Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Dawa ni kukavunja haka ka muungano na kila mtu arudi kwao basi!

Wazanzibar mnakuja kuchuma huku mkituharibia Tanganyika yetu kwa kuinadi na kuiuza kwa warabu wenu.

Haya mengine waambie wapuuzi wenzenu!
Muungano ukivunjika kwa fikra zako za kisomi unadhani wadanganyika wa mikoa ya mwambao wa bahari kama Dar es salaam, Tanga, Pwani, Lindi na mtwara watakuwa upande wa Zanzibari au upande wa Bara?
Nje ya muungano hakuna Tanganyika kuna bara Republic na Pwani Republic pamoja na Jamhuri za kidemokrasia zifuatazo
1) Sukuma Republic.
2) Chaga Republic
3) Nyakyusa Republic
4) Haya Republic
Na jamhuri kadhaa nyengine za watu wa Mara, Kigoma, Songea nk.
 
Uko sahihi kabisa lakini kwa sasa wakristo hiyo kanda ni wengi.
Bila source ya data ya kuaminika, itabaki kuwa dhahania tu.

May be wewe unadhani huko kanda ya ziwa kuna majina mengi zaidi ya "kikiristo" kwa sababu umeyaona kwenye ajira na teuzi. Lakini hakuna aliyewahi kuhesabu majina ya kiislamu yako mangapi kanda ya ziwa nzima na majina ya Kikiristo yako mangapi kanda ya ziwa nzima ili tuweze kusema kuwa watu wa dini fulani ni wengi zaidi kanda hiyo. Pia usisahau siku hizi kuna watu wameretain majina ya asili bila uzungu au uarabu lakini ni waumini wa dini hizi mbili.

Kama watu genuinely wanashauku ya kujua idadi ya watu na dini zao, basi tushinikize serikali katika sensa ijayo iweke kipengele hicho.

Ninachokombuka, Waislamu walitaka kipengele cha dini kiwepo ktk sensa ya 2012, Serikali na vipngozi wa Kanisa wakakataa. Sasa leo ukisema watu wa dini fulani ni wengi zaidi hiyo ni dhana tu!
 
Bila source ya data ya kuaminika, itabaki kuwa dhahania tu.

May be wewe unadhani huko kanda ya ziwa kuna majina mengi zaidi ya "kikiristo" kwa sababu umeyaona kwenye ajira na teuzi. Lakini hakuna aliyewahi kuhesabu majina ya kiislamu yako mangapi kanda ya ziwa nzima na majina ya Kikiristo yako mangapi kanda ya ziwa nzima ili tuweze kusema kuwa watu wa dini fulani ni wengi zaidi kanda hiyo. Pia usisahau siku hizi kuna watu wameretain majina ya asili bila uzungu au uarabu lakini ni waumini wa dini hizi mbili.

Kama watu genuinely wanashauku ya kujua idadi ya watu na dini zao, basi tushinikize serikali katika sensa ijayo iweke kipengele hicho.

Ninachokombuka, Waislamu walitaka kipengele cha dini kiwepo ktk sensa ya 2012, Serikali na vipngozi wa Kanisa wakakataa. Sasa leo ukisema watu wa dini fulani ni wengi zaidi hiyo ni dhana tu!
Mkuu nimekaa sana hiyo kanda, idadi ya waislamu kwenye madarasa/shule za kata ni ndogo kuliko wakristo private na government, mtaani kama una majirani basi katika kumi anaweza akawa mmoja hiyo idadi ya misikti ni michache sana kulinganisha na makanisa hapo ni mjini vijijini hao waisamu ni nadra.
Sina data kamili lakini kwa sample population hiyo waislamu hawawez kuwa wengi huko.
 
Kuna Taasisi inaratibu hizo chuki .
Ndo maana unaona Dr Slaa sasa taratibu anatoka CCM kurudi Chadema kuongeza nguvu...
Dr Slaa alikuwa katibu zamani wa Taasisi husika...
Kuna wakati ulikuwa composed sana lakini umekuwa hopeless sana. Awamu ya Sita imekulisha nini?!
 
