Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Niongea ukweli kutoka moyoni,tukiwa wadogo tulifundishwa chuki,
kuwatukana Waisilamu na Mtume wao.kuna wakati tuliambiwa kuna watu wamekamatwa kanisani walitumwa na ASAS kwenda kulipua kanisa,na mtu uliongea kwa kujiamini kabisa.
.Wakati sisi tunaenda kucheza mpira siku ya jmamo na jmapili, wenzetu walikuwa wanaenda Madrasa,Sisi tulikuwa tunasoma mafundisho kipindi maalum tu, kama ni ubatizo au kipaimara, ukimaliza unajiona unaijua Dini na umaweza kujenga hoja na mwenzako
Baba yangu aliambiwa aslim atajengewa nyumba, sababu alikuwa mtu mwenye ushawishi pale tunapoishi, lakini alikataa kwa kuona alipo yuko sawa,Leo nimeslim bila kulazimishwa na mtu, naupenda Uislamu Dini ya haki, inafundisha usimtukane mtu wala kumzalau huwezi kujua kesho unaweza kumuitaji hata kama angekuwa mbaya wako, wala usimuhukumu mtu kwa rangi au Imani yake na mambo mengi,nikikumbuka nilikotoka wakati mwingine naishia kulia kwa uchungu
Hongera Kwa kuslimu
 
Hivi naomba niulize, Zanzibar sio part ya muungano? Mbona kule ni waislam tupu na hatulalamiki? Kuna ofisi ni waislam mwanzo mwisho kwani hakuna wakristo znz?

Waislam mna inferiority complex sana yani
Nyie ndio mna inferio complex, teuzi wakipata waislam mnaongeeeea, sasa tumefika mwisho, ni do or die, JINO KWA JINO.
 
Kwanini unadhani Waislamu wanachukiwa? siyo Tanzania tu,ata ukienda Kenya,Uganda,Rwanda na Burundi ni nadra Muislamu kupewa nafasi za uongozi wa juu kitaifa kama Urais,Makamu wa Rais,Waziri Mkuu lakini Tanzania pekee ndiyo unakuta hii kitu.
Shida ya hawa watu huwa wanashindwa kutenganisha mstari wa serikali na dini.
Nenda Zanzibar Mkristo gani kapewa madaraka ilihali wapo kibao au hawajasoma?au Mkristo aombe kibali cha kujenga Kanisa Zanzibar,atakavyozungushwa ni balaa!!
Kwa kifupi hawa watu ni wabaguzi!
Jaji Augustino Ramadhani unamjua? Familia ya kina Wema Sepetu unaijua?
 
Tangu Rais Samia aingie madarakani amefanya teuzi nyingi tu na katika teuzi hizo wapo watu wamekaa standby kuangalia majina ya Kizungu (isomeke Kikristo) na Kiarabu (isomeke Kiislamu) ili waone kuwa watu wanaoendana nao kiimani "wameula" zaidi au la!

Nataka nieleze sababu za hivyo:

1. Mosi, kuna sense of entitlement.
Kwa miaka mingi sana nchini tangu Uhuru mpaka leo hii, nafasi za Utumishi wa Umma na Serikali zimekaliwa zaidi na Wakiristo kuliko Waislamu. Teuzi nyingi kuanzia Nyerere hadi leo hii Rais Samia, teuzi nyingi zinakwenda kwa Wakiristo.

Hali hii imelalamikiwa sana na Waislamu kwa miaka mingi, kuwa, hili jambo lina ukakasi. Iweje teuzi ziende kwa watu wa mrengo mmoja tu kila wakati wakati nchi hii ni yetu sote, na watu wenye vigezo wapo pande zote? Majibu ambayo watu hawa wamekuwa wakipata ni kejeli, kuwa nyie hamjasoma, kuwa nyie mnaendekeza elimu dunia lakini hoja yao hiyo imekuwa proven wrong.

Hasa ikafikia hadi Sheikh Khalifa kutoa orodha ya Waislamu wasomi mamia kwa mamia, lakini licha ya hivyo wamekuwa wakifumbiwa macho. Sasa leo, Samia licha ya bado kuendelea kuteua Wakiristo wengi zaidi lakini angalau kidooogo waislamu nao wanaonekana kwa mbali.

