Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

VIONGOZI WA NECTA TANGIA KUANZISHWA KWAKE 21/11/73
1
1973 - 1977
P. MSEKWA
MKRISTO

2
1977 – 1980
I.M KADUMA
MKRISTO

3
1980 - 1988
N. A KUHANGA
MKRISTO

4
1988 - 1992
G. R. N.MMARI (prof)
MKRISTO

5
1992 - 1999
M.L LUHANGA
MKRISTO

6
1999 – 2004
G.R.V MMARI (prof)
MKRISTO

7
2004 - 2007
E. MWAIKONDO (PROF)
MKRISTO

8
2007 - 2018
R.S MKANDALA (PROF)
MKRISTO

9
2018 – to date
W.A.L. ANANGISYE (PROF)
MKRISTO

10
SECONDARY KUTOKA (DED)
EMANUEL BARIDI
MKRISTO

11
PRIMARY KUTOKA (DED)
ESTHER THOMAS
MKRISTO

12
UALIMU NA UTAALAM KUTOKA (DED)
JOSEPH KAMILI
MKRISTO
Walitumika kufelisha waislam sana hasa.
Na hasa huyu wanaemuita Baba WA taifa.
Ushawahi jiuliza why wamemuita miongoni mwa watakatifu
??
 
Rubbish, unateuaji Tanga mawaziri 4 na Pwani 5 na huku Arusha, Manyara, Dar n.k hakuna hata Waizri 1? kimsingi Mama ni mdini sana hafai
Yote heri hata akiteua Tanga tupu mradi hao watu wanapiga kazi hakuna neno.
Mimi bado nalia na Nape, Januari na kilaza Mwigulu hawa alipaswa kuwa sweep kitambo tu.
 
Ijumaa tembelea misikitini,jumapili nenda kanisani...uone wapi watu huenda kupata misaada
Ndio maana mnaambiwa akili hamna, kumpa mtu mkate mmoja kila ijumaa ndio kumjali? Kwa nn usimpe njia za yeye kupata huo mkate kila siku?
 
Ndio maana mnaambiwa akili hamna, kumpa mtu mkate mmoja kila ijumaa ndio kumjali? Kwa nn usimpe njia za yeye kupata huo mkate kila siku?
Huko kanisani wanapewa hata hiyo mikate ya siku moja!?..ulishawahi kulala na kushinda njaa kwa siku moja ili walau ujue thamani ya mlo wa siku moja!?..una akili za kuvalia chupi tu
 
Haya mambo inapaswa yajadiliwe ili kama yanafanyika yasiendelee tena.
 
Huko kanisani wanapewa hata hiyo mikate ya siku moja!?..ulishawahi kulala na kushinda njaa kwa siku moja ili walau ujue thamani ya mlo wa siku moja!?..una akili za kuvalia chupi tu
Akili mtu wangu, hapa unazidi kudhihirisha akili hakuna. Yaani mtu akae na njaa hadi ijumaa ili apewe kipande cha mkate? Sisi makanisani kuna shule, vyuo na huduma zingine ambazo ukipata utaweza kuondokana na umaskini
 
Akili mtu wangu, hapa unazidi kudhihirisha akili hakuna. Yaani mtu akae na njaa hadi ijumaa ili apewe kipande cha mkate? Sisi makanisani kuna shule, vyuo na huduma zingine ambazo ukipata utaweza kuondokana na umaskini
Huo ndio utumbo zaidi hivi gharama za hayo mashule ya makanisa masikini anaweza kuyamudu

Hivi nyie mnatumia ubongo kweli kufikiri

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Listen, hata hiki ulichoandika hapa kwangu ni muendelezo wa fikra duni, ujinga; sioni kama taifa tunaweza vipi kupiga hatua kimaendeleo ikiwa bado tutakuwa tunatazamana kwa jicho la dini, kabila, au rangi.

Wewe umekuja hapa kuwatetea wale wa dini yako, simply umekuja kuongeza tatizo, hukumbuki wapo wasio na dini, wakina Kiranga na wenzake wao wamenyamaza kimya, hawana msemaji wao, na wala hawana hivi viherehere mlivyonavyo wengine.

We need to stop this kind of ignorance, kwasababu kutaka watu wa dini yako wawepo kwenye mamlaka hakutakusaidia chochote kama hutakuwa na mahusiano nao ya moja kwa moja, zaidi, kinachowafanya wengi wazungumzie hii issue ni kama ulevi tu, usio na tija kwao wala kwa taifa.

Huu upuuzi una extend mpaka pale anapokuwepo kiongozi fulani, halafu wale wa dini yake wanakuwa hawaoni baya lolote toka kwake, huu nao ni ujinga mwingine mkubwa zaidi, kusifia/tetea kila linalofanywa na yule wa dini yako upuuzi.
Na wewe badala ya kuchambua hoja zake umekuja na jazba za kidini kupinga alichokiandika. Unapinga udini ilhali maelezo yako yanadhihirisha udini wa hali ya juu.
 
Akili mtu wangu, hapa unazidi kudhihirisha akili hakuna. Yaani mtu akae na njaa hadi ijumaa ili apewe kipande cha mkate? Sisi makanisani kuna shule, vyuo na huduma zingine ambazo ukipata utaweza kuondokana na umaskini
Hizo huduma kanisani za shule,vyuo nk zinatolewa Bure!?..hao masikini wenyewe wanaona misaada ya misikitini inawasaidia ndiyo maana wanaenda...uwe unafikiri,siyo kichwa unavalia kapelo tu
 
Back
Top Bottom