Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
naweza kutuma mpesa, tigopesa, zpesa au airtel money. vinginevyo nikupunguzie salio strait. mi huwa natumia post paid mambo ya mavocha sijayazoea na siyajui utaratibu wake
aah hahahahahaa......anakwepa huyooo hana lolote, visingizio kibaooo!!! Wenye mihela huwa hawana maneno mengi kama wewe, ni njuluku tu ndo zinaongea........nashangaa we laki moja imekutoa povu!! Ebu tupishege huko.....