Si vibaya amesema sasa ukweli mtupu, better late than never

Tunataka mpaka 2030 wawe wamesilimu wooote

Nasubiria povu kutoka kwa wazungu😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Mkuu tuko trapped kwenye mtego mbaya sana wa udini bahati mbaya sana wanaonufaika moja kwa moja na udini sio sisi ni hao viongozi, tunaweza kuwa tunashangilia flani ni wa dini yetu lakini sisi hakuna tunachopata zaidi ya pride tu na kama utabenefit kwa ajira labda hakuna long term benefit kuna siku mtoto wako au ndugu yako atakosa ajira kwa sababu sio wa dini ya aliyepo madarakani.
 
Tangu Rais Samia aingie madarakani amefanya teuzi nyingi tu na katika teuzi hizo wapo watu wamekaa standby kuangalia majina ya Kizungu (isomeke Kikristo) na Kiarabu (isomeke Kiislamu) ili waone kuwa watu wanaoendana nao kiimani "wameula" zaidi au la!

Nataka nieleze sababu za hivyo:

1. Mosi, kuna sense of entitlement.
Kwa miaka mingi sana nchini tangu Uhuru mpaka leo hii, nafasi za Utumishi wa Umma na Serikali zimekaliwa zaidi na Wakiristo kuliko Waislamu. Teuzi nyingi kuanzia Nyerere hadi leo hii Rais Samia, teuzi nyingi zinakwenda kwa Wakiristo.

Hali hii imelalamikiwa sana na Waislamu kwa miaka mingi, kuwa, hili jambo lina ukakasi. Iweje teuzi ziende kwa watu wa mrengo mmoja tu kila wakati wakati nchi hii ni yetu sote, na watu wenye vigezo wapo pande zote? Majibu ambayo watu hawa wamekuwa wakipata ni kejeli, kuwa nyie hamjasoma, kuwa nyie mnaendekeza elimu ahera, lakini hoja yao hiyo siku hizi imekuwa proven wrong.

Hata ikafikia hatua hadi Sheikh Khalifa kutoa orodha ya Waislamu wasomi mamia kwa mamia ili kufuta propaganda kuwa waislamu wenye vigezo vya kutosha kuhudumu katika teuzi mbalimbali hawapo, lakini licha ya hivyo hoja hiyo imekuwa ikifumbiwa macho. Sasa leo, Samia licha ya bado kuendelea kuteua Wakiristo wengi zaidi kuliko waislamu lakini angalau kidooogo waislamu nao wanaonekanaonekana kwa mbali.

Hili limeshtua wale waliozoea kuona teuzi za mrengo mmoja, wanahaha, wamepandwa na ghadhabu, wanataka waendelee kuteuliwa watu wa imani yao kwa wingi uleule (over representation) kama zamani.

2. Sababu ya pili ni kuwa, Siyo kweli kuwa baadhi ya hawa wanaolalamikia udini katika teuzi hawajui kuwa Samia bado anateua Wakiristo wengi zaidi kuliko Waislamu.

Bali wanataka kumblackmail ili asije akazoea kuteuateua Waislamu. Wanampa meseji kuwa, ukijaribu kubadili status quo katika nchi hii na kuwapa nafasi watu wa imani nyingine katika Utumishi wa Serikali kwa wingi kama sisi basi tutakusagia kunguni kwa watu wa imani yetu ili upate wakati mgumu kisiasa.

Kwa hiyo hizi kelele kimsingi ni fitina ya kumchonganisha Rais na Wakiristo ili Rais aogope kuwapa Waislamu nafasi na kwa hiyo Status quo ya Wakiristo kuendelea kudominate Utumishi wa Umma na Serikali, uendelee kama ilivyokuwa tangu Serikali ya Awamu ya Kwanza hadi leo.