Hili limeshtua wale waliozoea kuona teuzi za mrengo mmoja, wanahaha, wamepandwa na ghadhabu, wanataka waendelee kuteuliwa watu wa imani yao kwa wingi uleule (over representation) kama zamani.

2. Sababu ya pili ni kuwa, Siyo kweli kuwa baadhi ya hawa wanaolalamikia udini katika teuzi hawajui kuwa Samia bado anateua Wakiristo wengi zaidi kuliko Waislamu.

Bali wanataka kumblackmail ili asije akazoea kuteuateua Waislamu. Wanampa meseji kuwa, ukijaribu kubadili status quo katika nchi hii ya kuwapa nafasi watu wa imani nyingine katika Utumishi wa Serikali kwa wingi kama sisi basi tutakusagia kunguni kwa watu wa imani yetu ili upate wakati mgumu kisiasa.

Kwa hiyo hizi kelele kimsingi ni fitina ya kumchonganisha Rais na Wakiristo ili Rais aogope kuwapa Waislamu nafasi na kwa hiyo Status quo ya Wakiristo kuendelea kudominate Utumishi wa Umma na Serikali, uendelee kama ilivyokuwa tangu Serikali ya Awamu ya Kwanza hadi leo.

3. Sababu ya tatu ni chuki tu, na ufia dini.

Islamophobia is real, kuna watu wanaamini kuwa, kwa kuwabagua watu wa dini nyingine na kuwapendelea watu wa dini yao ni kumfanyia Mungu Ibada!

Wapo watu makazini wakiona kuna wafanyakazi wanavaa hijabu, muda wa swala umefika wanaenda kuswali, au Salamu ya "Assalam Aleikum" imekuwa nyingi katika korido za ofisi wanaanza kuchukia, wanajenga hila mioyoni mwao na kibaya zaidi kuna baadhi wanakwenda mbali hadi ku collude na like minded people ili kuwaletea fitina wenzao n.k.

Enzi hizo wakati nasoma katika chuo kikuu kimoja hapa nchini, wanafunzi Waislamu waliomba chumba kimoja kilicho idle ili wafanye ibada wakazunguushwa mno, wengine wakawa wanapewa vitisho vya siri kuwa wawe makini na ajenda yao hiyo kwamba wachague chuo au dini (yaani ni kitisho cha kupigwa fitina hadi wafukuzwe chuo).

Lakini at the same time, kila siku jioni na siku za Jumamosi na Jumapili madarasa ya chuo hichohicho Wakiristo wameruhusiwa kuyatumia kusali na kuabudu. Umeona aina hii ya chuki, choyo na roho mbaya?

Ushauri wangu:
1. Watanzania tuachane na habari za kutaka upendeleo katika ajira na teuzi. Hii nchi ni yetu sote. Si vizuri kunung'unika watu wa imani nyingine pia wakipata fursa za kuhudumu katika nchi.

2. Lakini kama tunaona upendeleo wa dhahiri katika teuzi, hapo kweli tuseme na tupige kelele. Kuna wakati nchi hii Rais mmoja aliunda Baraza la Mawaziri la watu zaidi ya 20 akaweka Waislamu watatu. Sasa katika situation kama hiyo kweli hapo jamii nzima haipaswi kukaa kimya.

Hivyo hivyo leo hii Samia akiunda Baraza la Mawaziri akaweka Wakiristo watatu tu hata mimi sitokaa kimya. Tusiwe na double standard, kwamba teuzi zikifavour watu wetu tunanyuti, ila wengine wakianza kuchomoza basi tunakuja hapa JF kuanzisha nyuzi lukuki za udini. Hiyo siyo fair.

3. Tuzidi kuimarisha, Umoja, Amani na Mshikamano. Nchi hii Wakiristo are here to stay, Waislamu are here to stay. Yesu hakuoni mfuasi wake bora kwa kuwa mbaguzi na wala Mtume Muhammad hakuoni mfuasi wake bora kwa kuvunja amana za watu wote. Tupendeane mazuri.

