Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
naweza kutuma mpesa, tigopesa, zpesa au airtel money. vinginevyo nikupunguzie salio strait. mi huwa natumia post paid mambo ya mavocha sijayazoea na siyajui utaratibu wake
kipipi nipo hapa regency hotel kama vipi njoo tusaidiane kuushambulia utajiri huuaah hahahahahaa......anakwepa huyooo hana lolote, visingizio kibaooo!!! Wenye mihela huwa hawana maneno mengi kama wewe, ni njuluku tu ndo zinaongea........nashangaa we laki moja imekutoa povu!! Ebu tupishege huko.....
mbona huonekani sasa. kama vipi tia tim hapa kwa mromboooo uje ule mbuziUnaona ajabu sana kutolewa out na mtoto wa kike eeeh..
mtajuaje bila kusema. hata akina jack pemba na kina kajumulo mliwajua hivi hivi tu?Wenye mihela hawasemagi.... POLE Ndugu yangu..
nitakupiga sopu sopumie mchafu mchafu kwa hiyo sikufai, acha nipite....
hawapatikani kwa mtindo huo.Smile,kwa ma analysis we kiboko,karibu double tree hilton tule mikuku na kufakamia mihenken kwa fujo.
Ps: pssssssss konnie usimwambie!
tatizo lenu kila mwanajf mnadhani ni mwanachuo. wapi waliposema kuwa kwamba mwanajf lazima awe mwanachuo? si wengine hatukusoma lakini ni manyamihela.Ndo tatizo lenu vijana wa High learning mkipata boom mara hooo mara heee.Subiri week tatu zipite mara kwa binamu,mjomba kuomba omba.Soma kijana Smile haumwezi yeye anapiga mzigo tene kitengo cha mapesa.Kwa ushauri wa bure omba namba zake ukiwa boom limekata akusaidie.
hamjui kuwa wenzenu hao tunamalizana huku piemunikaka nadhan ujumbe umekufikiaaa
si kihivyo. ni jasho langu mwenyewe.Huyu sijui alikua msimamizi wa mirathi ? Kauza banga kimyakimya ! Nduguze wengine hawajui !
Ndo wanakuaga na makeke kiivi.
Kaibwenga nadhani
labda !
its ok. kama wote mtakubali kunitumikia.Nije na mme wangu?