3. Sababu ya tatu ni chuki tu, na ufia dini.

Islamophobia is real, kuna watu wanaamini kuwa, kwa kuwabagua watu wa dini nyingine na kuwapendelea watu wa dini yao ni kumfanyia Mungu Ibada!

Wapo watu makazini wakiona kuna wafanyakazi wanavaa hijabu, muda wa swala umefika wanaenda kuswali, au Salamu ya "Assalam Aleikum" imekuwa nyingi katika korido za ofisi wanaanza kuchukia, wanajenga hila mioyoni mwao na kibaya zaidi kuna baadhi wanakwenda mbali hadi ku collude na like minded people ili kuwaletea fitina wenzao n.k.

Enzi hizo wakati nasoma katika chuo kikuu kimoja hapa nchini, wanafunzi Waislamu waliomba chumba kimoja kilicho idle ili wafanye ibada wakazunguushwa mno, wengine wakawa wanapewa vitisho vya siri kuwa wawe makini na ajenda yao hiyo kwamba wachague chuo au dini (yaani ni kitisho cha kupigwa fitina hadi wafukuzwe chuo).

Lakini at the same time, kila siku jioni na siku za Jumamosi na Jumapili madarasa ya chuo hichohicho Wakiristo wameruhusiwa kuyatumia kusali na kuabudu. Umeona aina hii ya chuki, choyo na roho mbaya?

Ushauri wangu:
1. Watanzania tuachane na habari za kutaka upendeleo katika ajira na teuzi. Hii nchi ni yetu sote. Si vizuri kunung'unika watu wa imani nyingine pia wakipata fursa za kuhudumu katika nchi.

2. Lakini kama tunaona upendeleo wa dhahiri katika teuzi, hapo kweli tuseme na tupige kelele. Kuna wakati nchi hii Rais mmoja aliunda Baraza la Mawaziri la watu zaidi ya 20 akaweka Waislamu watatu. Sasa katika situation kama hiyo kweli hapo jamii nzima haipaswi kukaa kimya.

Hivyo hivyo leo hii Samia akiunda Baraza la Mawaziri akaweka Wakiristo watatu tu hata mimi sitokaa kimya. Tusiwe na double standard, kwamba teuzi zikifavour watu wetu tunanyuti, ila wengine wakianza kuchomoza basi tunakuja hapa JF kuanzisha nyuzi lukuki za udini. Hiyo siyo fair.

3. Tuzidi kuimarisha, Umoja, Amani na Mshikamano. Nchi hii Wakiristo are here to stay, Waislamu are here to stay. Yesu hakuoni mfuasi wake bora kwa kuwa mbaguzi na wala Mtume Muhammad hakuoni mfuasi wake bora kwa kuvunja amana za watu wote. Tupendeane mazuri.

Nawasilisha.
Mambo ya udini yatatuchelewesha sana
 
Tuanze na uvccm ule uongozi si baraza la Ulamaa au Shura ya maimum
[emoji23][emoji23]
20230104_131131.jpg
 
Sio mimi ninayepaswa kulijua, mamlaka ndizo zinapaswa kulijua ili zilifungie hilo kanisa linalofundisha chuki dhidi ya Waislamu.
Unataka nisema kwani utalijua au ndo vile roho inakuuma kwa kuambiwa ukweli
 
VIONGOZI WA NECTA TANGIA KUANZISHWA KWAKE 21/11/73
1
1973 - 1977
P. MSEKWA
MKRISTO

2
1977 – 1980
I.M KADUMA
MKRISTO

3
1980 - 1988
N. A KUHANGA
MKRISTO

4
1988 - 1992
G. R. N.MMARI (prof)
MKRISTO

5
1992 - 1999
M.L LUHANGA
MKRISTO

6
1999 – 2004
G.R.V MMARI (prof)
MKRISTO

7
2004 - 2007
E. MWAIKONDO (PROF)
MKRISTO

8
2007 - 2018
R.S MKANDALA (PROF)
MKRISTO

9
2018 – to date
W.A.L. ANANGISYE (PROF)
MKRISTO

10
SECONDARY KUTOKA (DED)
EMANUEL BARIDI
MKRISTO

11
PRIMARY KUTOKA (DED)
ESTHER THOMAS
MKRISTO

12
UALIMU NA UTAALAM KUTOKA (DED)
JOSEPH KAMILI
MKRISTO
Hivi vielelezo unavyoweka hapa vinaongeza utata zaidi kwenye hii mada badala ya kupunguza utata kama ulivyokusudia.