Nawasilisha.
Siungi mkono watu kuteuliwa au kubaguliwa kwa kigezo Cha dini.
Ila ishu ya wanafunzi kuomba darasa Ili kufanyia ibada,tofauti ya wakristo na Islam,ni kwamba,kwa wakristo darasa lolote wanaweza kufanyia ibada na likatumika kwa mambo Mengine,islam wanataka darasa liwe designated kama msikiti mdogo,hakuna mtu mwingine asie islam kuingia,hii si sawa kwenye taasisi za umma.
Nilikutana na waislam kutoka Zenj, DIT wakataka darasa moja litengwe kama sehemu ya Swala,na hakuna mtu mwingine kuingia na viatu,uongozi ukakataa,wazenj wakaona Bora wafanyie Swala chini ya mti kuliko madarasani,Kuna najisi.
Alikuwepo meneja mmoja wa Kanda wa kampuni moja ya simu,ofisini kwake alipiga marufuku watu kuingia na viatu,akataka kuleta zile tamaduni za kiislam,Arab kazini,anafunga ofc,anapiga Swala wakati Kuna watu wamekuja kuleta biashara za mamilioni,
Kampuni,ikaona ujinga huu,ikampiga chini.
Uislam,Ukristo,ukabila hautaleta maendeleo ya nchi,kama Mimi ni mkristo,na mzaramo,hata wakiteuliwa waislam na wazaram watupu,Mimi inanipa faida gani?maana wanafaidi wao na familia zao,
Mimi naendelea kupigika tu
 
Mbona hukuongea alipoteua wakuu wa wilaya 95% wakiwa ni Wakristo?
Nawe ni mdini tu,

Ulijuaje kama ni waktisto kama hukuwafuatilia ktk vigezo kidini Badala ya uwezo wao?

HOJA ya dini Kwa wateuliwa wa Rais ni mufilisi.
 
Absolutely, hili ni kosa ambalo ata JPM tulimkosoa sana. JK japo ni Muislamu lakini alijitahidi kuzingatia Jiografia katika teuzi zake. Ila Mama Maridhiano anaharibu na watu wanamtetea, why?

Hao watu wa Pwani ndiyo watakaoivusha CCM kwenye uchaguzi?
Teuzi za udini waziwazi
 
Nchi hii shida siyo dini Kuna kundi la makabila hayatakiai kwenye leadership,wakiwemo wahaya ,wachache,muha na msukuma anaenda kuwa mhanga wa tatu
 
Punguza chuki ! Kaangalie wakina Nan enzi za Nyerere mpaka wanapeleka umeme na barabara huko migombani na waliofanya upendeleo sana wala hatuna time nao.

Yetu mnayajua ya kwenu hatuyajui ...punguza shobo na watu wa Pwani.
Tulia wewe, walipa kodi wakubwa nchi hii wanatoka bara, niambie nani Zanzibar mlipa kodi mkubwa? lazima tulalamike
 
Mchungaji Kimaro alishamaliza, nyie wala poko ni walafi kama poko mwenyewe, yaani nyinyi wapigaji wa kubwa sana. Hamuaminiki hata shughuli za shambani tu!

Mchungaji Kimaro amewachana na visuti vyenu.
Mpuuzi wewe, nitajie mzawa toka Pwani ambaye ni tajiri ukiacha warabu na wahindi
 
Ndugu zangu wakiristo punguzeni chuki wengine tulisoma kwa juhudi na kumaliza elimu ya vyuo na kila tulipokuwa tukiomba ajira mkiona tu majina ya waislamu mlikuwa mkiya fekelea mbali. tumekubali na tunaendelea na maisha yetu mengine
hoja zako ni aina nyingine ya propoganda na hazina ukweli.ifahamike tu bara wakristo ni wengi kama ilivyo zanzibar waislamu ni wengi.swala la udini hapa halipo kwa wakristo bali liko kwa waislamu.tumeshuhudia kwenye taasisi fulani ambazo viongozi wao wana imani ya kiislamu huwabagua watu wa imani ya kikristo na mifano ipo wazi.wakristo hawana ubaguzi na wala hawana shida na uislamu bali waislamu ndo wenye ubaguzi na wanawabagua wakristo kwa kuwaita makafiri.waislamu hutumia imani zao za kiislamu ili kuharibu ukristo na hili nalo halipingwi.mbona husemi kwa nn zanzibar hakuna kiongozi wa juu ambaye ni mkristo unataka kutuambia hakuna mkristo aliyesoma huko zanzibar?wabaguzi ni waislamu na si wakristo.
Nini maana ya kafiri
 
