Ijumaa namkaribisha mwana jf dar

Ijumaa namkaribisha mwana jf dar

Hahaahhhaaa baada ya kupitia comments za wachangiaji, nikakumbuka kipindi flani wana JF wengi walikiwa wanasema wewe ni wa kiumeni..... Ati mwandiko wako.... Aahahahahahha watu wachokozi.

Mwaya mie nawatakia mapumziko mema na mgeni wako. Usiache kumpeleka Coco beach akale mishkaki ya nundu.

Akitaka beach party za usiku usiache kumpeleka beach za kigamboni.... Zinabamba sana.

Enjoy and have all the fun!!
Mimi ni mwanamke ,hata nishagegedwa humu .
Wacha waseme tu
Nitampeleka kote huko japo nipo busy ila nitajitahidi aenjoy
 
nashukuru madam ... tunaendelea na ujenzi wa taifa. pole pia kwa kugonjeka.... naamini itatengamaa siku si siku nawe utarudi katika ubora wako. hivyo ulivyo taja vyotevipo vina nawiri tu. macho yangu mang'aavu, para laini,mwanya shababy na tabasama mantashallah vyooote vipo. nipo nimejaa tele kama pishi la mchele madam.. nimejaa mpaka namwagika.
Nimefurahi kukuona hapa, sijambo japo afya imetetereka kidoogo.

Nilimiss taswira yako... Macho yako changanya na upara, mwanya na hilo tabasamu....

Majukumu yananiweka mbalina JF ila nipoo, tusipoteane hivyo.
 
nashukuru madam ... tunaendelea na ujenzi wa taifa. pole pia kwa kugonjeka.... naamini itatengamaa siku si siku nawe utarudi katika ubora wako. hivyo ulivyo taja vyotevipo vina nawiri tu. macho yangu mang'aavu, para laini,mwanya shababy na tabasama mantashallah vyooote vipo. nipo nimejaa tele kama pishi la mchele madam.. nimejaa mpaka namwagika.

Hahahahahahahahaaaaa GuduMe, nimekumbuka ile style ya kuning'inia kwenye feni. Kila mwanaume nnaye mwambia twende nikakupe ya kwenye feni anaogopa. Sijui kwanini wanaogopa.... aahahaahahaaahaha
 
ha ha ha.. style ya pangaboi????????????????? ile kiboko.. wanaweza wakajikuta wanatoa hadi nini sijuiiii... raha yake mtu anaweza akajikuta hadi moyo anautoa anakupa umtunzie.

Hahahahahahahahaaaaa GuduMe, nimekumbuka ile style ya kuning'inia kwenye feni. Kila mwanaume nnaye mwambia twende nikakupe ya kwenye feni anaogopa. Sijui kwanini wanaogopa.... aahahaahahaaahaha
 
ha ha ha.. style ya pangaboi????????????????? ile kiboko.. wanaweza wakajikuta wanatoa hadi nini sijuiiii... raha yake mtu anaweza akajikuta hadi moyo anautoa anakupa umtunzie.

Kuumbee ina mautamu hivyoo ndio maana wanaogopa wasipoteze mioyo yao.... Basi itabidi niwafanyie sapraizi hehehehheee hapo hawatakuwa na ujanja au namna ya kutoroka.
 
watakuganda sana mpaka utajuta kwa kuwaonjesha pangaboi style
Kuumbee ina mautamu hivyoo ndio maana wanaogopa wasipoteze mioyo yao.... Basi itabidi niwafanyie sapraizi hehehehheee hapo hawatakuwa na ujanja au namna ya kutoroka.
 
Back
Top Bottom