Tetesi: Ijue siri ya muhitimu wa UDSM kujiua.

kawaida tu hata asingekufa siku ile bado ipo siku angekufa, kwangu mimi katika kitu ambacho huwa sisikitiki wala kuona hata tone la chozi au kuwa na huzuni ni kuhusu mtu kufa-huwa naona ni hali ya kawaida tu.

Tena anaejiuwa hata pole sitoi....watu wa namna hii pepo wataisikiaga tu.
 
Acheni uonge vyuma vimekaza vjana wamekosa ajira hadi wanaanza kujiua.
 
mtajua wenyewe na taarifa zenu hizoo mnaotegemea ajira!! saiv ni kupambana tu kma ajira hakuna tupambane tu no way out
 
Kosa ni serikali kuweka nafasi nyingi za watoto kusoma Vyuo ??? Miaka ya 1990s UDSM walikuwa wanatoa wanasheria 30 , wahasibu 40 kwa mfano kwa mwaka. Lakini leo vyuo vya kumwaga - serikali haitaweza kuajiri woote kutoka vyuo vyote.
 
Mnyakyusa mjinga wewe, hakuna watu kama wewe unyakyusani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…