Tangu Rais Samia aingie madarakani amefanya teuzi nyingi tu na katika teuzi hizo wapo watu wamekaa standby kuangalia majina ya Kizungu (isomeke Kikristo) na Kiarabu (isomeke Kiislamu) ili waone kuwa watu wanaoendana nao kiimani "wameula" zaidi au la!

Nataka nieleze sababu za hivyo:

1. Mosi, kuna sense of entitlement.
Kwa miaka mingi sana nchini tangu Uhuru mpaka leo hii, nafasi za Utumishi wa Umma na Serikali zimekaliwa zaidi na Wakiristo kuliko Waislamu. Teuzi nyingi kuanzia Nyerere hadi leo hii Rais Samia, teuzi nyingi zinakwenda kwa Wakiristo.

Hali hii imelalamikiwa sana na Waislamu kwa miaka mingi, kuwa, hili jambo lina ukakasi. Iweje teuzi ziende kwa watu wa mrengo mmoja tu kila wakati wakati nchi hii ni yetu sote, na watu wenye vigezo wapo pande zote? Majibu ambayo watu hawa wamekuwa wakipata ni kejeli, kuwa nyie hamjasoma, kuwa nyie mnaendekeza elimu dunia lakini hoja yao hiyo imekuwa proven wrong.

Hasa ikafikia hadi Sheikh Khalifa kutoa orodha ya Waislamu wasomi mamia kwa mamia, lakini licha ya hivyo wamekuwa wakifumbiwa macho. Sasa leo, Samia licha ya bado kuendelea kuteua Wakiristo wengi zaidi lakini angalau kidooogo waislamu nao wanaonekana kwa mbali.

Hili limeshtua wale waliozoea kuona teuzi za mrengo mmoja, wanahaha, wamepandwa na ghadhabu, wanataka waendelee kuteuliwa watu wa imani yao kwa wingi uleule (over representation) kama zamani.

2. Sababu ya pili ni kuwa, Siyo kweli kuwa baadhi ya hawa wanaolalamikia udini katika teuzi hawajui kuwa Samia bado anateua Wakiristo wengi zaidi kuliko Waislamu.

Bali wanataka kumblackmail ili asije akazoea kuteuateua Waislamu. Wanampa meseji kuwa, ukijaribu kubadili status quo katika nchi hii ya kuwapa nafasi watu wa imani nyingine katika Utumishi wa Serikali kwa wingi kama sisi basi tutakusagia kunguni kwa watu wa imani yetu ili upate wakati mgumu kisiasa.

Kwa hiyo hizi kelele kimsingi ni fitina ya kumchonganisha Rais na Wakiristo ili Rais aogope kuwapa Waislamu nafasi na kwa hiyo Status quo ya Wakiristo kuendelea kudominate Utumishi wa Umma na Serikali, uendelee kama ilivyokuwa tangu Serikali ya Awamu ya Kwanza hadi leo.

3. Sababu ya tatu ni chuki tu, na ufia dini.

Islamophobia is real, kuna watu wanaamini kuwa, kwa kuwabagua watu wa dini nyingine na kuwapendelea watu wa dini yao ni kumfanyia Mungu Ibada!

Wapo watu makazini wakiona kuna wafanyakazi wanavaa hijabu, muda wa swala umefika wanaenda kuswali, au Salamu ya "Assalam Aleikum" imekuwa nyingi katika korido za ofisi wanaanza kuchukia, wanajenga hila mioyoni mwao na kibaya zaidi kuna baadhi wanakwenda mbali hadi ku collude na like minded people ili kuwaletea fitina wenzao n.k.

Enzi hizo wakati nasoma katika chuo kikuu kimoja hapa nchini, wanafunzi Waislamu waliomba chumba kimoja kilicho idle ili wafanye ibada wakazunguushwa mno, wengine wakawa wanapewa vitisho vya siri kuwa wawe makini na ajenda yao hiyo kwamba wachague chuo au dini (yaani ni kitisho cha kupigwa fitina hadi wafukuzwe chuo).

