Ijue tofauti kati ya binadamu anayefariki leo na yule atakayefariki baada ya karne moja ijayo

Ijue tofauti kati ya binadamu anayefariki leo na yule atakayefariki baada ya karne moja ijayo

Sasa biblia iliandikwa kiyunani na ni dhahiri iliandikwa na wayunani na baadhi ya wa Israeli sasa hapo mwarabu anaingiaje
Nachojua uarabu na biblia ni mbali mbali hasa ktk ishu za uandishi japo taifa la Israel lina mizizi uarabuni
mkuu elewa nachosema!
nikisema mzungu kwako we unaelewa,mzungu ni nani? lazima awe anaongea english au?
naongelea waarabu kama jamii na sio lugha wanayoitumia!

kwataarifa yako hata waarabu wana vikabila vyao vinavyowatofautisha!
unawajua Tuareg?

nimekupa mfano! wewe ni mwafrica kwa sababu unatokea Africa na unamwonekano wa asili ya Africa! ingawa huongei Africana!
unaongea kiswahili, sasa hayo maarifa hamishia kwa waisrael.
 
Sasa biblia iliandikwa kiyunani na ni dhahiri iliandikwa na wayunani na baadhi ya wa Israeli sasa hapo mwarabu anaingiaje
Nachojua uarabu na biblia ni mbali mbali hasa ktk ishu za uandishi japo taifa la Israel lina mizizi uarabuni
mkuu kama umeelewa basi angalau unatoa like nijue tuko pamoja!
but kukaa kimya najua maybe just maybe kunasehemu bado unakwama!! 😀 (kidding)
 
mkuu kama umeelewa basi angalau unatoa like nijue tuko pamoja!
but kukaa kimya najua maybe just maybe kunasehemu bado unakwama!! 😀 (kidding)
Mkuu ingawa mimi siye niliyeuliza swali ila kwa hapo juu nimekupata vilivyo.
Ngoja tumsubiri Mr Mangi aje muendeleze mjadala ili tuendelee kuelimika.
 
waliishi miaka mingi kwa calenda ipi ? hii Gregilorian au ipi hiyo!?
kwao mwaka ulikuwa na siku ngapi?
Historia ya Adamu na wengine katika biblia iliadikwa na musa, kipindi kilefu kilipita ikiwa ni pamoja na historia ya uumbaji wa Mungu, bustani ya edeni, na history ya Ibrahim na wengine wengi, aliyapata wapi? Jibu ni kwamba alifunuliwa na Mungu mwenyewe yapi ya kuandika, kumbukumbu Mungu anajua calendar vizuri kuliko ujuanzo soma mwanzo moja, "ikawa jioni ikawa asubuhi siku ya kwanza" hivyo basi ni jukumu letu kutambua umri ule upo sawa na calendar zetu
 
mkuu kama umeelewa basi angalau unatoa like nijue tuko pamoja!
but kukaa kimya najua maybe just maybe kunasehemu bado unakwama!! 😀 (kidding)
Sasa ndugu nielewe kipi maana upo nje ya historia ila hayo yote yalikuwa nje ya mada.
Ishu tuliyokuwa tunaongelea ni namba gani ya muhimu sana hasa kwetu wanadamu, zipo namba nyingi ila namba saba tukirudi ktk uumbaji tunaona siku ya 7 ndio siku pekee iliyobarikiwa na kutakaswa na Mungu kuwaamuru wanadamu wote kupumzika kama ishara ya utii na kupata utakaso na baraka toka kwake
 
Mimi napinga hakuna karne nyengine ijayo Kuna siku ya hukumu na karibu kufika
Kwa mujibu wa unabii wa biblia Daniel sura ya 2 na 7 na UFUFUO 13 hata mm naamini tupo karibu sana na mwisho
 
nikili kwanza kuwa mi ni mkristo but unapojenga hoja kwa kujikita katika imani za kidini hutapata majibu hapa!

kwanza nani kakwambia mwaka kuwa na siku 366 iligundulika enzi za Ibrahim?

walijuaje kuwa mtu ana miaka mia4 wakati hawakuwa na calendar?

yawezekana walihesabu wiki?!! utajuaje?
Me naunga mkono hoja yako ya kwanza kwamba tukitaka majibu mazur tusiifuate Biblia bali tuje na hoja logical. Biblia itatuchanganya wengi apa wengine hawajaisoma sana na wengine hawana imani nayo.
 
Habarini wakuu..
Leo ninataka sote kwa pamoja na kwa hoja za maana tuzijadili sababu za kiinteligensia juu ya maisha ya binadamu wa karne hii na karne zijazo.
Kama mada tajwa hapo juu.
Natanguliza sababu na mawazo yangu..
1.MAISHA YAJAYO YATAKUWA MAFUPI SANA..
Tukiangalia from begining binadamu walikuwa wakiishi maisha marefu namaanisha umri mrefu sana.
Swali ninalolileta jamvini ni je ni kwa nini kadri kaene zinavyozidi kwenda ndivyo umri huu wa maisha unazidi kupungua.
C.c mshana jr Kiranga @Monstigala
na wengineo
Hii mada hatimaye nimeipata haya mabadiliko ni ya vitu vyote kuanzia kwa vyenye uhai mpaka visinyo na uhai na hii yote ni kutokana na maendeleo makubwa ya kiteknolojia
 
Haya ni Mafuvu ya watu wa Aad (Kaumu Aad) ambao ina sadikika kua walikua na urefu zaidi ya Mita 20
Walikua wakiishi Umri wa miaka 800 mpaka 900 walikua wakiishi kusini Mwa nchi ya Yemen
Mimi sijakisoma hicho kitabu lakini Inasemekana yametajwa katika Qur'aan tukufu
1466765451993.jpg
1466765474592.jpg
1466765485672.jpg
 
mkuu moghasa kwanza asante kwa swali zuri ninaposema zamani maisha yalikuwa marefu namaana kiumri na kwa hoja hizi..
UHAHIDI WA KISAYANSI
1.Carbon 14 dating
Huelezea ni Jinsi gani wanasayansi kuamua
umri wa mabaki fossils kwamba
imekuwa chini ya uso wa
nchi kwa maelfu ya miaka.
Mfano Fuvu la mtu wa kale la Olduvai george

2.Potasium Argo dating
abbreviated K-Ar dating, ni
Njia radiometric dating kutumika katika geochronology na
akiolojia. Ni kwa kuzingatia kipimo cha
bidhaa ya kuoza kwa mionzi
pia inasadikika kuwa hii ni nzuri zaidi hata ya Carbon dating
Zipo nyingi zaidi ila nimeelezea kwa ufupi ambazo ni common sana.
USHAHIDI WA KINADHARIA
1.The BIBLE
Kama ilivyoelezewa na wana inteligensia hapo juu
Sitaongelea sana hapa maana itazua maswali mengi ila wakuu kama
mshana jr wakipita wataeleweka
Hao si washakufa anasemea wakiwa hai
 
nikili kwanza kuwa mi ni mkristo but unapojenga hoja kwa kujikita katika imani za kidini hutapata majibu hapa!

kwanza nani kakwambia mwaka kuwa na siku 366 iligundulika enzi za Ibrahim?

walijuaje kuwa mtu ana miaka mia4 wakati hawakuwa na calendar?

yawezekana walihesabu wiki?!! utajuaje?
Hahahahha..!! nimezipenda hizi facts
 
Back
Top Bottom