Ijue tofauti kati ya binadamu anayefariki leo na yule atakayefariki baada ya karne moja ijayo

Ijue tofauti kati ya binadamu anayefariki leo na yule atakayefariki baada ya karne moja ijayo

Nilikua napitapita mahali nikaona vijumba vya mapolisi vilivyojengwa miaka ya nyuma ni vidogo kama vyoo au vibiriti lakini ukiangalia zinazojengwa hivi sasa ni kubwa ukilinganisha na za wakati ule.
Sasa najiuliza hivi ni kwamba watu wanazidi kuongezeka ukubwa wa maumbile au ni kitu gani.
Kinachoongezeka ni matumizi ya eneo la nyumba kwa kuweka vitu mbalimbali ambavyo vimekuwa vikiongezeka kila uchwao
 
nikili kwanza kuwa mi ni mkristo but unapojenga hoja kwa kujikita katika imani za kidini hutapata majibu hapa!

kwanza nani kakwambia mwaka kuwa na siku 366 iligundulika enzi za Ibrahim?

walijuaje kuwa mtu ana miaka mia4 wakati hawakuwa na calendar?

yawezekana walihesabu wiki?!! utajuaje?
Dah mkuu umewaza mbali sana ninakubaliana na unachosema
 
nikili kwanza kuwa mi ni mkristo but unapojenga hoja kwa kujikita katika imani za kidini hutapata majibu hapa!

kwanza nani kakwambia mwaka kuwa na siku 366 iligundulika enzi za Ibrahim?

walijuaje kuwa mtu ana miaka mia4 wakati hawakuwa na calendar?

yawezekana walihesabu wiki?!! utajuaje?
Naweza tu kwa sauti kuna uwezekano watu wazamani walikuwa wanahesabu mchana siku moja na usiku ni siku ya pili
 
Ikawa mchana ikawa usiku siku ya kwanza... Kitabu cha mwanzo 1+... Maanake saa 12+12=24 siku moja. Uumbaji ulikamilika kwa siku 7, week end ambayo tunaitumia mpk leo hatuna wiki yenye siku 8 au zaidi. Maanake sisi wa miaka hii ndo tumekopi kalenda yao
 
nikili kwanza kuwa mi ni mkristo but unapojenga hoja kwa kujikita katika imani za kidini hutapata majibu hapa!

kwanza nani kakwambia mwaka kuwa na siku 366 iligundulika enzi za Ibrahim?

walijuaje kuwa mtu ana miaka mia4 wakati hawakuwa na calendar?

yawezekana walihesabu wiki?!! utajuaje?
Very thoughtful.
 
Huko tunako enda sayansi imekuwa saana!!!!,ukiachana na vifo vya ajali na majanga mengine vifo vya uzee vinategemewa kupungua.

Grafu ya ukuaji kwa mtu ni kuwa
From 0yr to 25 mpk 30yrs UZALISHAJI wa seli ni MKUBWA kuliko sell zinazokufa..
then kuanzia hapo 30yrs to 65yrs uzalishaji wa seli mpya na seli zinazokufa ni sawa...
Ila kuanzia 60 kuendelea uzalishaji wa seli mpya ni mdogo kuliko seli zinazokufa...

Ivyo kwa sasa katika technologia ya utabibu wamegundua dawa kwa ajili ya ku_slow down cell zinazokufa kwa wingi kuliko cell zinanazo zaliwa...
Ila sio kwamba inaweza kuzuia kifo
 
Soma vitabu utajua miaka walioishi kina Methusela, nuhu, henoko, ishmael n.k
waliishi miaka mingi kwa calenda ipi ? hii Gregilorian au ipi hiyo!?
kwao mwaka ulikuwa na siku ngapi?
 
quran tukufu inasema mungu amefanya usiku na mchana pia dunia huenda kwa hesabu kuna dalili zilizo wazi kwa mwenye akili"sasa jiulize hesabu gani kama sio hizi za sasa
 