Imekuwa ikisemwa kwamba Kwa miaka mingi mfumo wa elimu umekuwa ukiwapendelea wakristo na vielelezo vinavyotumika ni kama hicho hapo na pengine matokeo ya mitihani.

Ukiibebea bango hoja hii Kwa kutumia vielelezo hivyo na vinginevyo vya aina hiyo utakuwa unamaanisha kwamba mfumo wa elimu ya Tanzania kwa miaka mingi umezalisha wasomi wengi sana wakristo kuliko waisilamu.

Sasa kama unakubaliana kwamba wako wasomi wengi kuliko wewe na vielelezo unaweka kwa nini ushangae kwenye teuzi wako aslimia 70? Kwa nini usikubali kwamba ndio matokeo ya kubanwa kwa waisilamu kielimu?

Anyway unaweza kusema siku hizi na waisilamu wameenda shule hata mimi nakuunga mkono ila sasa unategemea waisilamu waliopigwa spana kwenye elimu miaka yoote hiyo washindane na hao ambao hawajawahi kukwazwa na mfumo?

Pamefanyika muujiza gani wa kutengeneza wasomi waisilamu wengi sawa na wakristo hali ya kuwa vielelezo ulivyoweka hapo vinaashiria bado utolewaji wa elimu Tanzania unawabeba zaidi wakristo?
 
VIONGOZI WA NECTA TANGIA KUANZISHWA KWAKE 21/11/73
1
1973 - 1977
P. MSEKWA
MKRISTO

2
1977 – 1980
I.M KADUMA
MKRISTO

3
1980 - 1988
N. A KUHANGA
MKRISTO

4
1988 - 1992
G. R. N.MMARI (prof)
MKRISTO

5
1992 - 1999
M.L LUHANGA
MKRISTO

6
1999 – 2004
G.R.V MMARI (prof)
MKRISTO

7
2004 - 2007
E. MWAIKONDO (PROF)
MKRISTO

8
2007 - 2018
R.S MKANDALA (PROF)
MKRISTO

9
2018 – to date
W.A.L. ANANGISYE (PROF)
MKRISTO

10
SECONDARY KUTOKA (DED)
EMANUEL BARIDI
MKRISTO

11
PRIMARY KUTOKA (DED)
ESTHER THOMAS
MKRISTO

12
UALIMU NA UTAALAM KUTOKA (DED)
JOSEPH KAMILI
MKRISTO
1977 -1980 Kaduma alikuwa muislamu alihamia ukristo 1994
 
Hivi vielelezo unavyoweka hapa vinaongeza utata zaidi kwenye hii mada badala ya kupunguza utata kama ulivyokusudia.

Imekuwa ikisemwa kwamba Kwa miaka mingi mfumo wa elimu umekuwa ukiwapendelea wakristo na vielelezo vinavyotumika ni kama hicho hapo na pengine matokeo ya mitihani.

Ukiibebea bango hoja hii Kwa kutumia vielelezo hivyo na vinginevyo vya aina hiyo utakuwa unamaanisha kwamba mfumo wa elimu ya Tanzania kwa miaka mingi umezalisha wasomi wengi sana wakristo kuliko waisilamu.

Sasa kama unakubaliana kwamba wako wasomi wengi kuliko wewe na vielelezo unaweka kwa nini ushangae kwenye teuzi wako aslimia 70? Kwa nini usikubali kwamba ndio matokeo ya kubanwa kwa waisilamu kielimu?

