Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Duuuhh ningekua nimm , ningeahirisha nakuja kabisaaa.
Hajawahi fika Dar
Ameomba aje
Wee noma
Hajawahi fika Dar
Ameomba aje
Wee noma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mwanamke ,hata nishagegedwa humu .Hahaahhhaaa baada ya kupitia comments za wachangiaji, nikakumbuka kipindi flani wana JF wengi walikiwa wanasema wewe ni wa kiumeni..... Ati mwandiko wako.... Aahahahahahha watu wachokozi.
Mwaya mie nawatakia mapumziko mema na mgeni wako. Usiache kumpeleka Coco beach akale mishkaki ya nundu.
Akitaka beach party za usiku usiache kumpeleka beach za kigamboni.... Zinabamba sana.
Enjoy and have all the fun!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mdada..?
Usiwe msahaulifu.
Baada ya miezmiwili uje na thread mwana jf kakimbia mimba
Tupo.kumbe marafiki wa hivi bado wapo?
Tupo.
Maisha yenyewe hayamzidi kubarikiwa kwa kweli sababu mna upendo wa dhati.
Mimi ni mwanamke ,hata nishagegedwa humu .
Wacha waseme tu
Nitampeleka kote huko japo nipo busy ila nitajitahidi aenjoy
Nimefurahi kukuona hapa, sijambo japo afya imetetereka kidoogo.
Nilimiss taswira yako... Macho yako changanya na upara, mwanya na hilo tabasamu....
Majukumu yananiweka mbalina JF ila nipoo, tusipoteane hivyo.
nashukuru madam ... tunaendelea na ujenzi wa taifa. pole pia kwa kugonjeka.... naamini itatengamaa siku si siku nawe utarudi katika ubora wako. hivyo ulivyo taja vyotevipo vina nawiri tu. macho yangu mang'aavu, para laini,mwanya shababy na tabasama mantashallah vyooote vipo. nipo nimejaa tele kama pishi la mchele madam.. nimejaa mpaka namwagika.
Hahahahahahahahaaaaa GuduMe, nimekumbuka ile style ya kuning'inia kwenye feni. Kila mwanaume nnaye mwambia twende nikakupe ya kwenye feni anaogopa. Sijui kwanini wanaogopa.... aahahaahahaaahaha
ha ha ha.. style ya pangaboi????????????????? ile kiboko.. wanaweza wakajikuta wanatoa hadi nini sijuiiii... raha yake mtu anaweza akajikuta hadi moyo anautoa anakupa umtunzie.
Kuumbee ina mautamu hivyoo ndio maana wanaogopa wasipoteze mioyo yao.... Basi itabidi niwafanyie sapraizi hehehehheee hapo hawatakuwa na ujanja au namna ya kutoroka.
OMGNjooni niwafundishe mchezo wa threesome
Hajafika ila tayari ushamwanzishia uzi, akifika je? [emoji848]
watakuganda sana mpaka utajuta kwa kuwaonjesha pangaboi style
Na mimi ngoja nikuanzishie uzi wa jinsi nilivyokupokea Katavi ukitokea Ushirombo![emoji12]Huu ndio uzuri wa Jf.... tehteehhh