Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

Deno...
Tutazame hayo niliyoweka yatusaidie kufikiri.
Kama unataka tufikiri kuhusu hayo majina, basi waambie na wenzio msilaumu uwepo wake kwasababu hayo majina hayakujipeleka ofisini yenyewe, bali laumuni wale walioyaweka, wakiwemo ndugu zenu Mwinyi na Kikwete.

Hapo ndio mjue hii ngoma mnayoicheza, hamujiui kichwa chake wala miguu yake.
 
Hizo huduma kanisani za shule,vyuo nk zinatolewa Bure!?..hao masikini wenyewe wanaona misaada ya misikitini inawasaidia ndiyo maana wanaenda...uwe unafikiri,siyo kichwa unavalia kapelo tu
Ulitaka zitolewe bure?msikitini msaada gani maskini anaopata zaidi ya kipande cha mkate ijumaa? Sasa kweli huo ni msaada?
Nyie kweli akili hakuna, naskia mnapewaga hadi msaada wa nyama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kweli kabisa karne hii mnasubiri kuletewa msaada wa nyama?
 
Ni nchi yao nyie mrudi zanzibar mtumikie nchi yenu

Mambo yasiwe mengi sana chief
haa,,haya bwana.

mwalimu Nyerere aliyatengeneza mambo akijua amewaweza wa Zenj leo hii hayo mambo yamekua mwiba kwa wakristo!,Mungu fundi sana.sasa itakuwaje mze mwenzagu na Nyerere ndo keshakufa?
 
Umeona ulivyo chizi sasa ulivyo kebehi msaada wakati wewe huna msaada unaotoa

Nimeamini kweli nyie mapunguwani hujui thamani ya kipande cha mkate kwa mtu fukara

Hivi kweli Yesu mmemosama vizuri nyie watu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nimeuliza pia nyie msaada kwa maskini mnaotoa ni upi? Au ni vile wanavyopanda foleni na kupewa kipande cha mkate?
 
Kipande cha mkate kila ijumaa kinamsaidia nn maskini? Hizo siku zingine anakula nn? Hiko kipande kinamsaidia nn Kama ana wajukuu zaidi ya watano?
 
Hizi hasira zote ni upumbavu tu watu wa kupinga walikuwepo na wataendeela kuwepo. Mm ni mkristo na Wala Hilo la udini silioni naona mambo yanaenda fresh tu kwa mama yetu.

Wewe hizi hasira ndio zimekujaa sababu ya udini. Wewe ni mpumbavu wa mwisho
Siwezi kuwa mpumbavu kwa maana hata siku moja sikuona udini wa Magufuli na niliheshimu teuzi, ila sasa kwakuwa Rais amekuwa Samia mnaanza kelele sijui anateua waislam wakati ukilinganisha waislam ni wachache zaidi serikalini kuliko Wakristo, waislam kwa kutengwa kwao wao wakaamua kuwekeza kwenye Biashara na ndio hao wanaendesha uchumi wa nchi hii na wachache sana ndio huomba kazi Serikalini au kuteuliwa ila bado mnawachukia.

Ndio maana nimesema sasa inatosha. Liwalo na liwe, hatukuumbwa tuishi milele haoa Duniani, na kama mnahisi mnaonewa mnaweza kuanzisha vurugu za kidini au endesheni kampeni makanisani za kidini afu mpate mrejesho usio na shaka wa waislam.

Wakristo hamna akili, mmejaa sana chuki.
 
Kipande cha mkate kila ijumaa kinamsaidia nn maskini? Hizo siku zingine anakula nn? Hiko kipande kinamsaidia nn Kama ana wajukuu zaidi ya watano?
Ulivyo chizi uoni msikitini kila swala watu wanakuja wanaamini hapo watapata msaada

Haya twambie wewe shule ya mamilioni itamsaidia nini huyu fukara ambaye hata uhakika wa chakula cha kutwa moja hana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Vipi kuhusu Christian phobia Mkuu????? Is real or not???
 
Huwezi kutenganisha Christian phobia na baadhi ya watu kama mzee Said Mohammed na huwezi kutenganisha Islamphobia na watu kama Mchungaji mtikila.Huyu mleta uzi nae ana chuki na wakrsto ila kaificha.Waafrika bhana mila na desturi na dini za kigeni zinawafanya mnagombana,
 
Tunakokwenda sio pazuri

Kwakweli anachuki na personal conflicts ila most ni wivu
Tuavhe udini sio mzuri
 
Tunakokwenda sio pazuri


Kwakweli anachuki na personal conflicts ila most ni wivu
Tuavhe udini sio mzuri
Msingi ya dini ya kiislamu imeundwa kuchukia na kubeza dini nyingine na msingi ya dini ya kikrsto imeundwa kudharau na kupuuzia dini nyingine.Na waathirika wakubwa wa chuki hizi za kidini ni waumini na sio viongozi
 
Ona mlivyo wabinafsi. Haya hao wakiondoka na nyinyi na masanamu yenu muondoke Dar es Salaam, Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara, Tabora, Morogoro, Ujiji Kigoma.

Umeona mawazo yako yalivyokuwa hatari? Haya Acha upumbavu uwe na akili.
Mkuu kua na aibu japo kidogo

Sie ni wabinafsi howcome?? Au wewe sio mtu mfatiliaji wamatukio huko visiwani ??

Nyie hata kujimix na mkristo hamuwezi mmejaa udini na hata huyu mtoa mada ana personal conflicts na udinism ila anashindwa kutueka wazi

Watawala waliopita walitoa nafasi kulingana na uwezo wa mtu na sio dini
 
naona tunarudi kulekule awamu ya nne ya JK alivyoyumbishwa na jamaa fulani mpaka kufikia hatua ya kuitwa dhaifu..

Muda si mrefu tutaanza kusikia na matamko kutoka kila kona...

Hii nchi ipo siku itaingia kwenye mgogoro mkubwa sana wa kidini, chanzo cha mgogoro ni dini fulani kuamini yenyewe ndio kila kitu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…