Anyway unaweza kusema siku hizi na waisilamu wameenda shule hata mimi nakuunga mkono ila sasa unategemea waisilamu waliopigwa spana kwenye elimu miaka yoote hiyo washindane na hao ambao hawajawahi kukwazwa na mfumo?

Pamefanyika muujiza gani wa kutengeneza wasomi waisilamu wengi sawa na wakristo hali ya kuwa vielelezo ulivyoweka hapo vinaashiria bado utolewaji wa elimu Tanzania unawabeba zaidi wakristo?
Phy...
Anaetakiwa kutoa majibu katika hili tatizo ni serikali si wewe kuwajibu Waislam.
Waislam wana majibu kwa serikali.

Mimi na wewe hapa tutahangaishana na wataingia watu katika mjadala huu na kila aina ya maneno.
 
Dr Slaa ni mfano mzuri kwenye hii mada.
Kwake Mkristo ndio mtu sahihi kuongoza nchi.
Wakati wa JAKAYA Slaa alikuwa mwiba na alishambulia serikali sana,Alipoingia Magufuli,pamoja na ukatili wote lkn Slaa aliungana nae,leo Kaingia Mwislaam Slaa analob kurudi Chadema ili akapate jukwaa la kunadi chuki zake.
Hana ladha tena......
 
Wanapopewa hapa kwann mnalalamika??
Tatizo vigezo sasa, unakumbuka awamu ile, majaji walipeana kama nswindi vile hawakuwa na vigezo, mpaka kazi zao akawa anafanya boss wao wakitengo, ngoja nitoke hapa!
 
Tangu Rais Samia aingie madarakani amefanya teuzi nyingi tu na katika teuzi hizo wapo watu wamekaa standby kuangalia majina ya Kizungu (isomeke Kikristo) na Kiarabu (isomeke Kiislamu) ili waone kuwa watu wanaoendana nao kiimani "wameula" zaidi au la!

Nataka nieleze sababu za hivyo:

1. Mosi, kuna sense of entitlement.
Kwa miaka mingi sana nchini tangu Uhuru mpaka leo hii, nafasi za Utumishi wa Umma na Serikali zimekaliwa zaidi na Wakiristo kuliko Waislamu. Teuzi nyingi kuanzia Nyerere hadi leo hii Rais Samia, teuzi nyingi zinakwenda kwa Wakiristo.

Hali hii imelalamikiwa sana na Waislamu kwa miaka mingi, kuwa, hili jambo lina ukakasi. Iweje teuzi ziende kwa watu wa mrengo mmoja tu kila wakati wakati nchi hii ni yetu sote, na watu wenye vigezo wapo pande zote? Majibu ambayo watu hawa wamekuwa wakipata ni kejeli, kuwa nyie hamjasoma, kuwa nyie mnaendekeza elimu ahera, lakini hoja yao hiyo siku hizi imekuwa proven wrong.

Hata ikafikia hatua hadi Sheikh Khalifa kutoa orodha ya Waislamu wasomi mamia kwa mamia ili kufuta propaganda kuwa waislamu wenye vigezo vya kutosha kuhudumu katika teuzi mbalimbali hawapo, lakini licha ya hivyo hoja hiyo imekuwa ikifumbiwa macho. Sasa leo, Samia licha ya bado kuendelea kuteua Wakiristo wengi zaidi kuliko waislamu lakini angalau kidooogo waislamu nao wanaonekanaonekana kwa mbali.

Hili limeshtua wale waliozoea kuona teuzi za mrengo mmoja, wanahaha, wamepandwa na ghadhabu, wanataka waendelee kuteuliwa watu wa imani yao kwa wingi uleule (over representation) kama zamani.

2. Sababu ya pili ni kuwa, Siyo kweli kuwa baadhi ya hawa wanaolalamikia udini katika teuzi hawajui kuwa Samia bado anateua Wakiristo wengi zaidi kuliko Waislamu.

