Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
hapo haijakaa sawa, KUHENZI ! Bora wangesema tufunge tusile kabisa siku hiyo. Mi nala tena kitimoto plusinaitwa KUENZI! sawa na kuenzi karume Day!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo haijakaa sawa, KUHENZI ! Bora wangesema tufunge tusile kabisa siku hiyo. Mi nala tena kitimoto plusinaitwa KUENZI! sawa na kuenzi karume Day!
Blaza, unasoma kweli iko kitabu au basi tu?Sasa,kwa nini "tuchokonoane" kwa kusema "hilo" halijaandikwa kwenye Bible?Wapi imeandikwa tuwe waKristu wakati "yeye" hakuwa mKristu?
Naombeni anaelijua andiko linalokataza wakristo Kula nyama siku ya Ijumaa kuu. Najua ni suala la kiimani,lakini msingi wa Imani ya kikristo,ni Biblia,hivyo tujuzane hilo andiko liko kitabu gani ndani ya Biblia
Bulaza kama nilichokiandika haujakielewa kausha bulaza.Blaza, unasoma kweli iko kitabu au basi tu?
Uende na chakula chako.Wanapaswa kula wafiwa tu.Na ikibidi unatafuna bazooka tu.Penye tukio panakosaje chakula....au we mchoyoo eeh
haina shida hiyo sio amri ya mungu ni amri ya kanisa tu! haina kuasi! ni kama sheria za nchi tu tunajiwekea wenyewehapo haijakaa sawa, KUHENZI ! Bora wangesema tufunge tusile kabisa siku hiyo. Mi nala tena kitimoto plus
Hupaswi kula vinono siku ya leo.Mwiko kabisa.Hao wanaobugia "mipombe" leo nao ni wahuni kabisa.Unachekesha sana we mtu. Unamaanisha kama unamsiba usile chakula kuzuri. Kuna watu leo hata mida hii wanakunywa mipombe lakini eti nyama hawali
Umeenda msikitini?Acha kusoma post zangu kindezi utaona kila kitu ni ukasuku
Issue ya kutokula nyama ni upagani tu wala sio UkristoNaombeni anaelijua andiko linalokataza wakristo kula nyama siku ya Ijumaa kuu.
Najua ni suala la kiimani, lakini msingi wa Imani ya kikristo ni Biblia, hivyo tujuzane hilo andiko liko kitabu gani ndani ya Biblia.
👏Issue ya kutokula nyama ni upagani tu wala sio Ukristo