BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
kawaida tu hata asingekufa siku ile bado ipo siku angekufa, kwangu mimi katika kitu ambacho huwa sisikitiki wala kuona hata tone la chozi au kuwa na huzuni ni kuhusu mtu kufa-huwa naona ni hali ya kawaida tu.
Tena anaejiuwa hata pole sitoi....watu wa namna hii pepo wataisikiaga tu.