Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Ipo siku watu wataelewa vizuri
 
Kanisa gani hilo lilikofundisha kuchukia Waislamu?
Huu ndo ukweli mi nimesoma nursery kanisani najua jinsi wanavyofundishwa kuchukua waislamu ... Alhamdulliah Leo mm ni muislamu hakuna kitu sikijui kutoka kwa hao watu Wana chuki sana
 
Nani aliwafundisha hiyo chuki?
 
Sahihi kabisa
 
Kusalimiana:
-Salaam alleikum
-Bwana asifiwe
-Tumsifu Yesu Kristo
Maofisini na maeneo yote ya kazi kwa ujumla wake hakuna tofauti na kuongea lugha za makabila ya kwenu maofisini mnapokutana watu wa kabila moja, kwa kifupi ni udini.
 
Tunahitaji serikali za majimbo.
 
Sahihi kabisa
Kusalimiana:
-Salaam alleikum
-Bwana asifiwe
-Tumsifu Yesu Kristo
Maofisini na maeneo yote ya kazi kwa ujumla wake hakuna tofauti na kuongea lugha za makabila ya kwenu maofisini mnapokutana watu wa kabila moja, kwa kifupi ni udini.
 
Mkuu angalia mikoa ambayo majority ni wakristo au angalau wanamajina ya kikristo(sababu wote mnaweka kundi la wakristo) ni mingi na ina idadi kubwa ya watu mfano kanda ya ziwa katika watu kumi utakao kutana nao muislamu ni mmoja na hapo ni mjini, vijijini ndio kabsa na ina theluthi ya watu wote tz. Ila kwa mikoa yenye waislamu wengi ina idadi ndogo ya watu mfano hiyo mikoa ya pwani ambayo majority ni waislamu.
 
Ilikuwaje wakasema mgombea urais akitoka bara basa makamu atoke Zanzibar. Hapa ndo palitumaliza kabisa. Ndo haya leo Rais kafa, then makamu ndo rais.Wangekuwa na akili wangesema makamu awe rais kwa miezi mitatu then uchaguzi mkuu ufanyike.
 
Tatizo hawa wavaa makubanzi hawaaminiki kabisa wakipata nafasi mbona mtaona chamoto sio rungu huko mitaani wanasema maadili. Mara hakuna kula mwezi mzima sijui wanauita mwezi nani yani ni balaaa.Mara watu wamwagiwe tindikali.
Asee hawa jamaa ni kuwasigia kunguni tu sio waugwana kabisa wakatili mno.
 
Mimi ninachojua ni kwamba sensa ya mkoloni ya mwaka 1957 iliyokuwa na kipengele cha dini Waislamu nchini Tanganyika walikuwa wengi zaidi wakifuatiwa na Wapagani.
Tena mikoa hiyo ya Kanda ya Ziwa ndo ilikuwa na wapagani wengi zaidi.
 
Mimi ninachojua ni kwamba sensa ya mkoloni ya mwaka 1957 iliyokuwa na kipengele cha dini Waislamu nchini Tanganyika walikuwa wengi zaidi wakifuatiwa na Wapagani.
Tena mikoa hiyo ya Kanda ya Ziwa ndo ilikuwa na wapagani wengi zaidi.
Uko sahihi kabisa lakini kwa sasa wakristo hiyo kanda ni wengi.
 
Kiongozi kumbuka hii nchi haina hizo dini mbili tu.
 
Haya mambo ni legacy ya Wakoloni yasitufanye tuchukiane, tujenge Taifa jipya ambala halitakuwa na UBAGUZI wa aina yoyote ile kupitia Katiba mpya.
 
Sasa Christians ni 62% Ukiona sehemu kuna 50 50 by default huo unaitwa udini
 
Sasa Christians ni 62% Ukiona sehemu kuna 50 50 by default huo unaitwa udini
62% hiyo umeitoa wapi?? Lini uliwahi kuulizwa dini yako? Nani alifanya sensa ya kujua Idadi ya Waislam Na Wakristo?
Wikipedia ni tovuti na hata wewe unaweza kuibadili tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…