Bali wanataka kumblackmail ili asije akazoea kuteuateua Waislamu. Wanampa meseji kuwa, ukijaribu kubadili status quo katika nchi hii na kuwapa nafasi watu wa imani nyingine katika Utumishi wa Serikali kwa wingi kama sisi basi tutakusagia kunguni kwa watu wa imani yetu ili upate wakati mgumu kisiasa.

Kwa hiyo hizi kelele kimsingi ni fitina ya kumchonganisha Rais na Wakiristo ili Rais aogope kuwapa Waislamu nafasi na kwa hiyo Status quo ya Wakiristo kuendelea kudominate Utumishi wa Umma na Serikali, uendelee kama ilivyokuwa tangu Serikali ya Awamu ya Kwanza hadi leo.

3. Sababu ya tatu ni chuki tu, na ufia dini.

Islamophobia is real, kuna watu wanaamini kuwa, kwa kuwabagua watu wa dini nyingine na kuwapendelea watu wa dini yao ni kumfanyia Mungu Ibada!

Wapo watu makazini wakiona kuna wafanyakazi wanavaa hijabu, muda wa swala umefika wanaenda kuswali, au Salamu ya "Assalam Aleikum" imekuwa nyingi katika korido za ofisi wanaanza kuchukia, wanajenga hila mioyoni mwao na kibaya zaidi kuna baadhi wanakwenda mbali hadi ku collude na like minded people ili kuwaletea fitina wenzao n.k.

Enzi hizo wakati nasoma katika chuo kikuu kimoja hapa nchini, wanafunzi Waislamu waliomba chumba kimoja kilicho idle ili wafanye ibada wakazunguushwa mno, wengine wakawa wanapewa vitisho vya siri kuwa wawe makini na ajenda yao hiyo kwamba wachague chuo au dini (yaani ni kitisho cha kupigwa fitina hadi wafukuzwe chuo).

Lakini at the same time, kila siku jioni na siku za Jumamosi na Jumapili madarasa ya chuo hichohicho Wakiristo wameruhusiwa kuyatumia kusali na kuabudu. Umeona aina hii ya chuki, choyo na roho mbaya?

Ushauri wangu:
1. Watanzania tuachane na habari za kutaka upendeleo katika ajira na teuzi. Hii nchi ni yetu sote. Si vizuri kunung'unika watu wa imani nyingine pia wakipata fursa za kuhudumu katika nchi.

2. Lakini kama tunaona upendeleo wa dhahiri katika teuzi, hapo kweli tuseme na tupige kelele. Kuna wakati nchi hii Rais mmoja aliunda Baraza la Mawaziri la watu zaidi ya 20 akaweka Waislamu watatu. Sasa katika situation kama hiyo kweli hapo jamii nzima haipaswi kukaa kimya.

Hivyo hivyo leo hii Samia akiunda Baraza la Mawaziri akaweka Wakiristo watatu tu hata mimi sitokaa kimya. Tusiwe na double standard, kwamba teuzi zikifavour watu wetu tunanyuti, ila wengine wakianza kuchomoza basi tunakuja hapa JF kuanzisha nyuzi lukuki za udini. Hiyo siyo fair.

3. Tuzidi kuimarisha, Umoja, Amani na Mshikamano. Nchi hii Wakiristo are here to stay, Waislamu are here to stay. Yesu hakuoni mfuasi wake bora kwa kuwa mbaguzi na wala Mtume Muhammad hakuoni mfuasi wake bora kwa kuvunja amana za watu wote. Tupendeane mazuri.

Nawasilisha.
Umekuwa biased, umependelea dini moja, Mfano; unaposema kwamba kuna watu wanachukia wakiona hijabu au salamu aleko, Unamaanisha hakuna wanaochukia wakiona misalaba na yesu asifiwe?

Unapenda udini ndugu..
 
Back
Top Bottom