Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Omba ujiunge na Jumuiya ya nchi za kiislamu.Siku ya ijumaa inafaa kuwa Mapumziko kama ilivyo nchi nyingi duniani ikiwemo GCC - Kuwait, UAE, Qatar, Saudi Arabia na Bahrain. Asante
Kwani kuna mtu au sheria inayokuzuia kupumzika ukisikia?Siku ya ijumaa inafaa kuwa ya Mapumziko kama ilivyo nchi nyingi duniani ikiwemo GCC - Kuwait, UAE, Qatar, Saudi Arabia na Bahrain. Asante
Hii inaelekea kwenye chokochoko ngoja tuoneSiku ya ijumaa inafaa kuwa ya Mapumziko ili watukufu waislam wakafanye ibada kama ilivyo nchi nyingi duniani ikiwemo GCC - Kuwait, UAE, Qatar, Saudi Arabia na Bahrain. Asante
Du! Unalewa ijumaa,jumamosi na j,pili hatari sana hiyoNaunga mkono hoja natetea walevi wote maana ijumaa ni weekend kwetu kula bata
Siku ya ijumaa inafaa kuwa ya Mapumziko ili watukufu waislam wakafanye ibada kama ilivyo nchi nyingi duniani ikiwemo GCC - Kuwait, UAE, Qatar, Saudi Arabia na Bahrain. Asante
Sio hivyo tu na jtatu,Jane,jtano,alhams tu alewa...ijumaa sasa na weekend ndo tunakufa kbs ambalo mi lengoDu! Unalewa ijumaa,jumamosi na j,pili hatari sana hiyo
Naunga mkono hoja na pia j3 iwe siku ya mapumziko ili watukufu Wabudha nao wakafanye yogaSiku ya ijumaa inafaa kuwa ya Mapumziko ili watukufu waislam wakafanye ibada kama ilivyo nchi nyingi duniani ikiwemo GCC - Kuwait, UAE, Qatar, Saudi Arabia na Bahrain. Asante
weekend ianzie alhamis jioniNaunga mkono hoja natetea walevi wote maana ijumaa ni weekend kwetu kula bata
Hii ni secular state kama hutaki hamia Saudi Arabia.Siku ya ijumaa inafaa kuwa ya Mapumziko ili watukufu waislam wakafanye ibada kama ilivyo nchi nyingi duniani ikiwemo GCC - Kuwait, UAE, Qatar, Saudi Arabia na Bahrain. Asante
This is unfair, nashauri kila iwe Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ili kila mtu kwa imani yake washirikiane kwenye mapumziko. kwahio tufanye kazi kuanzia Jumatatu hadi alhamisi. hapo vipi? GIGOSiku ya ijumaa inafaa kuwa ya Mapumziko ili watukufu waislam wakafanye ibada kama ilivyo nchi nyingi duniani ikiwemo GCC - Kuwait, UAE, Qatar, Saudi Arabia na Bahrain. Asante
Dipiwedi tena. ??!!! 😅😅Siku ya ijumaa inafaa kuwa ya Mapumziko ili watukufu waislam wakafanye ibada kama ilivyo nchi nyingi duniani ikiwemo GCC - Kuwait, UAE, Qatar, Saudi Arabia na Bahrain. Asante
We chawa waambie ma Serikali watumie na karenda ya kiislam Ili iendane na ijumaa.Siku ya ijumaa inafaa kuwa ya Mapumziko ili watukufu waislam wakafanye ibada kama ilivyo nchi nyingi duniani ikiwemo GCC - Kuwait, UAE, Qatar, Saudi Arabia na Bahrain. Asante