Lakini at the same time, kila siku jioni na siku za Jumamosi na Jumapili madarasa ya chuo hichohicho Wakiristo wameruhusiwa kuyatumia kusali na kuabudu. Umeona aina hii ya chuki, choyo na roho mbaya?

Ushauri wangu:
1. Watanzania tuachane na habari za kutaka upendeleo katika ajira na teuzi. Hii nchi ni yetu sote. Si vizuri kunung'unika watu wa imani nyingine pia wakipata fursa za kuhudumu katika nchi.

2. Lakini kama tunaona upendeleo wa dhahiri katika teuzi, hapo kweli tuseme na tupige kelele. Kuna wakati nchi hii Rais mmoja aliunda Baraza la Mawaziri la watu zaidi ya 20 akaweka Waislamu watatu. Sasa katika situation kama hiyo kweli hapo jamii nzima haipaswi kukaa kimya.

Hivyo hivyo leo hii Samia akiunda Baraza la Mawaziri akaweka Wakiristo watatu tu hata mimi sitokaa kimya. Tusiwe na double standard, kwamba teuzi zikifavour watu wetu tunanyuti, ila wengine wakianza kuchomoza basi tunakuja hapa JF kuanzisha nyuzi lukuki za udini. Hiyo siyo fair.

3. Tuzidi kuimarisha, Umoja, Amani na Mshikamano. Nchi hii Wakiristo are here to stay, Waislamu are here to stay. Yesu hakuoni mfuasi wake bora kwa kuwa mbaguzi na wala Mtume Muhammad hakuoni mfuasi wake bora kwa kuvunja amana za watu wote. Tupendeane mazuri.

Nawasilisha.

Tangu Rais Samia aingie madarakani amefanya teuzi nyingi tu na katika teuzi hizo wapo watu wamekaa standby kuangalia majina ya Kizungu (isomeke Kikristo) na Kiarabu (isomeke Kiislamu) ili waone kuwa watu wanaoendana nao kiimani "wameula" zaidi au la!

Nataka nieleze sababu za hivyo:

1. Mosi, kuna sense of entitlement.
Kwa miaka mingi sana nchini tangu Uhuru mpaka leo hii, nafasi za Utumishi wa Umma na Serikali zimekaliwa zaidi na Wakiristo kuliko Waislamu. Teuzi nyingi kuanzia Nyerere hadi leo hii Rais Samia, teuzi nyingi zinakwenda kwa Wakiristo.

Hali hii imelalamikiwa sana na Waislamu kwa miaka mingi, kuwa, hili jambo lina ukakasi. Iweje teuzi ziende kwa watu wa mrengo mmoja tu kila wakati wakati nchi hii ni yetu sote, na watu wenye vigezo wapo pande zote? Majibu ambayo watu hawa wamekuwa wakipata ni kejeli, kuwa nyie hamjasoma, kuwa nyie mnaendekeza elimu dunia lakini hoja yao hiyo imekuwa proven wrong.

Hasa ikafikia hadi Sheikh Khalifa kutoa orodha ya Waislamu wasomi mamia kwa mamia, lakini licha ya hivyo wamekuwa wakifumbiwa macho. Sasa leo, Samia licha ya bado kuendelea kuteua Wakiristo wengi zaidi lakini angalau kidooogo waislamu nao wanaonekana kwa mbali.

Hili limeshtua wale waliozoea kuona teuzi za mrengo mmoja, wanahaha, wamepandwa na ghadhabu, wanataka waendelee kuteuliwa watu wa imani yao kwa wingi uleule (over representation) kama zamani.

2. Sababu ya pili ni kuwa, Siyo kweli kuwa baadhi ya hawa wanaolalamikia udini katika teuzi hawajui kuwa Samia bado anateua Wakiristo wengi zaidi kuliko Waislamu.

Bali wanataka kumblackmail ili asije akazoea kuteuateua Waislamu. Wanampa meseji kuwa, ukijaribu kubadili status quo katika nchi hii ya kuwapa nafasi watu wa imani nyingine katika Utumishi wa Serikali kwa wingi kama sisi basi tutakusagia kunguni kwa watu wa imani yetu ili upate wakati mgumu kisiasa.

