Kinachoongezeka ni matumizi ya eneo la nyumba kwa kuweka vitu mbalimbali ambavyo vimekuwa vikiongezeka kila uchwaoNilikua napitapita mahali nikaona vijumba vya mapolisi vilivyojengwa miaka ya nyuma ni vidogo kama vyoo au vibiriti lakini ukiangalia zinazojengwa hivi sasa ni kubwa ukilinganisha na za wakati ule.
Sasa najiuliza hivi ni kwamba watu wanazidi kuongezeka ukubwa wa maumbile au ni kitu gani.
Kwa mujibu wa biblia siku huanza jioni jua linapozama yaani saa kumi na mbili hivyo jioni moja + mchana mmoja inakuwa siku 1Siku inaanzia na kuishia wapi?
Dah mkuu umewaza mbali sana ninakubaliana na unachosemanikili kwanza kuwa mi ni mkristo but unapojenga hoja kwa kujikita katika imani za kidini hutapata majibu hapa!
kwanza nani kakwambia mwaka kuwa na siku 366 iligundulika enzi za Ibrahim?
walijuaje kuwa mtu ana miaka mia4 wakati hawakuwa na calendar?
yawezekana walihesabu wiki?!! utajuaje?
kwa hiyo sehemu ambapo mvua zilikuwa zinanyesha mara tatu kwa mwaka hiyo ilikuwa miaka mitatu?Miaka ya nyuma watu walitumia majira ya mvua za masika
Naweza tu kwa sauti kuna uwezekano watu wazamani walikuwa wanahesabu mchana siku moja na usiku ni siku ya pilinikili kwanza kuwa mi ni mkristo but unapojenga hoja kwa kujikita katika imani za kidini hutapata majibu hapa!
kwanza nani kakwambia mwaka kuwa na siku 366 iligundulika enzi za Ibrahim?
walijuaje kuwa mtu ana miaka mia4 wakati hawakuwa na calendar?
yawezekana walihesabu wiki?!! utajuaje?
Hujaielewa hiyo BibliaKwa mujibu wa biblia siku huanza jioni jua linapozama yaani saa kumi na mbili hivyo jioni moja + mchana mmoja inakuwa siku 1
Very thoughtful.nikili kwanza kuwa mi ni mkristo but unapojenga hoja kwa kujikita katika imani za kidini hutapata majibu hapa!
kwanza nani kakwambia mwaka kuwa na siku 366 iligundulika enzi za Ibrahim?
walijuaje kuwa mtu ana miaka mia4 wakati hawakuwa na calendar?
yawezekana walihesabu wiki?!! utajuaje?
Tafadhali nieleweshe pale ulipohisi nimekosea ila mi nimeongea kwa mujibu wa bibliaHujaielewa hiyo Biblia
Soma vitabu utajua miaka walioishi kina Methusela, nuhu, henoko, ishmael n.kunaposema zamani maisha yalikuwa marefu sana ni kwa hoja zipi? au ni kwa ushahidi upi?
waliishi miaka mingi kwa calenda ipi ? hii Gregilorian au ipi hiyo!?Soma vitabu utajua miaka walioishi kina Methusela, nuhu, henoko, ishmael n.k
Unaongelea msaafu ama biblia kama ni msaafu walau nitakaa nijifunze kwako ila kama ni biblia upo kinyume toka lini wayunani wakawa waarabu maana najua biblia ya kwanza iliandikwa kiyunani na maandiko ya awali yalizingatia taratibu za kiisraeliUnaposoma biblia zingatia kuwa unasoma kitabu kilichoandikwa kwa kuzingatia mila na desturi za kiarabu!
unaposoma utamaduni wa waarabu zingatia pia matumizi ya namba na maana zake!!
mfano katika biblia kuna matumizi ya namba 40 mara nyingi sana
utumwani misri miaka 40 mara 10
waisrael jangwani miaka 40
waisrael waliofika israel toka misri elfu 40
Yesu akafunga jangwani siku 40
roho mt. alishuka baada ya siku 40 baada ya ufufuko.
matumizi ya 40 katika fasihi ya kiarabu ina maana kwamba " Ni kipindi kirefu cha wakati kati ya tukio moja katika historia na tukio jingine "
Rejea "siku za mwizi ni 40 "
hii ni nahau ya kiswahili yenye asili ya kiarabu.
ikiwa haina maana kwamba mwiz siku ya 40 lazima akamatwe!!
ila, hata kama utaiba siku alfu, ipo siku utakamatwa!
athari hizi za matimizi ya namba ni pamoja na namba 3 na namba 7.
pia utamaduni huu hauishii hapo bali utamaduni wa kiarabu na mtazamo wa mwanamke kama kiumbe duni na mnyonge unaonekana ndani ya biblia na upo uarabuni pia hadi leo.
Tunaona mwanamke hana mamlaka sana ndani ya biblia ila kwa kiwango kidogo sana (rejea Esta) . mwanamke yupo kimya! MTAZAMAJI ASIYE HAKI.
Wana wa yakobo walikuwa 13 (akiwemo Dina) lakin tunatajiwa 12 tu wa kiume.
Maria Magdalena baada ya kupona kupigwa mawe baada ya kuzini na kukamatwa( utamaduni wa kiarabu pia) alikuwa mfuasi mzuri sana wa yesu, na aliambatana nae kila mahali alipoenda yesu ( rejea : nyumbani kwa zakayo na ufufuko wa yesu "alikuwa wa kwanza kuwasili kaburini " )
Yote hayo yapo ndani ya biblia na kumbuka.
"USOMAPO BIBLIA ZINGATIA MAANA YA NAMBA KWA UTAMADUNI WA WAARABU "
Ninapo sema waisrael ni waarabu namaanisha dhana ya ufanano wao katika utamaduni na mwonekano wa nje na sio lugha!Unaongelea msaafu ama biblia kama ni msaafu walau nitakaa nijifunze kwako ila kama ni biblia upo kinyume toka lini wayunani wakawa waarabu maana najua biblia ya kwanza iliandikwa kiyunani na maandiko ya awali yalizingatia taratibu za kiisraeli
Sasa biblia iliandikwa kiyunani na ni dhahiri iliandikwa na wayunani na baadhi ya wa Israeli sasa hapo mwarabu anaingiajeNinapo sema waisrael ni waarabu namaanisha dhana ya ufanano wao katika utamaduni na mwonekano wa nje na sio lugha!
By the way : hata kialamayo lugha ya yesu ni pijini ya kiarabu!
usichanganye dhana ya jina na watu wenyewe! kwasababu hata wewe ni mwafrica ingawa hauongei kiafrika, unaongea kiswahili.