Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Huna hoja nenda kasapot ushoga kweny ukoo wakoHongera kwa ujazito mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hoja nenda kasapot ushoga kweny ukoo wakoHongera kwa ujazito mkuu
Walitumika kufelisha waislam sana hasa.VIONGOZI WA NECTA TANGIA KUANZISHWA KWAKE 21/11/73
1
1973 - 1977
P. MSEKWA
MKRISTO
2
1977 – 1980
I.M KADUMA
MKRISTO
3
1980 - 1988
N. A KUHANGA
MKRISTO
4
1988 - 1992
G. R. N.MMARI (prof)
MKRISTO
5
1992 - 1999
M.L LUHANGA
MKRISTO
6
1999 – 2004
G.R.V MMARI (prof)
MKRISTO
7
2004 - 2007
E. MWAIKONDO (PROF)
MKRISTO
8
2007 - 2018
R.S MKANDALA (PROF)
MKRISTO
9
2018 – to date
W.A.L. ANANGISYE (PROF)
MKRISTO
10
SECONDARY KUTOKA (DED)
EMANUEL BARIDI
MKRISTO
11
PRIMARY KUTOKA (DED)
ESTHER THOMAS
MKRISTO
12
UALIMU NA UTAALAM KUTOKA (DED)
JOSEPH KAMILI
MKRISTO
Yote heri hata akiteua Tanga tupu mradi hao watu wanapiga kazi hakuna neno.Rubbish, unateuaji Tanga mawaziri 4 na Pwani 5 na huku Arusha, Manyara, Dar n.k hakuna hata Waizri 1? kimsingi Mama ni mdini sana hafai
Ukimuita Sa100 mdini hata babu Nyerere pengine na JPM ukubali walikua wadini pia, sawasawa?Mwaka wenu waislamu lakini 2025 lazima tuwang'oe hii siyo Islamic state brother
Jino kwa jino sawa lakini unateuliwa wewe hiyo teuzi?Nyie ndio mna inferio complex, teuzi wakipata waislam mnaongeeeea, sasa tumefika mwisho, ni do or die, JINO KWA JINO.
Ndio maana mnaambiwa akili hamna, kumpa mtu mkate mmoja kila ijumaa ndio kumjali? Kwa nn usimpe njia za yeye kupata huo mkate kila siku?Ijumaa tembelea misikitini,jumapili nenda kanisani...uone wapi watu huenda kupata misaada
Duh uongozi kazi sanaRubbish, unateuaji Tanga mawaziri 4 na Pwani 5 na huku Arusha, Manyara, Dar n.k hakuna hata Waizri 1? kimsingi Mama ni mdini sana hafai
Huko kanisani wanapewa hata hiyo mikate ya siku moja!?..ulishawahi kulala na kushinda njaa kwa siku moja ili walau ujue thamani ya mlo wa siku moja!?..una akili za kuvalia chupi tuNdio maana mnaambiwa akili hamna, kumpa mtu mkate mmoja kila ijumaa ndio kumjali? Kwa nn usimpe njia za yeye kupata huo mkate kila siku?
Kazi usipotumia maarifaDuh uongozi kazi sana
Mumeo ni agent wa ushogaHuna hoja nenda kasapot ushoga kweny ukoo wako
Akili mtu wangu, hapa unazidi kudhihirisha akili hakuna. Yaani mtu akae na njaa hadi ijumaa ili apewe kipande cha mkate? Sisi makanisani kuna shule, vyuo na huduma zingine ambazo ukipata utaweza kuondokana na umaskiniHuko kanisani wanapewa hata hiyo mikate ya siku moja!?..ulishawahi kulala na kushinda njaa kwa siku moja ili walau ujue thamani ya mlo wa siku moja!?..una akili za kuvalia chupi tu
Wapumbafu hawa walianzishe tuone maana tumewavumilia Sana wanatuona wajinngaHamna nguvu ya kuwang'oa waislam ambao ni MAJORITY nchi hii, na ukitaka tupige kura kwa mrengo wa imani semeni tuanzishe
Huo ndio utumbo zaidi hivi gharama za hayo mashule ya makanisa masikini anaweza kuyamuduAkili mtu wangu, hapa unazidi kudhihirisha akili hakuna. Yaani mtu akae na njaa hadi ijumaa ili apewe kipande cha mkate? Sisi makanisani kuna shule, vyuo na huduma zingine ambazo ukipata utaweza kuondokana na umaskini
Na wewe badala ya kuchambua hoja zake umekuja na jazba za kidini kupinga alichokiandika. Unapinga udini ilhali maelezo yako yanadhihirisha udini wa hali ya juu.Listen, hata hiki ulichoandika hapa kwangu ni muendelezo wa fikra duni, ujinga; sioni kama taifa tunaweza vipi kupiga hatua kimaendeleo ikiwa bado tutakuwa tunatazamana kwa jicho la dini, kabila, au rangi.
Wewe umekuja hapa kuwatetea wale wa dini yako, simply umekuja kuongeza tatizo, hukumbuki wapo wasio na dini, wakina Kiranga na wenzake wao wamenyamaza kimya, hawana msemaji wao, na wala hawana hivi viherehere mlivyonavyo wengine.
We need to stop this kind of ignorance, kwasababu kutaka watu wa dini yako wawepo kwenye mamlaka hakutakusaidia chochote kama hutakuwa na mahusiano nao ya moja kwa moja, zaidi, kinachowafanya wengi wazungumzie hii issue ni kama ulevi tu, usio na tija kwao wala kwa taifa.
Huu upuuzi una extend mpaka pale anapokuwepo kiongozi fulani, halafu wale wa dini yake wanakuwa hawaoni baya lolote toka kwake, huu nao ni ujinga mwingine mkubwa zaidi, kusifia/tetea kila linalofanywa na yule wa dini yako upuuzi.
Hizo huduma kanisani za shule,vyuo nk zinatolewa Bure!?..hao masikini wenyewe wanaona misaada ya misikitini inawasaidia ndiyo maana wanaenda...uwe unafikiri,siyo kichwa unavalia kapelo tuAkili mtu wangu, hapa unazidi kudhihirisha akili hakuna. Yaani mtu akae na njaa hadi ijumaa ili apewe kipande cha mkate? Sisi makanisani kuna shule, vyuo na huduma zingine ambazo ukipata utaweza kuondokana na umaskini
Mpuuzi huyoHuo ndio utumbo zaidi hivi gharama za hayo mashule ya makanisa masikini anaweza kuyamudu
Hivi nyie mnatumia ubongo kweli kufikiri
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni mdini kuliko Magufuli?Pole shehe. Samia ni mdini na itamgharimu yeye na chama. Chama kiangalie namna vinginevyo uchaguzi ujao ni shida