Kwa hiyo hizi kelele kimsingi ni fitina ya kumchonganisha Rais na Wakiristo ili Rais aogope kuwapa Waislamu nafasi na kwa hiyo Status quo ya Wakiristo kuendelea kudominate Utumishi wa Umma na Serikali, uendelee kama ilivyokuwa tangu Serikali ya Awamu ya Kwanza hadi leo.

3. Sababu ya tatu ni chuki tu, na ufia dini.

Islamophobia is real, kuna watu wanaamini kuwa, kwa kuwabagua watu wa dini nyingine na kuwapendelea watu wa dini yao ni kumfanyia Mungu Ibada!

Wapo watu makazini wakiona kuna wafanyakazi wanavaa hijabu, muda wa swala umefika wanaenda kuswali, au Salamu ya "Assalam Aleikum" imekuwa nyingi katika korido za ofisi wanaanza kuchukia, wanajenga hila mioyoni mwao na kibaya zaidi kuna baadhi wanakwenda mbali hadi ku collude na like minded people ili kuwaletea fitina wenzao n.k.

Enzi hizo wakati nasoma katika chuo kikuu kimoja hapa nchini, wanafunzi Waislamu waliomba chumba kimoja kilicho idle ili wafanye ibada wakazunguushwa mno, wengine wakawa wanapewa vitisho vya siri kuwa wawe makini na ajenda yao hiyo kwamba wachague chuo au dini (yaani ni kitisho cha kupigwa fitina hadi wafukuzwe chuo).

Lakini at the same time, kila siku jioni na siku za Jumamosi na Jumapili madarasa ya chuo hichohicho Wakiristo wameruhusiwa kuyatumia kusali na kuabudu. Umeona aina hii ya chuki, choyo na roho mbaya?

Ushauri wangu:
1. Watanzania tuachane na habari za kutaka upendeleo katika ajira na teuzi. Hii nchi ni yetu sote. Si vizuri kunung'unika watu wa imani nyingine pia wakipata fursa za kuhudumu katika nchi.

2. Lakini kama tunaona upendeleo wa dhahiri katika teuzi, hapo kweli tuseme na tupige kelele. Kuna wakati nchi hii Rais mmoja aliunda Baraza la Mawaziri la watu zaidi ya 20 akaweka Waislamu watatu. Sasa katika situation kama hiyo kweli hapo jamii nzima haipaswi kukaa kimya.

Hivyo hivyo leo hii Samia akiunda Baraza la Mawaziri akaweka Wakiristo watatu tu hata mimi sitokaa kimya. Tusiwe na double standard, kwamba teuzi zikifavour watu wetu tunanyuti, ila wengine wakianza kuchomoza basi tunakuja hapa JF kuanzisha nyuzi lukuki za udini. Hiyo siyo fair.

3. Tuzidi kuimarisha, Umoja, Amani na Mshikamano. Nchi hii Wakiristo are here to stay, Waislamu are here to stay. Yesu hakuoni mfuasi wake bora kwa kuwa mbaguzi na wala Mtume Muhammad hakuoni mfuasi wake bora kwa kuvunja amana za watu wote. Tupendeane mazuri.

Nawasilisha.
Unaweza kutupa sababu yenye mantiki ya wabunge wote wa mkoa wa pwani kuwa mawaziri?
 
Mwaka wenu waislamu lakini 2025 lazima tuwang'oe hii siyo Islamic state brother
Ila hii ni roman empire!?..nyakati zimebadilika,siyo 1970s,80s hii,na tunakoelekea waislam watateuliwa wengi zaidi ya dini zingine,na hakuna kitu mtafanya,mkitaka vurugu tutasafisha uwanja wa vurugu tuwaoneshe vurugu zilivyo
 
Hebu tuambie kwa mujibu wa takwimu rasmi, Tanzania (Tanganyika) ina Waislam wangapi na wakristo wangapi?
Muulizeni anaeteua. So hata kama kuna wakristo wenye uwezo awaache akawachukue kina abdala ili mjiskie vizuri
 
Back
Top Bottom