Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Kwa mujibu wa kamusi mnyonge Ni " mtu siye na haki hadi mwenye nguvu aamue"
Nilikuwa najiuliza kwanini viongozi wa CCM wanapenda kuwaita machinga, mama ntilie, wakulima, wafugaji na watu wa kada hizi wanyonge kumbe wanamaanisha "WATU WASIO NA HAKI HADI VIONGOZI YAANA WANA CCM VIGOGO WAAMUE KUWAPA HAKI"
Basi sawa endeleeni kuhudumia wanyonge 🤣😂🤗
Nilikuwa najiuliza kwanini viongozi wa CCM wanapenda kuwaita machinga, mama ntilie, wakulima, wafugaji na watu wa kada hizi wanyonge kumbe wanamaanisha "WATU WASIO NA HAKI HADI VIONGOZI YAANA WANA CCM VIGOGO WAAMUE KUWAPA HAKI"
Basi sawa endeleeni kuhudumia wanyonge 🤣😂🤗