Unaposoma biblia zingatia kuwa unasoma kitabu kilichoandikwa kwa kuzingatia mila na desturi za kiarabu!

unaposoma utamaduni wa waarabu zingatia pia matumizi ya namba na maana zake!!

mfano katika biblia kuna matumizi ya namba 40 mara nyingi sana

utumwani misri miaka 40 mara 10
waisrael jangwani miaka 40
waisrael waliofika israel toka misri elfu 40
Yesu akafunga jangwani siku 40
roho mt. alishuka baada ya siku 40 baada ya ufufuko.

matumizi ya 40 katika fasihi ya kiarabu ina maana kwamba " Ni kipindi kirefu cha wakati kati ya tukio moja katika historia na tukio jingine "

Rejea "siku za mwizi ni 40 "
hii ni nahau ya kiswahili yenye asili ya kiarabu.

ikiwa haina maana kwamba mwiz siku ya 40 lazima akamatwe!!
ila, hata kama utaiba siku alfu, ipo siku utakamatwa!
athari hizi za matimizi ya namba ni pamoja na namba 3 na namba 7.

pia utamaduni huu hauishii hapo bali utamaduni wa kiarabu na mtazamo wa mwanamke kama kiumbe duni na mnyonge unaonekana ndani ya biblia na upo uarabuni pia hadi leo.

Tunaona mwanamke hana mamlaka sana ndani ya biblia ila kwa kiwango kidogo sana (rejea Esta) . mwanamke yupo kimya! MTAZAMAJI ASIYE HAKI.
Wana wa yakobo walikuwa 13 (akiwemo Dina) lakin tunatajiwa 12 tu wa kiume.

Maria Magdalena baada ya kupona kupigwa mawe baada ya kuzini na kukamatwa( utamaduni wa kiarabu pia) alikuwa mfuasi mzuri sana wa yesu, na aliambatana nae kila mahali alipoenda yesu ( rejea : nyumbani kwa zakayo na ufufuko wa yesu "alikuwa wa kwanza kuwasili kaburini " )

Yote hayo yapo ndani ya biblia na kumbuka.

"USOMAPO BIBLIA ZINGATIA MAANA YA NAMBA KWA UTAMADUNI WA WAARABU "
Unaongelea msaafu ama biblia kama ni msaafu walau nitakaa nijifunze kwako ila kama ni biblia upo kinyume toka lini wayunani wakawa waarabu maana najua biblia ya kwanza iliandikwa kiyunani na maandiko ya awali yalizingatia taratibu za kiisraeli
 
Unaongelea msaafu ama biblia kama ni msaafu walau nitakaa nijifunze kwako ila kama ni biblia upo kinyume toka lini wayunani wakawa waarabu maana najua biblia ya kwanza iliandikwa kiyunani na maandiko ya awali yalizingatia taratibu za kiisraeli
Ninapo sema waisrael ni waarabu namaanisha dhana ya ufanano wao katika utamaduni na mwonekano wa nje na sio lugha!

By the way : hata kialamayo lugha ya yesu ni pijini ya kiarabu!

usichanganye dhana ya jina na watu wenyewe! kwasababu hata wewe ni mwafrica ingawa hauongei kiafrika, unaongea kiswahili.
 
Ninapo sema waisrael ni waarabu namaanisha dhana ya ufanano wao katika utamaduni na mwonekano wa nje na sio lugha!

By the way : hata kialamayo lugha ya yesu ni pijini ya kiarabu!

usichanganye dhana ya jina na watu wenyewe! kwasababu hata wewe ni mwafrica ingawa hauongei kiafrika, unaongea kiswahili.
Sasa biblia iliandikwa kiyunani na ni dhahiri iliandikwa na wayunani na baadhi ya wa Israeli sasa hapo mwarabu anaingiaje
Nachojua uarabu na biblia ni mbali mbali hasa ktk ishu za uandishi japo taifa la Israel lina mizizi uarabuni
 
Back
Top Bottom