifu Imani ya mwingine na nafanya hivyo pale inapobidi.

Kuhusu watu kupiga magoti kuomba sanamu usiishie hapo tu, vipi na wale wanaokizunguka kile kijumba cheusi kule maka? Nao hawana akili?
Wameamrishwa na Mungu kufanya hivyo.
 
Bora ungelinganisha teuzi wapwani na wabara. Wapwani bado elimu hawajachangamkia. Huku mikoa ya pwani mtwara, lindi, pwani na tanga, ndio wenyeji karibu wote au wengi waislaam. Huko bara japo bado waislaam elimu hawajaichangamkia vya kutosha tofauti imepungua sana. Kuna sehemu kama mkoa wa kilimanjaro huwezi kusema kwa sasa eti wakristo wamesoma zaidi. Kwa mfamo jamii ya wapare mwanga na same wote wamechangamkia elimu wala hii dhana haipo. Wilaya nyingine kilimanjaro yenye waislamu wengi ni hai. Hawa jamaa wako tu vizuri. Kwa ufupi huku bara hakuna hiyo kitu ya kusema eti waislamu hawajasoma.
Tatizo linakuja muislamu wa pwani akipata nafasi kubwa kwa kisingizio kupromote waislamu anaweka udini na kuweka jamaa zake watu mabogus kwenye vyeo. Tuliona nssf awamu ya jk jinsi walijazana waswahili na kuendeleza udini mkali hadi kutenga vyumba vya kusali kazini.
Mambo ya kushindana wakristo wangapi, waislaam wangapi historia inaonesha kila akitokea rais muislaam ndio linazuka. Lakini kwa hakika rais mkristo mkapa ndio alimaliza tatizo. Kipindi chake waislamu wasomi wengi waliwekwa sehemu za uongozi kwenye utumishi wa umma kuliko kipindi chochote. Lakini alipoingia jk tukaona malalamiko kichinichini ila yeye haku entertain hilo swali alijali uwezo na utendaji. Alipoingia samia tumeona mtu akiorodhesha idadi ya wakurugenzi wakristo na waislaam eti mama arekebishe wakristo ni wengi. Akili za hivi hazina tija na havitatupeleka popote ila kupanda mbegu mbaya tu.
Nchini kwetu hatujagawanyika kidini tu kuna mikoa na kuna makabila. Kwa nini mtu aone dini tu kama sio anatafuta pa kupenyea. Hivi wasukuma na wanyamwezi wakisema wanabaguliwa nafasi za uongozi tutasemaje. Maana wao kwa pamoja ni theluthi moja ya watanzania. Kuna kabila zingine kwenye uongozi pengine hawajawahi kua na mtu yoyote maarufu.
 

Nafuu wavaa kobazi kuliko nyie wa Jmosi.
Shida kubwa ya wa Jmosi ni unafiki tuuu
 
Sawa kabisa. Sio kwa sababu Amos "Sakalla" ni mchizi wake JK na mtoto wa mjini, wanakaa wote kwenye club wakinywa mivinyo na kutengeneza madili basi anazawadiwa tu u_RC Dsm.
Nani alikudanganya Kikwete anakunywa mvinyo?
 
Nadhani kwa uelewa wangu, suala la dini kwenye uteuzi lisitugawe, ila, nasema tena ila, tuwe waangalifu sana kwa ndugu zetu hawa , nasema ndugu zetu hawa’ sababu ya kurudia hivyo ni kama wanakitu fulani hivi mioyoni kwao kuhusu hiki wanachokifanya,

Nimesema hapo ndugu zetu hawa kwa kurudia sababu kubwa ni kwamba hata kwenye mafundisho Yao huwa wanasema kama wewe sio muislam basi sio ndugu yao,

Na mifano ni mingi, hata kwenye uongozi wa juu kama ni mwislam hata Ako see Huns haki ya kukosoa na ukikosoa utashambuliwa vibaya sana.

Yote kwa yote sioni ubaya wa kuchagua mtu wa dini yoyote mradi snags ya kazi yake vizuri na Ana vigezo vya kutosha,

NB. Kuna huu Maemo wa kusema sasa ni zangu yetu, huu ni Maemo wa kutoa hasira sana watu.
 
Suluhisho ni serikali za majimbo, watu watapunguza kujikita kutolea macho na udenda nafasi za kuteuliwa na Rais.
 
Takwimu gani rasmi zinasema kuwa huku Tanganyika Wakiristo ni wengi zaidi?
Hii iko obvious, umejitahidi kuandika topic yako in a sensible way hapa tena unakuja kuuliza swali la kijinga kabisa. Labda topic yako ilikuwa na hidden agenda ndani yake, fanya utafiti usio rasmi wa kujua idadi ya watu maeneo yote ya nchi na asilimia za watu wa dini zenu hizi mnazopigia kelele(Christians and Muslims) kiurahisi sana utapata majibu.
 
Serikali za majimbo zitapunguza au kumaliza kabisa huu ukakasi.
 
Zanzibar haiwezi kuwa sawa na Tanganyika.
 
Nimeuliza swali ili kupata data sahihi kutokana na mchango wa member aliouweka. Sisi wengi tunapenda sana data ili kuelewa demography ya nchi.
Mimi ninachojua Waislamu waliomba kipengele cha dini kiwekwe ktk sensa, serikali na viongozi wa dini ya kikristo wakakataa..Sasa leo mtu akisema wakiristo ni wengi kuliko waislamu au waislamu ni wengi kuliko wakiristo, tunajiuliza hizo data kazipata wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…